UZINDUZI WA KAMATI YA KITAALAMU YA TUME YA KURATIBU NA UDHIBITI WA MADAWA YA KULEVYA ZANZIBAR
Na Ramadhan Ali-Maelezo ZANZIBAR
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Fatma Abdulhabib Ferej (pichani) amesema juhudi za Serikali ya kuwasogezea wananchi maendeleo hazitokuwa na tija iwapo wimbi la vijana wa Zanzibar watatumika kusafirisha dawa za kulevya na wataendelea kuwa wahanga wa matumizi ya dawa hizo.
Amesema hatma ya maendeleo ya Taifa itategemea zaidi vijana wenye mwelekeo mzuri wa tabia na waliojiepusha na matumizi ya mihadharati ambayo inahatarisha afya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...
10 years ago
GPLKAMATI YA BUNGE YA UKIMWI NA MADAWA YA KULEVYA YATEMBELEA MAKAO MAKUU YA PSPF, WAFURAHISHWA NA MAFANIKIO YALIYOFIKIWA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3B-lTuuefQ8/VQKk8R8xLBI/AAAAAAAAEgc/bUYviJjbG_o/s72-c/PSPF6.jpg)
KAMATI YA BUNGE YA UKIMWI NA MADAWA YA KULEVYA YATEMBELEA MAKAO MAKUU YA PSPF, WAFURAHISHWA NA MAFANIKIO YALIYOFIKIWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-3B-lTuuefQ8/VQKk8R8xLBI/AAAAAAAAEgc/bUYviJjbG_o/s1600/PSPF6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ekhd9ojm3UY/VQKk6fmqFiI/AAAAAAAAEgU/3uewfKuAH68/s1600/PSPF2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zisQwizwgvs/VQKk9rDYAAI/AAAAAAAAEgk/8UJTBAMhBtw/s1600/PSPF3.jpg)
10 years ago
Vijimambo20 Sep
Sikiliza AUDIO ya Mahojiano na Ahmed Mngazija ambae ni mmoja kati ya waathirika wa madawa ya kulevya Zanzibar
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hIzg27ohAYg/Vk2HkZXMMHI/AAAAAAAAUrQ/Gr_5xEh9p14/s72-c/kigwangal3.jpg)
DKT KIGWANGALLA ATOA USHAURI WAKE JUU YA UDHIBITI WA MADAWA SERIKALINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-hIzg27ohAYg/Vk2HkZXMMHI/AAAAAAAAUrQ/Gr_5xEh9p14/s640/kigwangal3.jpg)
MBUNGE mteule jimbo la Nzega vijijini Dkt Hamisi Kigwangalla (CCM) ametoa ushauri kwa wizara husika juu ya udhibiti wa kuvuja kwa madawa serikalini na kwenda kwenye maduka binafsi.
Kupitia ukarasa wake facebook Kigwangalla amesema #Sasa Kazi Tu Changamoto ya Udhibiti wa Kuvuja Madawa Kutoka Mfumo wa Serikali Kwenda Kwenye Maduka ya Watu Binafsi ni Katika Mambo ambayo mgombea Urais wa CCM, Ndg. John Pombe Magufuli alionesha kuwa...
5 years ago
CCM BlogKAMATI KUU YA CCM YAIPA SIKU SABA KAMATI NDOGO YA UDHIBITI NA NIDHAMU KUKAMILISHA NA KUWASILISHA KWENYE VIKAO HUSIKA TAARIFA ZA KINA KINANA, MAKAMBA NA MEMBE
Na Bashir Nkoromo, Dar es Salaam
Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
11 years ago
GPLMADHARA YA MADAWA YA KULEVYA-2