Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USIKU WA DAYNA NYANGE TZ V/S CINDY SANYU WA UG NDANI YA LINAS NIGHT CLUB BUKOBA FEB 15,2014

FEB 15, 2014 Itakuwa ni usiku wa aina yake kwa wakazi wa mji wa Bukoba na maeneo ya jirani, Watakapo takiwa kujua nani mkali kati ya DAYNA NYANGE TZ V/S CINDY SANYU WA UGANDA.
Usiku huo hatuangalii Vivazi au  nani anamiliki nini,ama yupi ni hot zaidi ya mwenzake,tunaangalia kitu kimoja tu,Nani mkali wa kuimba na kucheza Jukwaani?

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

YAMOTO BAND WATINGA RADIO KASIBANTE 88.5 FM BUKOBA TAYARI KWA SHOW YAO USIKU HUU NDANI YA LINA'S CLUB

Na Faustine Ruta, BukobaKundi zima la Yamoto Band punde walitinga Katika Kituo cha Radio Kasibante 88.5 Bukoba kuongea moja kwa moja na Wakaazi wa Bukoba juu ya Shoo ya yao inayotarajiwa kufanyika Usiku huu katika Ukumbi wa Burudani wa Lina's Night Bukoba. Bendi inayokuja kasi hapa Nchini inayoundwa na Vijana Machachari kama Aslay, Becka, Bella na Maromboso wameteta na Wanabukoba kwamba waje kwa wingi katika Ukumbi huo wa Lina's wajionee walichokuja nacho kipya katika Pasaka hii ya pili...

 

11 years ago

Dewji Blog

Innocent Nganyagwa kutumbuiza tamasha la ZIFF 2014 usiku huu ndani ya ukumbi wa Mambo Club, Ngome Kongwe

DSC_0276

Mwanamuziki Mkongwe wa Rege nchini, Innocent Nganyagwa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na show yake kwenye tamasha la ZIFF 2014 usiku wa leo ndani ya ukumbi wa Mambo Club kwenye viunga vya Ngome Kongwe visiwani Zanzibar.Kushoto Mtaalamu wa masuala ya habari  ZIFF, Bw. Dave Ojay.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).

DSC_0094

Baadhi ya wageni mbalimbali na waandishi wa habari wanaohuduria tamasha la ZIFF 2014 linaloendelea kutimua vumbi visiwani Zanzibar.

Na. Mwandishi...

 

11 years ago

GPL

10 years ago

Bongo5

Dayna Nyange: Sikupanga kuitoa ‘Pepea’

Dayna Nyange amedai kuwa wimbo wake uliotoka hivi karibuni ‘Pepea’ umevuja na kwamba hakuwa amepanga kuutoa. “Yaani nimepokea simu nyingi sana kuhusu huu wimbo mpya unaitwa Pepea nikabaki nashangaa tu maana huo wimbo nilifanya siku nyingi hata kabla sijatoa wimbo wa I Do,” ameiambia Bongo5. “Naomba niwaambie tu mashabiki wangu kuwa huo wimbo sijautoa rasmi […]

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Bongo5

Music: Samata A Ft. Dayna Nyange — Unanisololo

Samata A ft Dayna Nyange - UnaNisoLoloMsanii Samata A baada ya kutoa video amechia Audio ya wimbo huo unaitwa “Unanisololo” amemshirikisha Dayna Nyange, Studio A.M Records. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Unamfahamu Rahma, mtoto wa Dayna Nyange?

Hakuna shaka wengi hawafahamu kuwa Dayna ni mama wa mtoto mmoja wa kike na tena ni binti mkubwa. Dayna akiwa na binti yake Rahma Binti huyo anaitwa Rahma. Dayna alishare picha akiwa na mtoto huyo kwenye Instagram na kuandika, “Wanasema Raha ya Dunia ni Watoto Ahsante Mungu.”

 

10 years ago

Dewji Blog

Ney wa Mitego atoka na Dayna Nyange aamua ‘kujituliza’

Nay-na-DaynaNey wa Mitego akiwa na msanii wa kike, Dayna Nyange katika mikao ya kimahaba.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Ni habari nyingi kwa sasa  kwa msanii nyota wa Hip hop Bongo, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ambaye anatamba na nyimbo mbali mbali hapa Nchini kwa sasa ameamua kuziba masikio na kutoka na msanii wa kike, Dayna Nyange.

kgnmNey wa Mitego na Dayna Nyange katika picha za Mahaba

Ney ambaye hivi karibuni bado yupo katika hali yaa sinto fahamu juu ya mzazi mwenzie anayedaiwa kuzaa naye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani