Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New Mellinium Women Group yafanya kampeni maalumu ya Saratani nchini

IMG_4536

Mke wa Makamu wa Rais, Mama Asha Bilal, (kushoto) na Mlezi wa chama cha wake wa viongozi Mama Tunu Pinda wakipata maelezo kutoka kwa Prof Amyn Alidina ambaye ni mkuu wa kitengo kinachotoa  huduma ya matibabu ya ugonjwa wa Saratani inayotolewa katika Hospitali ya Aga Khan iliyopo jijini Dar es salaam.Wake wa viongozi walikuwa katika Hospitali ya Aga Khan katika kampeni ya kuhamasisha Watanzania kuwa na tabia ya kuchunguza afya zao ilikujua mapema kama wanatatizo la Saratani  na waweze...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

New Mellinium Women Group yafanya Kampeni Maalumu ya Saratani Nchini



  Mke wa Makamu wa RaisMama Asha Bilal  (L)na Mlezi wa chama cha wake wa viongozi Mama Tunu Pinda wakipata maelezo kutoka kwa Prof Amyn Alidina ambaye ni mkuu wa kitengo kinachotoa   huduma ya matibabu ya ugonjwa wa Saratani inayo tolewa katika Hospitali ya Aga Khan iliyopo jijini Dar es salaam Wake wa viongozi walikuwa katika Hospitali ya Aga Khan katika kampeni ya kuhamasisha Watanzania kuwa natabia ya kuchunguza afya zao ilikujua mapema kama wanatatizo la Saratani  nawaweze kupata...

 

11 years ago

Michuzi

MELLINIUM WOMEN GROUP YASAIDIA WASICHANA WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU

Kikundi cha wake wa Viongozi (Mellinium Women Group) yatoa msaada wa Chakula, Mavazi na Vifaa vya usafi vyenye thamani ya sh. Milioni 6.8/- kwa “New Hope for Girls Organization’’ kinacholea wasichana wanaoishi katika mazingira magumu.
Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda alieleza kuwa, wake wa viongozi waliguswa baada ya kukutana na Bibi. Consoler Eliya mwaka jana katika mkutano wa wanawake wajiwezeshe kiuchumi ambaye ni miongoni mwa wasichana walioishi katika mazingira magumu na kuahidi...

 

11 years ago

Michuzi

WAKE WA VIONGOZI NEW MELLINIUM WOMEN GROUP WA TAMBELEA KAMBI YA MAISHA PLUS ILIYOPO BAGAMOYO

 Mke wa Makamu wa Raisi Zakia Bilali akiwasha jiko la gesi ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa mtambo wa gesi inayo tokana na kinyesi cha ng’ombe ambayo imetengenezwa na washiriki wa shindano la Maisha Plus kulia kwake ni mlezi wa chama cha wake wa viongozi New Mellinium Women Group   Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda   wakiwa na wake wengine wa viongozi  wakishuhudia uzinduzi huo ambao umefanyika katika kambi ya Maisha Plus iliyopo wilayani Bagamoyo mkoa wa Pwani   Mlezi wa chama cha wake wa...

 

11 years ago

GPL

PROIN GROUP OF COMPANIES YAFANYA SHEREHE YA KUUKARIBISHA MWAKA 2014

  Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin Group of Companies Bw Johson Lukaza akiwakaribisha wafanyakazi wa makampuni yaliyo chini ya Proin Group of Companies pamoja na wageni waalikwa katika sherehe ya kuukaribisha mwaka 2014 iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika Jengo la Kampuni hiyo la Tranic Plaza. Mshereheshaji wa Sherehe hiyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bongo Movie Steve Nyerere akiongea na wageni waalikwa pamoja na...

 

10 years ago

Michuzi

TOYOTA YAFANYA BONANZA MAALUMU LA KUWAPONGEZA WAFANYAKAZI WAKE, WANAUME WACHUANA KUKUNA NAZI

 Wafanyakazi wanaume wa Kampuni ya Toyota Tanzania, wakishindana kukuna Nazi wakati wa Bonanza maalumu la kuwapongeza wafanyakazi lililoandaliwa na Kampuni hiyo lililofanyika kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam, juzi Agosti 23, 2014. Katika Bonanza hilo timu ya Rav 4 iliibuka mshindi wa jumla katika michezo yote iliyochezwa ikifuatiwa na timu ya Hilux, VX na Prado.  Wafanyakazi wanaume wa Kampuni ya Toyota Tanzania, wakishindana kukuna Nazi wakati wa Bonanza maalumu la...

 

11 years ago

TheCitizen

Women’s group loses over Sh100m in robbery

The business prospects of some 90 village community bank members who hoped to expand their undertakings and settle debts have been shattered after alleged armed robbers disappeared with their accumulated fund worth over Sh100 million.

 

11 years ago

GPL

UZINDUZI WA KUNDI LA ZANZIBALICOUS WOMEN GROUP ZANZIBAR

ZANZIBAR NI ZAMU YENU SASA KUUNGANA NA WANAWAKE WENZENU WA KUNDI LA ZANZIBALICOUS WOMEN GROUP NA KUSHEHEREKA NAO KATIKA UZINDUZI WA KUNDI LAO KATIKA KUUMALIZIA HUU MWEZI WA SIKU YA MWANAMKE DUNIANI LITAKALOFANYIKA ::OCEAN VIEW BEACH RESORT TAREHE ::28 MARCH BURUDANI ::COCONUT BAND KWA KIINGIILIO…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani