UTAFITI WA POLISI JAMII UMEONYESHA MAFANIKIO MAKUBWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-h5cQ2m31sbg/VG8-TxBQZ8I/AAAAAAACvFc/rIwstzC8Jh8/s72-c/picha%2Bno%2B1.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya mambo ya ndani ya nchi Mbaraka Abdualwakili, akizindua chapisho la tathmini ya Polisi Jamii nchini, hafla hiyo ilifanyika jana Makao Makuu ya Polisi Jijini Dar es Salaam. Picha Alexander Mpeka – Jeshi la Polisi
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya ndani ya nchi Bw. Mbaraka Abdualwakil, Mwakilirishi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano Sayansi na Teknolojia ambaye ni Mkurugenzi wa utawala na rasilimali watu, Bi Selina Lyimo wakiwa Naibu Inspekta Jenerali wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Utafiti Polisi Jamii waonyesha mafanikio
JESHI la Polisi nchini limetakiwa kutumia matokeo ya utafiti wa tathmini ya Polisi Jamii uliofadhiliwa na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia kuboresha mkakati wa Polisi jamii ili kuimarisha ulinzi...
10 years ago
Habarileo23 Jan
‘BRN imepata mafanikio makubwa’
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imesema imepata mafanikio makubwa kufuatia mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) ambapo ufaulu umeongezeka kufikia asilimia 57 mwaka jana ikilinganishwa na mwaka juzi ambapo ufaulu ulikuwa asilimia 50.61.
10 years ago
Dewji Blog01 Sep
Utafiti waibua makubwa ngono za utotoni Dar
Mratibu wa mradi wa PREPARE ambaye pia ni Mwanasaikolojia wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi shirikishi cha Muhimbili, Kitengo cha magonjwa na afya ya akili, Lusajo Kajula (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukamilisha SAMPULI tathmini ya matokeo ya mradi wa PREPARE uliokuwa na lengo la kuangalia uwezekano wa vijana kupunguza ngono mwishoni mwa wiki kwenye kituo cha maelezo ya afya Muhimbili katika idara ya magonjwa ya akili. Kulia ni Mtathmini kiongozi wa mradi huo, Mrema...
11 years ago
Dewji Blog12 Jun
Wananchi waeleza mafanikio ya utafiti kiraghbishi wa TGNP
Baadhi ya wanaharakati ngazi ya jamii wakielezea mafanikio ya utafiti wa kiraghbishi unaofanywa na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) katika maeneo yao ulivyokuwa chachu ya baadhi ya mabadiliko kwenye mkutano jijini Dar es Salaam.
Bi. Marjorie Mbilinyi mwanachama wa TGNP Mtandao akiwasilisha mada katika semina hiyo.
Baadhi ya washiriki wa semina ya kutathimini utafiti wa kiraghbishi uliofanywa na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) katika baadhi ya kata za mikoa ya Morogoro, Shinyanga,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-einarUUngJA/VM-xMouB1gI/AAAAAAAHBHg/ZibwfD2Whxw/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
Mapambano dhidi ya Ujangili nchini yaonesha mafanikio makubwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-einarUUngJA/VM-xMouB1gI/AAAAAAAHBHg/ZibwfD2Whxw/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rfD6x6-hbzo/XufZuqFbG3I/AAAAAAALt8M/vY6dhzZuEqkEVtSGT-FWWuZLR2PRNfDiQCLcBGAsYHQ/s72-c/04e0347e-7987-44f7-97f0-71790182b15e.jpg)
WAZIRI MKUU ATAJA MAFANIKIO MAKUBWA YA AWAMU YA TANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-rfD6x6-hbzo/XufZuqFbG3I/AAAAAAALt8M/vY6dhzZuEqkEVtSGT-FWWuZLR2PRNfDiQCLcBGAsYHQ/s1600/04e0347e-7987-44f7-97f0-71790182b15e.jpg)
******************************
15 Juni, 2020
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika kipindi cha miaka mitano imepata mafanikio mbalimbali ikiwemo kurekebisha nidhamu kwa watumishi wa umma na uwajibikaji Serikalini, hivyo kuwezesha...
9 years ago
Bongo516 Sep
Nahreel adai mwaka 2015 amepata mafanikio makubwa
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_01401.jpg)
UTAFITI WAIBUA MAKUBWA NGONO ZA UTOTONI DAR
10 years ago
BBCSwahili17 Feb
Utafiti:Wanaume wanapenda wanawake wenye makalio makubwa