Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ustaarabu wa ajabu

Hivi hawa wanaokula laki tatu za kanuni wiki hadi wiki wametambua kweli jinsi watu walivyokasirika?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mashabiki wa Yanga wamekosa ustaarabu

Naingia uwanjani kwa mara nyingine katika kona hii ya hoja. Ninaamini kila mmoja yuko katika mchakamchaka kwa nafasi yake katika eneo lake, kwa raha na shida.

 

5 years ago

Raia Mwema

Dunia “iifundishe” ustaarabu Marekani

DUNIA haipaswi kufumbia macho matukio yanayoendelea kutokea nchini Marekani.

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Habarileo

Wanasiasa washauriwa kampeni zenye ustaarabu

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewataka viongozi wa vyama vya siasa nchini kuendesha kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa amani na kuepuka maneno ya uchochezi.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali ya Umoja wa Kitaifa yairejesha ZNZ katika ustaarabu

Ujio wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) na mageuzi ya hali ya siasa ni moja kati ya mambo ambayo leo yameifanya Zanzibar na watu wake kuwapo katika ramani ya mwelekeo wa kilele cha demokrasia si tu Afrika, bali kuzishinda hata nchi za Ulaya ambazo baadhi yake demokrasia inasuasua.

 

11 years ago

GPL

NDOA YA AJABU

Stori: Dustan Shekidele, MOROGORO
KANISA la Romani Katoliki Tanzania Jimbo Kuu la Morogoro, Jumamosi iliyopita lilifungisha ndoa iliyotafsiriwa na watu kuwa ni ya ajabu kufuatia bi harusi  kuwa na matatizo ya wazi ya akili, Uwazi lilikuwepo. Bibi na bwana harusi wakiwa wenye nyuso za furaha baada ya kufunga ndoa. Bi harusi huyo anaitwa Maria Omar (25) baada ya kubatizwa siku hiyohiyo ya ndoa. Awali aliitwa Jamini. Bwana...

 

10 years ago

GPL

GONJWA LA AJABU

Na Makongoro Oging’ MAAJABU ya Mungu! Ukisema wewe unaumwa sana, inawezekana hujawaona wagonjwa wengine! Faiza Masaka Paga (23)(pichani), mkazi wa Chanika –Msumbiji, Ilala jijini Dar amekumbwa na gonjwa la ajabu ambalo mpaka sasa madaktari hawajajua ni nini kwani sehemu ya kiuno na kalio upande wa kushoto imevimba na kumfanya aonekane ana kama nundu kubwa ya kutisha! Faiza Masaka mkazi wa Chanika akionyesha jinsi...

 

11 years ago

GPL

GONJWA LA AJABU LAMTESA

Stori: Makongoro oging’
Lawrent Lawrian, 42 (pichani), ni mkazi wa Kijiji cha Nyakisogo, Wilaya ya Biharamlo, mkoani Kagera, amekuwa mwenye huzuni na kukosa raha kwa muda wa miaka 35 kutokana na gonjwa la ajabu linalomtesa ambalo limemsababishia mambo mengi ikiwa ni pamoja na kutoendelea na masomo. Kijana Lawrent Lawrian, akiwa na uvimbe wa ajabu kichwani mwake. Gonjwa hilo la ajabu ni uvimbe kama nundu kichwani wenye...

 

11 years ago

GPL

MTOTO WA AJABU DAR

Na Hamida Hassan na Imelda Mtema
AMA kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Farao, Andrea Marcus (13), mkazi wa Mbezi-Kibanda cha Mkaa, Dar anadaiwa kuwa wa ajabu kutokana na vitendo vyake.
Mtoto huyu amedaiwa kuwa ni wa kichawi kutokana na maajabu yafuatayo: Mkazi wa Mbezi-Kibanda,  Andrea Marcus. Ana uwezo wa kula ubwabwa sufuria moja la familia, anamudu kunywa maji ndoo moja, ana uwezo wa kuingiza tumboni mikate...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani