UWEKAJI WA JIWE LA MSINGI KITUO CHA POLISI MBWENI,ZANZIBAR
Naibu Waziri wa Ardhi Makaazi Maji na Nishati wa Zanzibar,Haji Mwadini Makame akifungua kitambaa kuashiria Uwekaji wa Jiwe la Msingi la Kituo cha Polisi mbweni nje ya mji wa Zanzibar ikiwa ni Shamra shamra za kutimia miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Vijana wadogo kutoka katika kituo cha Nyerere Shaolin Group wakionyesha umahiri wa kuweza kupambana na uhalifu katika sherehe za Uwekaji wa jiwe la Msingi la Kituo cha Polisi mbweni nje ya mji wa Zanzibar ikiwa ni Shamra shamra za kutimia miaka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BpIzw8WluWo/VhfUvk5RJbI/AAAAAAAH-Mw/XT2SASeYpAI/s72-c/DSC_8049.jpg)
UWEKAJI WA JIWE LA MSINGI JENGO LA ABIRIA TERMINAL II ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-BpIzw8WluWo/VhfUvk5RJbI/AAAAAAAH-Mw/XT2SASeYpAI/s640/DSC_8049.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3DS1AJ-liiE/VhfUvuQiPcI/AAAAAAAH-M4/Nf__3ousiX4/s640/DSC_8057.jpg)
9 years ago
Dewji Blog17 Oct
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rUuI2pM78zA/ViFBKAq_uZI/AAAAAAAIAZ4/psKPWMSNWB8/s72-c/IMG-20151016-WA0035.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nhzQVWXCKZo/U18vPkQ2hUI/AAAAAAAFd3E/c3FIQt_mjzo/s72-c/unnamed+(58).jpg)
sherehe za kipaimara na uwekaji jiwe la msingi kwa kanisa jipya parokia ya babati
![](http://4.bp.blogspot.com/-nhzQVWXCKZo/U18vPkQ2hUI/AAAAAAAFd3E/c3FIQt_mjzo/s1600/unnamed+(58).jpg)
Miongoni mwa vijana 116 waliopatiwa Kipaimara na Askofu wa Jimbo la Mbulu Mkoani Manyara, Beatus Kinyaiya, kwenye kanisa la Parokia ya Roho Mtakatifu mjini Babati juzi, hapa wakipita mbele ya wageni na waumini mbalimbali wa eneo hilo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-tsUdHtuhmms/U18vhxV68_I/AAAAAAAFd3U/Lhxkpjmxxyk/s1600/unnamed+(61).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-czZo4T6uVp0/U18vjzo9U3I/AAAAAAAFd3c/1C1Jvxs9qMo/s1600/unnamed+(60).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8YuAJ4r9Md8/U18vP9L78MI/AAAAAAAFd3I/KIt_m1fjEpM/s1600/unnamed+(59).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8zo4NUP9bg0/U6Ec_byyoGI/AAAAAAACjpo/3CnRqeuGXPk/s72-c/IPTL+MBWENI+PIX+1.jpg)
IPTL yapiga jeki ujenzi wa kituo cha polisi cha Mbweni- Malindi
![](http://2.bp.blogspot.com/-8zo4NUP9bg0/U6Ec_byyoGI/AAAAAAACjpo/3CnRqeuGXPk/s1600/IPTL+MBWENI+PIX+1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ufsiGmLtEzo/U6Ec_tVSNUI/AAAAAAACjps/ntqD_hqHI0I/s1600/IPTL+MBWENI+PIX+2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--lN0Ls9kkRs/XtE1SY4nQHI/AAAAAAALr_c/dCpe6xpenA0u9I1Z2bI7YM6GZftTsGIyQCLcBGAsYHQ/s72-c/2-23.jpg)
Rais Magufuli akagua maandalizi ya sherehe za uwekaji jiwe la msingi ujenzi wa Ofisi za Ikulu Chamwino
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 29 Mei, 2020 amekagua maandalizi ya sherehe za uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa Ofisi za Ikulu, Chamwino Mkoani Dodoma zitakazofanyika kesho tarehe 30 Mei, 2020.
Jiwe la msingi la ujenzi wa ofisi hizo litawekwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JaZzn12IcZU/VovY3II8VNI/AAAAAAAIQqk/dB8txbFwyMI/s72-c/814.jpg)
BALOZI SEIF ALI IDDI AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA KITUO CHA TIBA NA MAREKEBISHO YA TABIA KWA VIJANA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-JaZzn12IcZU/VovY3II8VNI/AAAAAAAIQqk/dB8txbFwyMI/s640/814.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Xn1S6OJ98OE/VovY3QMn9HI/AAAAAAAIQqg/jrocdlVPRJU/s640/822.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pMqFNOc6lzM/ViaVCJPAElI/AAAAAAAIBXU/isyw8IdMW7g/s72-c/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
Pinda aweka jiwe la msingi jiwe la Msingi la Jengo la makazi na Biashara la NHC Place eneo la Victoria jijini Dar es slaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-pMqFNOc6lzM/ViaVCJPAElI/AAAAAAAIBXU/isyw8IdMW7g/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ug4aTviLuwA/ViaVCPmw0HI/AAAAAAAIBXc/P4SwbQ-tYDs/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Jan
Pinda aweka jiwe la msingi shule ya sekondari Kibuteni Zanzibar
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza wakati alipoweka jiwe la Masingi la Shule ya Sekondari ya Kibuteni ya Zanzibar ikiwa ni moja ya ya shughuli za Sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar Januari 10, 2015. Kulia kwake ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Ali Juma Shamhuna. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimsikiliza Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali wa Zanzibar,Ali Juma Shamhuna (wapili kulia) baada ya kuweka jiwe la Masingi la Shule ya Sekondari ya...