Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UTANI WA YANGA NA SIMBA UNARUDIA ENZI ZILE ZA MWALIMU


AHADI ni deni! Njemba mmoja mkazi wa Mbezi Manyema, jijini Dar aliyejulikana kwa jina la Omar Msambaa, hivi karibuni alijikuta akipakwa lipstick, kunyolewa nywele na baadaye kuogeshwa kwa soda aina ya mirinda, ikiwa ni kutimiza ahadi yake ya awali kuwa afanyiwe hivyo endapo timu aliyokuwa akiishabikia itafungwa.

Njemba huyo akipakwa lipstick.
Chanzo chetu kililiambia gazeti hili kuwa, awali Msambaa, shabiki mkubwa wa timu ya Simba, alikuwa amejiapiza afanyiwe kitendo hicho mbele ya mjumbe wa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Kwenye stori za utani wa Rais Magufuli na watu wake, cheki alivyoukataa Urais enzi hizo.. (+Video)

Kuna wakati unajikuta unaelekea njia ambayo hujaipanga kwenye maisha yako, lakini huenda MUNGU alikupangia huko… jina la Dk. John Pombe Magufuli huenda halikupewa nafasi kubwa sana na watu wengi hasa ukiiangalia list ya makada 38 wa CCM walioingia kwenye mchakato wa kugombea Urais 2015, mwisho wa siku akapita yeye na akapata Urais !! Lakini unadhani […]

The post Kwenye stori za utani wa Rais Magufuli na watu wake, cheki alivyoukataa Urais enzi hizo.. (+Video) appeared first on...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Chuo cha Mwalimu Nyerere charudi katika enzi zake

RAIS  wa kwanza wa Tanzania, Julius Nyerere alijipambanua kwa kuchukia mafisadi na watumishi wavivu. Maisha yake yote alilisimamia hilo na alipopata wasaa alikemea.

Ndio maana katika harakati za kupatikana uhuru wa Tanganyika, alibuni wazo la kuwa na chuo kitakachowafunza viongozi maadili ya umma na namna bora ya kutoa huduma, chuo hicho kilianza na makada wa chama cha Tanganyika National Union (TANU).

Baada ya uhuru viongozi wote walipoteuliwa kushika nyadhifa mbalimbali walipitia...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.

Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.

Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.

Unahisi nani ataibuka kidedea...

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Global Publishers

Kumbe Aliens wamekuwepo enzi na enzi!

AliensILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Mpenzi msomaji wangu wiki iliyopita tuliona ni kwa jinsi gani hawa viumbe wa ajabu waishio angani wa Aliens walivyo na tabia zinazoaminika ni za majini japokuwa wana utofauti kidogo. Tuliona kuwa tofauti kubwa iliyopo kati ya Aliens na majini ni kwamba majini wana maumbile maalum na uwezo wa kujibadilisha japo wote wana uwezo wa kusafiri kwa kasi ya upepo. SASA ENDELEA…

Kama nilivyoeleza awali katika matoleo ya simulizi hii huko nyuma, kuna filamu na tamthiliya...

 

10 years ago

Vijimambo

AUNGURUMAPO SIMBA MCHEZA NANI DAKIKA 90 SIMBA 1 YANGA 0

 Timu ya Yanga imeendeleza uteja tena leo katika mchezo wa wahasimu hao uliochezwa uwanja wa taifa leo baada ya timu ya Simba kuibamiza Yanga goli 1 bila majibu goli lililofungwa na Emmanuel Okwi mchezaji aliyeikimbia timu hiyo yenye masikani yake Jangwani katika dakika ya 52. Wachezaji wa Simba na Yanga wakiwa katika mpambano.Mchezaji Simon Msuva akijaribu kufanya mashambulizi goli mwa Simba shuti lake halikuweza kuleta madhara yeyote mpaka dakika 90 Simba 1 na Yanga 0. Picha kwa hisani ya...

 

9 years ago

Vijimambo

YANGA NI ZAIDI YA MCHARO WAWALIZA SIMBA KWEUPEEE GOLI 2 BILA MAJIBU UTEJA KWA SIMBA KWISHINEIIIIIII!!

Yanga ni zaidi ya Mcharo Simba wametepweta baada ya kukubali goli moja kila kipindi alikuwa Tambwe aliandika bao la kwanza dk ya 44 ya kipindi cha kwanza, ikumbukwe kuwa Tambwe alikuwa kipenzi cha wana msimbazi hao na wakampotezea na kunyakuliwa na Yanga. Kipindi cha pili Busungu aliesajiliwa kutoka kwa wafunga buti wa mgambo aliiandikia Yanga bao la 2 dk ya 79. Yanga sasa imefuta uteja uliodumu zaidi ya miaka 5 kila wanavyo kutana na Simbanilikuwa ni kilio tu cha kusanga meno safari hii ni...

 

11 years ago

Mwananchi

KAMPENI SIMBA: Wagombea Simba waijadili Yanga

>Wagombea wa nafasi za urais katika uchaguzi mkuu wa Simba, Andrew Tupa na Evans Aveva wamesema wanachukizwa na uwepo wa makundi katika klabu hiyo pamoja na mafanikio ya watani zao Yanga.

 

10 years ago

Vijimambo

BAADA YA MAXIMO, SASA PHILI SIMBA OUT NA HUYU NDIYO MRITHI WA WAKE NAE SIJUI ATADUMU SIMBA NA YANGA NI SHIDA

Kocha Patrick Phiri amesema ametaarifiwa kuhusiana na kibarua chake kusitishwa.
Phiri raia wa Zambia amesema ni suala la kawaida kumtokea kocha, hivyo hana kinyongo na uongozi wa klabu hiyo.
"Wamenitaarifu kuhusiana na kuachishwa kazi, hili si jambo jipya, ingawa niliona tungeweza kubadilisha mambo.
"Najua Simba wanataka kufanya vizuri, hivyo siwezi kumlaumu mtu na utaona mwendo wa timu yetu ulivyokuwa," alisema Phiri.
Phiri amesema anasubiri kiasi cha fedha alichokuwa anadai ambacho hakueleza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani