Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UVCCM yakemea matumizi mabaya kinga Bunge Maalumu

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umekemea matumizi mabaya ya kinga waliyonayo wajumbe wa Bunge Maalumu katika mijadala.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

UVCCM Kagera yakemea ushabiki Bunge la Katiba

UMOJA wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Kagera, umewaomba wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kuacha ushabiki wa vyama ili kufanikisha mchakato wa kupata katiba mpya.

 

11 years ago

Habarileo

‘Andikeni matumizi mabaya ya pesa za serikali’

NAIBU Waziri wa Fedha, Adam Malima amewataka waandishi wa habari nchini, kuandika habari zenye kuonesha matumizi mabaya ya fedha za serikali kwa lengo la kuzuia matumizi mabaya na kuwaletea maendeleo wananchi.

 

11 years ago

Mwananchi

Je tunazilinda simu zetu na matumizi mabaya?

Walipofika pale yule abiria akasema ameishiwa chaji kwenye simu yake, akamuomba dereva Juma simu yake atumie kupiga ili awasiliane na mwenyeji wake katika nyumba ya wageni; simu ya Juma nayo haikuwa na fedha.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wananchi walalamikia matumizi mabaya ya fedha

WANANCHI wilayani Bunda, mkoani Mara, wamelalamikia kitendo cha madiwani wa wilaya hiyo, kutumia fedha na kuunda tume ya watu watatu, akiwemo mwenyekiti wa halmashauri hiyo, Joseph Malimbe, kwenda kumuona Katibu...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI KUDHIBITI MATUMIZI MABAYA YA TEHAMA.

 Makamu Mkuu wa Chuo cha Bagamoyo.Profesa Costa Mahalu akizungumza na waandishi wa habari leo juu ya utumiaji wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) katika semina iliyofanyika leo katika hoteli ya New Afrika,Jijini Dar es Salaam.Katibu Mkuu wa Wizara ya Sayansi,Teknolojia na Mawasiliano,Profesa Patrick Makungu akizungumza na waandishi wa habari leo juu ya utumiaji wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) katika semina iliyofanyika leo katika hoteli ya New Afrika,Jijini Dar es...

 

11 years ago

Mwananchi

Matumizi mabaya ya Serikali yalitesa Taifa la Tanzania

Kwa kipindi kirefu, Serikali imekuwa na mikakati mbalimbali yenye lengo la kuboresha maisha ya Watanzania na kukuza uchumi wa taifa kwa jumla.

 

10 years ago

Habarileo

Yona kuanza kujitetea matumizi mabaya ya ofisi

ALIYEKUWA Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona leo anaanza kujitetea mahakamani dhidi ya tuhuma za matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 11.7.

 

10 years ago

Michuzi

MATUMIZI MABAYA YA ARDHI TISHIO KWA UHIFADHI

Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu 
 Na Woinde Shizza,Arusha.
Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu amesema kuwa matumizi mabaya ya ardhi yasiyozingatia mpango bora wa matumizi ya ardhi yamekua tishio kwa maeneo uhifadhi hivyo kupelekea uvamizi wa maeneo hayo na kutumiwa kwa shughuli za ufugaji na kilimo kinyume cha utaratibu.
Nyalandu amesema hayo jana wakati akihutubia mkutano wa kati ya Wizara na Jumuiya za Hifadhi za Wanyamapori (WMAs) uliofanyika jijini hapa,amesema kuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yakiri matumizi mabaya ya fedha zake

Serikali imekiri kuwa na nidhamu ‘mbovu’ katika matumizi ya fedha, jambo linaloyumbisha bajeti zake mara kwa mara

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani