Ustaarabu wa ajabu
Hivi hawa wanaokula laki tatu za kanuni wiki hadi wiki wametambua kweli jinsi watu walivyokasirika?
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Mashabiki wa Yanga wamekosa ustaarabu
Naingia uwanjani kwa mara nyingine katika kona hii ya hoja. Ninaamini kila mmoja yuko katika mchakamchaka kwa nafasi yake katika eneo lake, kwa raha na shida.
5 years ago
Raia Mwema12 Mar
Dunia “iifundishe†ustaarabu Marekani
DUNIA haipaswi kufumbia macho matukio yanayoendelea kutokea nchini Marekani.
Mwandishi Wetu
10 years ago
Habarileo30 Nov
Wanasiasa washauriwa kampeni zenye ustaarabu
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewataka viongozi wa vyama vya siasa nchini kuendesha kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa amani na kuepuka maneno ya uchochezi.
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Serikali ya Umoja wa Kitaifa yairejesha ZNZ katika ustaarabu
Ujio wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) na mageuzi ya hali ya siasa ni moja kati ya mambo ambayo leo yameifanya Zanzibar na watu wake kuwapo katika ramani ya mwelekeo wa kilele cha demokrasia si tu Afrika, bali kuzishinda hata nchi za Ulaya ambazo baadhi yake demokrasia inasuasua.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yIyfcOpSVuc5umKV2jUW6RRvS-XlF9Rdqr-bFpqiPhsT82wZOAJswv*aLNMKdPX9ZtoBXqLf4MZHjvq7SvwAs9J/ndoa.jpg)
NDOA YA AJABU
Stori: Dustan Shekidele, MOROGORO
KANISA la Romani Katoliki Tanzania Jimbo Kuu la Morogoro, Jumamosi iliyopita lilifungisha ndoa iliyotafsiriwa na watu kuwa ni ya ajabu kufuatia bi harusi kuwa na matatizo ya wazi ya akili, Uwazi lilikuwepo. Bibi na bwana harusi wakiwa wenye nyuso za furaha baada ya kufunga ndoa. Bi harusi huyo anaitwa Maria Omar (25) baada ya kubatizwa siku hiyohiyo ya ndoa. Awali aliitwa Jamini. Bwana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaJyEom4T*vzg46P1FJiMU46OFfVdvOivYaazJyv3FBtQMvKzolu0bwyGDlUyA5LiuCQ4rpZ5InWrcOHjmLdsHai/FRONTUWAZI.jpg?width=650)
GONJWA LA AJABU
Na Makongoro Oging’ MAAJABU ya Mungu! Ukisema wewe unaumwa sana, inawezekana hujawaona wagonjwa wengine! Faiza Masaka Paga (23)(pichani), mkazi wa Chanika –Msumbiji, Ilala jijini Dar amekumbwa na gonjwa la ajabu ambalo mpaka sasa madaktari hawajajua ni nini kwani sehemu ya kiuno na kalio upande wa kushoto imevimba na kumfanya aonekane ana kama nundu kubwa ya kutisha! Faiza Masaka mkazi wa Chanika akionyesha jinsi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidWWUCtxtyedMD9H3ZhGD3wvKroacFqVzJmzzVklSIKArLuGodah8ZGZ4Bk-FCPj9pmEmenErylJL4qKF7OdKHxr/gonjwa.jpg?width=650)
GONJWA LA AJABU LAMTESA
Stori: Makongoro oging’
Lawrent Lawrian, 42 (pichani), ni mkazi wa Kijiji cha Nyakisogo, Wilaya ya Biharamlo, mkoani Kagera, amekuwa mwenye huzuni na kukosa raha kwa muda wa miaka 35 kutokana na gonjwa la ajabu linalomtesa ambalo limemsababishia mambo mengi ikiwa ni pamoja na kutoendelea na masomo. Kijana Lawrent Lawrian, akiwa na uvimbe wa ajabu kichwani mwake. Gonjwa hilo la ajabu ni uvimbe kama nundu kichwani wenye...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxgTrYw8IcnK-LQXBQ2AAw7IBBD0FZmVeSD2RuSXFPsvpD0L3gI*SnlkDdzlmxzMqH7g3v6LhyLB-M5OjmutknWsdgUeGPDY/mtoto.jpg?width=650)
MTOTO WA AJABU DAR
Na Hamida Hassan na Imelda Mtema
AMA kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Farao, Andrea Marcus (13), mkazi wa Mbezi-Kibanda cha Mkaa, Dar anadaiwa kuwa wa ajabu kutokana na vitendo vyake.
Mtoto huyu amedaiwa kuwa ni wa kichawi kutokana na maajabu yafuatayo: Mkazi wa Mbezi-Kibanda, Andrea Marcus. Ana uwezo wa kula ubwabwa sufuria moja la familia, anamudu kunywa maji ndoo moja, ana uwezo wa kuingiza tumboni mikate...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania