Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Women’s group loses over Sh100m in robbery

The business prospects of some 90 village community bank members who hoped to expand their undertakings and settle debts have been shattered after alleged armed robbers disappeared with their accumulated fund worth over Sh100 million.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UZINDUZI WA KUNDI LA ZANZIBALICOUS WOMEN GROUP ZANZIBAR

ZANZIBAR NI ZAMU YENU SASA KUUNGANA NA WANAWAKE WENZENU WA KUNDI LA ZANZIBALICOUS WOMEN GROUP NA KUSHEHEREKA NAO KATIKA UZINDUZI WA KUNDI LAO KATIKA KUUMALIZIA HUU MWEZI WA SIKU YA MWANAMKE DUNIANI LITAKALOFANYIKA ::OCEAN VIEW BEACH RESORT TAREHE ::28 MARCH BURUDANI ::COCONUT BAND KWA KIINGIILIO…

 

10 years ago

Michuzi

pinda katika maonyesho ya mavazi yaliyoandaliwa na New Millenium Women Group

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katka picha ya pamoja na wanachama wa Umoja wa wake wa viongozi ( New Millenium Women Group) katika chakula cha jioni kilichoambatana na burdani mbalimbali kwenye ukumbi wa Kardinal Rugambwa, Oysterbay jijini  Dar es salaam, Desemba 12, 2014.  Chakula hicho  kiliandaliwa ili kuchangisha fedha kwa ajili ya maboresho ya kituo cha  kulea watoto yatima cha Buhangija mkoani Shinyanga. Baadhi ya  washiriki wa maonyesho ya mavazi yaliyoandaliwa na  Umoja wa wake wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

New Mellinium Women Group yafanya kampeni maalumu ya Saratani nchini

IMG_4536

Mke wa Makamu wa Rais, Mama Asha Bilal, (kushoto) na Mlezi wa chama cha wake wa viongozi Mama Tunu Pinda wakipata maelezo kutoka kwa Prof Amyn Alidina ambaye ni mkuu wa kitengo kinachotoa  huduma ya matibabu ya ugonjwa wa Saratani inayotolewa katika Hospitali ya Aga Khan iliyopo jijini Dar es salaam.Wake wa viongozi walikuwa katika Hospitali ya Aga Khan katika kampeni ya kuhamasisha Watanzania kuwa na tabia ya kuchunguza afya zao ilikujua mapema kama wanatatizo la Saratani  na waweze...

 

11 years ago

Michuzi

New Mellinium Women Group yafanya Kampeni Maalumu ya Saratani Nchini



  Mke wa Makamu wa RaisMama Asha Bilal  (L)na Mlezi wa chama cha wake wa viongozi Mama Tunu Pinda wakipata maelezo kutoka kwa Prof Amyn Alidina ambaye ni mkuu wa kitengo kinachotoa   huduma ya matibabu ya ugonjwa wa Saratani inayo tolewa katika Hospitali ya Aga Khan iliyopo jijini Dar es salaam Wake wa viongozi walikuwa katika Hospitali ya Aga Khan katika kampeni ya kuhamasisha Watanzania kuwa natabia ya kuchunguza afya zao ilikujua mapema kama wanatatizo la Saratani  nawaweze kupata...

 

10 years ago

GPL

PINDA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI YALIYOANDALIWA NA NEW MILLENIUM WOMEN GROUP

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katka picha ya pamoja na wanachama wa Umoja wa wake wa viongozi ( New Millenium Women Group) katika chakula cha jioni kilichoambatana na burdani mbalimbali kwenye ukumbi wa Kardinal Rugambwa, Oysterbay jijini  Dar es salaam, Desemba 12, 2014.  Chakula hicho  kiliandaliwa ili kuchangisha fedha kwa ajili ya maboresho ya kituo cha  kulea watoto yatima cha Buhangija mkoani...

 

11 years ago

Michuzi

MELLINIUM WOMEN GROUP YASAIDIA WASICHANA WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU

Kikundi cha wake wa Viongozi (Mellinium Women Group) yatoa msaada wa Chakula, Mavazi na Vifaa vya usafi vyenye thamani ya sh. Milioni 6.8/- kwa “New Hope for Girls Organization’’ kinacholea wasichana wanaoishi katika mazingira magumu.
Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda alieleza kuwa, wake wa viongozi waliguswa baada ya kukutana na Bibi. Consoler Eliya mwaka jana katika mkutano wa wanawake wajiwezeshe kiuchumi ambaye ni miongoni mwa wasichana walioishi katika mazingira magumu na kuahidi...

 

11 years ago

GPL

MWAKILISHI WA UPENDO WOMEN'S GROUP BELGIUM AFUTURISHA WATOTO YATIMA

    Waumini wa dini ya Kiislamu wakisoma dua.    Waumini na watoto yatima wakiwa katika dua.     Baadhi ya waumini wakisikiliza neno kutoka kwa…

 

11 years ago

GPL

UPENDO WOMEN'S GROUP BRUSSELS UBELGIJI WAICHANGIA HOSPITALI YA MWANANYAMALA‏

Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji, Dk. Diodorus Kamala akifungua hotuba yake katika hafla ya uchangishaji wa fedha kwa ajili ya akina mama na watoto waliopo katika wakati mgumu hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Kushoto kwake ni Balozi wa Kenya nchini Ubelgiji Johson Uweru na pembeni yake ni Mwakilishi kutoka Madagascar Norbet Richard Ibrahim. Kulia kwa Dk. Kamala ni Balozi wa Burundi Dk. Felix.
Upendo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani