Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USIKU WA MATUMAINI 2014… HISTORIA KUANDIKWA UPYA

Rais Jakaya Kikwete akiwa na mpira tayari kuanzisha mechi ya wabunge wa Simba na Yanga wakati wa Tamasha la Usiku wa Matumaini 2013, mwaka huu linafanyika Agosti 8. LILE tamasha lililokuwa likisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki, linalotambulika kama Usiku wa Matumaini (Night of Hope), limewadia ambapo mwaka huu litafanyika Agosti 8 (Sikukuu ya Nanenane.) Mashabiki wa timu ya Bongo Muvi wakiingia uwanjani kwa mbwembwe kabla ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TAMASHA LA MATUMAINI 2014… WABUNGE GANI KUZIPIGA MWAKA HUU?

Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (kushoto) akionyeshana umwamba na staa wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper katika Tamasha la Matumaini 2013. MWAKA jana wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Halima Mdee (Mbunge wa Kawe), Ester Bulaya (Viti Maalum, Mkoa wa Mara) walizipiga na wasanii wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper na Aunt Ezekiel, swali linalowasumbua akilini mashabiki wa Tamasha la Matumaini ni wabunge gani...

 

11 years ago

GPL

KANUMBA DAY: HISTORIA KUANDIKWA J’TATU

Stori: Mikito Nusunusu
TUKIO kubwa na la kihistoria linatarajiwa kuandikwa Jumatatu ijayo katika maadhimisho ya Siku ya Kanumba katika Ukumbi wa Dar Live, Mbagala-Zakhem jijini Dar. Historia hiyo itaandikwa na mastaa wa Bongo Movies, Bongo Fleva, Taarab na Dansi huku mgeni rasmi Meya wa Ilala, Jerry Slaa akishuhudia na yeye kuwa sehemu ya historia hiyo inayofanyika kila mwaka.
Frederick Mwakalebela ambaye ni mmoja wa waratibu...

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA MATUMAINI 2014 NKONE, MWAIPAJA, MWASONGWE KUACHA.. HISTORIA TAIFA

Mkali wa muziki wa Injili, Upendo Nkone, Na Nassor Gallu
GUMZO kubwa kwa sasa mjini ni tamasha la Usiku wa Matumaini linalotarajiwa kufanyika Agosti 8, mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar ambapo burudani kabambe kutoka kwa wakali wa muziki wa Injili, Upendo Nkone, Martha Mwaipaja, Ambwene Mwasongwe, Angel, Paul Clement na wengine kibao watawalisha mashabiki Neno la Mungu. Usiku wa Matumaini ni tamasha kubwa ambalo...

 

11 years ago

GPL

NYOMI NDANI YA USIKU WA MATUMAINI 2014

Nyomi iliyokusanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar kwa ajili ya Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014.…

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 NI VITA

Umewahi kujiuliza nini kitatokea endapo waheshimiwa wabunge, Hamis Kigwangala wa Nzega na Mwigulu Nchemba wa Iramba Magharibi wakiziweka suti zao pembeni na kupanda ulingoni, nani atamkalisha mwenzake? Itakuwa vita! D.k Hamis Kigwangala mbunge wa Nzega. Basi hicho ndicho kitakachotokea kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini litakalotimua vumbi Agosti 8, 2014 (Nane Nane) kwenye Uwanja wa Taifa ambapo waheshimiwa hao watanyukana...

 

11 years ago

GPL

USIKU WA MATUMAINI 2014 KUFANYIKA NANENANE

Meneja Mkuu wa Global Publishers waandaaji wa Tamasha la Usiku wa Matumaini, Abdallah Mrisho (katikati) wakati akiongea na wanahabari (hawapo pichani) mwaka jana katika maandalizi ya tamasha hilo. PICHA ZOTE NA MAKTABA) GOOD news kwa wananchi wazalendo wa Tanzania ni kwamba lile tamasha kubwa la kuhamasisha matumaini linalofanyika kila mwaka, badala ya kufanyika katika Sikukuu ya Sabasaba kama ilivyokuwa mwaka jana, mwaka huu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani