Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KANUMBA DAY: HISTORIA KUANDIKWA J’TATU

Stori: Mikito Nusunusu
TUKIO kubwa na la kihistoria linatarajiwa kuandikwa Jumatatu ijayo katika maadhimisho ya Siku ya Kanumba katika Ukumbi wa Dar Live, Mbagala-Zakhem jijini Dar. Historia hiyo itaandikwa na mastaa wa Bongo Movies, Bongo Fleva, Taarab na Dansi huku mgeni rasmi Meya wa Ilala, Jerry Slaa akishuhudia na yeye kuwa sehemu ya historia hiyo inayofanyika kila mwaka.
Frederick Mwakalebela ambaye ni mmoja wa waratibu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

USIKU WA MATUMAINI 2014… HISTORIA KUANDIKWA UPYA

Rais Jakaya Kikwete akiwa na mpira tayari kuanzisha mechi ya wabunge wa Simba na Yanga wakati wa Tamasha la Usiku wa Matumaini 2013, mwaka huu linafanyika Agosti 8. LILE tamasha lililokuwa likisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki, linalotambulika kama Usiku wa Matumaini (Night of Hope), limewadia ambapo mwaka huu litafanyika Agosti 8 (Sikukuu ya Nanenane.) Mashabiki wa timu ya Bongo Muvi wakiingia uwanjani kwa mbwembwe kabla ya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kanumba Day: Wastara Ana Haya Kuhusu Kitabu cha Kanumba

“Hiki kitabu chenye historia yako chatosha kunifanya nione umuhimu mkubwa uliokuwa nao katika tasnia na safari ndefu uliyopitia mpka ulimwengu kkutambua wew ni nani yoyte mwenye moyo wa dhati na asiyechoka na kukata siku zote atasimama nakufuata njia ulizopita duniani ni njia tu lakini jinsi utakavyoipita njia hii ndivyo utakavyowapa watu kumbukumbu ya kukkumbuka kilasiku tunakukumbuka sana lakini kifo ni safari ya lazima aina rushwa wala aikwepeki tuko nyuma yako mungu akusamehe makosa yako...

 

11 years ago

GPL

LULU KIGUGUMIZI KANUMBA DAY

Na Mayasa Mariwata
STAA wa sinema za Kibongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema anapata wakati mgumu sana kufikiria kitu gani spesho atakachokifanya siku ya kumkumbuka aliyekuwa mwandani wake, marehemu Steven Kanumba Aprili 7, mwaka huu katika Ukumbi wa Dar Live, Mbagala-Zakhem jijini Dar. Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ Akipiga stori na paparazi wetu, Lulu alisema siku hiyo ni siku...

 

11 years ago

GPL

KANUMBA DAY DAR LIVE

KANUMBA DAY  itafanyika mwezi ujao  tarehe 7/4/2014 katika ukumbi wa Dar Live mbagala tiketi za tamasha la uzinduzi wa Kanumba Foundation  zitauzwa siku mbili kabla ya tamasha. Tiketi zitapatikana kwa Shilingi 2,000 kwa watoto wadogo Shilingi 10,000 kawaida na viti maalum vitakuwa Shilingi 50,000.  Tiketi zitapatikana Global PublisherS, Tabata sheli duka la Smart Fashion,Vanne Fashion tabata shule,Ofisi za Kanumba the...

 

11 years ago

GPL

MAYA AZIDIWA, AIKOSA KANUMBA DAY

Na Erick Evarist MWIGIZAJI ambaye ambaye alikuwa akifanya kazi kwa karibu sana na marehemu Steven Kanumba, Mayasa Mrisho ‘Maya’ alijikuta akishindwa kuhudhuria siku maalum ya marehemu baada ya kuzidiwa na ugonjwa wa malaria. Mwigizaji wa Bongo Muvi, Mayasa Mrisho ‘Maya’. Siku ya Kanumba Day iliadhimishwa Jumatatu iliyopita ambapo ndugu pamoja na baadhi ya wasanii walijumuika pamoja kufanya maombi...

 

11 years ago

GPL

JACQUELINE WOLPER AANGUSHA MAOMBI KANUMBA DAY

Na Erick Evarist
MKALI katika anga la sinema Bongo, Jacqueline Wolper ameangusha sala nzito kumkumbuka marehemu Steven Kanumba. Jacqueline Wolper akisali nyumbani kwake na katika kaburi la Kanumba. Wolper alifanya maombi hayo juzi Jumatatu ambapo sala hizo alizifanya nyumbani kwake, kisha akaelekea katika kaburi la Kanumba, Kinondoni jijini Dar kumalizia maombi yake. “Ni mhimili mkubwa katika tasnia yetu, hatuna budi...

 

11 years ago

Mwananchi

Kanumba Day yafufua matumaini ya filamu Bongo

Kila ifikapo Aprili saba, wapenzi na msahabiki kama siyo Watanzania kwa jumla huadhimisha kifo cha mwigizaji mahiri, Steven Charles Kanumba, kwa kufanya mambo mbalimbali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani