Uzalishaji maziwa waongezeka nchini
Serikali imesema kuanzishwa kwa viwanda vipya vya kusindika maziwa nchini kumesaidia kuongezeka kwa uzalishaji wa bidhaa hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-M_wiAwPWZb8/VG28V3LPGeI/AAAAAAADNxY/TWG26e_N0DM/s72-c/image.jpeg)
UZALISHAJI WA MIFUGO KATIKA MASHAMBA YA JESHI LA MAGEREZA WAONGEZEKA KWA MAFANIKIO MAKUBWA NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-M_wiAwPWZb8/VG28V3LPGeI/AAAAAAADNxY/TWG26e_N0DM/s1600/image.jpeg)
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA-UZALISHAJI WA KAHAWA WAONGEZEKA WAFIKIA TANI 214,962
Waziri wa Kilimo, Mhe Japhet Hasunga (Mb)
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
WAZIRI wa Kilimo, Mhe Japhet Hasunga (Mb) amesema kuwa katika kipindi cha Serikali ya awamu ya Tano ya Dkt. John Magufuli zao la Kahawa limeweza kufikia uzalishaji wa tani 214,962 .
Ametoa kauli hiyo Jijini Dodoma wakati akizungumzia mafanikio yaliyopatikana katika sekta ya Kahawa katika kipindi cha miaka minne ya serikali ya awamu ya tano na kusema kuwa kwa wastani kila mwaka imekuwa ikizalisha tani 51,777 ya...
10 years ago
Dewji Blog27 Aug
Serikali yasisitiza katika uzalishaji,ukusanyaji na usindikaji wa Maziwa
Msemaji wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Mohamed Bahari akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) walipotembelea kiwanda cha uzalishaji wa maziwa kilichopo Kigamboni jijini Dar es Salaam ambapo Serikali inasisitiza watanzania kuwekeza katika sekta ya ufugaji na uzalishaji wa maziwa ili kukuza uchumi.
Mkurugenzi wa kiwanda cha Maziwa cha MilkCom Dairies Ltd Yusuph Said akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu bidhaa zinazozalishwa kiwandani hapo wakati...
9 years ago
StarTV26 Nov
Wataalamu wa mifugo Afrika wakutana jijini Tanga kujadili uzalishaji wa maziwa
Wataalamu wa mifugo kutoka nchi mbalimbali za Afrika wamekutana jijini Tanga kujadili namna watakavyoweza kuongeza uzalishaji wa maziwa na bidhaa zinazotokana na maziwa kati ya nchi hizo.
Wataalamu hao wanatoka Misri, Ghana, Zimbabwe, Uganda, Kenya na wenyeji Tanzania.
Tanzania ina ngombe wa maziwa laki 750, licha ya kuwa na ngombe hao lakini jamii bado imekuwa na mwitikio mdogo wa unywaji wa maziwa.
Kwa mujibu wa Shirika la Chakula Duniani FAO, mahitaji ya mtu mmoja kwa mwaka ni lita 200...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bJ-GOrE1gf8/XsPKaDEee_I/AAAAAAALqws/TuAsa4LKaOEZPDOIZmj44036YCmv0wW2QCLcBGAsYHQ/s72-c/63e02d2f-7a57-4d07-ad5d-f846420366f7.jpg)
UZALISHAJI WA VAZI KINGA (PPE) MUHIMBILI WAONGEZEKA KWA 400% HUKU MAMLAKA YA DAWA NA VIFAA TIBA (TMDA) IKIRIDHIA NA KULITAMBUA
![](https://1.bp.blogspot.com/-bJ-GOrE1gf8/XsPKaDEee_I/AAAAAAALqws/TuAsa4LKaOEZPDOIZmj44036YCmv0wW2QCLcBGAsYHQ/s640/63e02d2f-7a57-4d07-ad5d-f846420366f7.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/82d2bf42-47e1-4cec-ab51-b31ce47d2d76.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3969e8fd-1af8-4d67-a70b-bb5ab0b9a4d1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/73764541-ab78-4998-a176-b686d574513a.jpg)
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Mfumuko wa bei waongezeka nchini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4rXCNo2Kqzw/XqlNx6Mkm3I/AAAAAAALoig/47-ElDlL2vIyoCWvcszMNsbW7Ljr7nxhwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-8.jpg)
WAGONJWA WAPYA WA CORONA 196 WAONGEZEKA NCHINI
Na WAJMW-Dodoma
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa ametangaza ongezeko la wagonjwa wa Corona 196 nchini huku Tanzania Bara ikiwa na Wagonjwa 174 na Zanzibar wagonjwa 22 ambao walitolewa taarifa na Waziri wa Afya Wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid na kufanya idadi ya wagonjwa wa Corona nchini kufikia 480.
Waziri Mkuu Majaliwa amesema hayo wakati akigawa magari 50 ya kubebea wagonjwa kwa wabunge wa majimbo mbalimbali tukio lililofanyika leo katika ofisi ya Waziri Mkuu iliyopo...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-v2i2mfV6-KE/XpQWjQJ--WI/AAAAAAALm1s/Pzy_1jl842QAMsNmhEVpZzeJt5QBoiZCQCLcBGAsYHQ/s72-c/UMMY%2BCORONA.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Uzalishaji wa dawa nchini hauridhishi
IMEBAINIKA kuwa wingi wa uzalishaji wa dawa za binadamu zenye viwango na ubora unaotakiwa nchini bado ni mdogo ikilinganishwa na nchi nyingine duniani. Mwakilishi kutoka Wizara ya Afya, Dk. Eliahadi...