Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UZINDUZI WA KUNDI LA ZANZIBALICOUS WOMEN GROUP ZANZIBAR

ZANZIBAR NI ZAMU YENU SASA KUUNGANA NA WANAWAKE WENZENU WA KUNDI LA ZANZIBALICOUS WOMEN GROUP NA KUSHEHEREKA NAO KATIKA UZINDUZI WA KUNDI LAO KATIKA KUUMALIZIA HUU MWEZI WA SIKU YA MWANAMKE DUNIANI LITAKALOFANYIKA ::OCEAN VIEW BEACH RESORT TAREHE ::28 MARCH BURUDANI ::COCONUT BAND KWA KIINGIILIO…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WALIONG'ARA KWENYE RED CARPET YA UZINDUZI WA ZANZIBALICIOUS WOMEN GROUP @ ZANZIBAR OCEAN VIEW

DSC_0243 Mgeni rasmi Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Bi. Mwanaidi Salehe (kushoto) akiwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Uwezeshaji, Bi. Fatma Gharib Bilal wakati wa sherehe za uzinduzi wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious uliofanyika mwishoni mwa juma ndani ya Zanzibar Ocean View.(Picha na Zainul Mzige). DSC_0058 Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious, Bi. Umul-kulthum Ansel (kulia) akipozi na MC wa shughuli Bi. Fauziat Abood (katikati) pamoja na mjumbe mmoja wa wajumbe Mariam...

 

11 years ago

GPL

WALIONG'ARA KWENYE RED CARPET YA UZINDUZI WA ZANZIBALICIOUS WOMEN GROUP @ ZANZIBAR OCEAN VIEW

Mgeni rasmi Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Bi. Mwanaidi Salehe (kushoto) akiwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Uwezeshaji, Bi. Fatma Gharib Bilal wakati wa sherehe za uzinduzi wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious uliofanyika mwishoni mwa juma ndani ya Zanzibar Ocean View.(Picha na Zainul Mzige). Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious, Bi. Umul-kulthum Ansel (kulia) akipozi na MC wa shughuli Bi....

 

10 years ago

GPL

Naibu Waziri Mhe. January Makamba azindua Kundi la Kaone Sanaa Group Dar Live

Naibu Waziri wa Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia .Mhe. January Makamba azindua Kundi la Kaone Sanaa Group Dar Live usiku huu. hapa akiwa katika picha ya pamoja baada ya uzindua. Wasanii wa Kaolewakiwa stejini…

 

11 years ago

TheCitizen

Women’s group loses over Sh100m in robbery

The business prospects of some 90 village community bank members who hoped to expand their undertakings and settle debts have been shattered after alleged armed robbers disappeared with their accumulated fund worth over Sh100 million.

 

10 years ago

Michuzi

pinda katika maonyesho ya mavazi yaliyoandaliwa na New Millenium Women Group

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katka picha ya pamoja na wanachama wa Umoja wa wake wa viongozi ( New Millenium Women Group) katika chakula cha jioni kilichoambatana na burdani mbalimbali kwenye ukumbi wa Kardinal Rugambwa, Oysterbay jijini  Dar es salaam, Desemba 12, 2014.  Chakula hicho  kiliandaliwa ili kuchangisha fedha kwa ajili ya maboresho ya kituo cha  kulea watoto yatima cha Buhangija mkoani Shinyanga. Baadhi ya  washiriki wa maonyesho ya mavazi yaliyoandaliwa na  Umoja wa wake wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

New Mellinium Women Group yafanya kampeni maalumu ya Saratani nchini

IMG_4536

Mke wa Makamu wa Rais, Mama Asha Bilal, (kushoto) na Mlezi wa chama cha wake wa viongozi Mama Tunu Pinda wakipata maelezo kutoka kwa Prof Amyn Alidina ambaye ni mkuu wa kitengo kinachotoa  huduma ya matibabu ya ugonjwa wa Saratani inayotolewa katika Hospitali ya Aga Khan iliyopo jijini Dar es salaam.Wake wa viongozi walikuwa katika Hospitali ya Aga Khan katika kampeni ya kuhamasisha Watanzania kuwa na tabia ya kuchunguza afya zao ilikujua mapema kama wanatatizo la Saratani  na waweze...

 

10 years ago

GPL

PINDA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI YALIYOANDALIWA NA NEW MILLENIUM WOMEN GROUP

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katka picha ya pamoja na wanachama wa Umoja wa wake wa viongozi ( New Millenium Women Group) katika chakula cha jioni kilichoambatana na burdani mbalimbali kwenye ukumbi wa Kardinal Rugambwa, Oysterbay jijini  Dar es salaam, Desemba 12, 2014.  Chakula hicho  kiliandaliwa ili kuchangisha fedha kwa ajili ya maboresho ya kituo cha  kulea watoto yatima cha Buhangija mkoani...

 

11 years ago

Michuzi

New Mellinium Women Group yafanya Kampeni Maalumu ya Saratani Nchini



  Mke wa Makamu wa RaisMama Asha Bilal  (L)na Mlezi wa chama cha wake wa viongozi Mama Tunu Pinda wakipata maelezo kutoka kwa Prof Amyn Alidina ambaye ni mkuu wa kitengo kinachotoa   huduma ya matibabu ya ugonjwa wa Saratani inayo tolewa katika Hospitali ya Aga Khan iliyopo jijini Dar es salaam Wake wa viongozi walikuwa katika Hospitali ya Aga Khan katika kampeni ya kuhamasisha Watanzania kuwa natabia ya kuchunguza afya zao ilikujua mapema kama wanatatizo la Saratani  nawaweze kupata...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani