Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VALENTINE YA ILIYOANDALIWA NA MISSY TEMEKE BALAA

Valentine iliyobeba jina la "The Diva's USA Valentine's Day" iliyoandaliwa na Miss Temeke maalum kwa Wapendanao iliyofanyika siku ya Jumamosi Sheraton ya Downtown Silver Spring na baadae wapendanao hao kila mmoja kupata chumba chake na kupiga mbonji na mpenzi wake mpaka asubuhi na kuamkia na kufungua kinywa kabla ya kurejea makwao. Kwa sasa hivi pata picha hizi chache jinsi gani ya wapendanao hao walivyolishana keki kwa mbwembwe na baadae tutawaletea picha zaidi.Bofya soma zaidi kwa picha...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

THE DIVA'S USA VALENTINE'S DAY DINNER YA MISSY T DOWNTOWN SILVER SPRING, MARYLAND

Meza maalumu kwa wapendanao kwenye siku ya Valentine iliyoandalia na Missy Temeke na mumewe iliyofanyika siku ya Jumamosi Februari 14, 2015 Sheraton Downtown Silver Spring na kuwaalika rafiki zao na iliyoenda sambamba na siku ya kuzaliwa ya Bi. Loveness Mamuya.Wageni waalikwa na mwenyeji wao Missy Temeke wakiwa katika picha ya pamoja.Wageni waalikwa wakiwa katika picha ya pamoja.kwa picha zaidi bofya soma zaidi
 KUKATA KEKI BIRTHDAY YA LOVENESS MAMUYA Bwana na Bi Matope wakiongea jambo  Bi....

 

9 years ago

Vijimambo

MISSY TEMEKE AKONGA NYOYO ZA MASHABIKI SWAHILI FEST BLADENSBURG WATER FRONT, MARYLAND

Missy T wa Kwetu fashion akinesanesa kwenye Jukwaa siku ya Jumapili Septemba 20, 2015 siku ya kuadhimisha Swahili Fest iliyoshirikisha nchi zote Afrika Mashariki chini ya wanaandaaji Patrick, Seif Ndossa, Amri Mariatabu na Frank Kajale.Missy Temeke na Patrick Kajale (kati) wakiwa katika picha ya pamoja na walimbwende waliovaa nguo zilizobuniwa na Kwetu Fashion.




 

10 years ago

Michuzi

Makundi 5 yang'ara ndani ya Temeke kwenye usaili wa kwanza Dance 100% 2015 Temeke

Usili wa kwanza wa Dance 100% (2015) umefanyika kwa mafanikio makubwa Temeke jijini Dar es Salaam, ambapo makundi ya Team ya Shamba, The WT Group, WD, The Best Boys Kaka Zao na Team Makorokocho wameweza kushinda nafasi ya kuingia katika michuano kutoka wilaya ya Temeke.
Makundi haya yamechuana vikali na mengine 6 yanayokamilisha idadi ya makundi 11, UNI 6 Crew, GMF Crew, TWC, Dar Crew, Noma Sana Crew, na Viga Stars yaliyojitokeza kuwania nafasi hiyo katika usajili huo wa kwanza.


Mratibu wa...

 

10 years ago

Vijimambo

MUONEKANO MPYA WA MISSY ELLIOTT

Rapa wa siku nyingi nchini Marekani aliyejipatia umaarufu kwenye nyimbo za lose control na get ur freak on amepunguza kuonekana kwenye kadamnasi kwa nadra sana.
Siku ya Alhamisi alitokea kwenye onesho la Alexander Wang’s H&M Collection akiwa na muonekano mpya kama anavyoonekana kwenye picha.

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA TEMEKE NDUGU SOPHIA MJEMA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA SIKU 5 YA KUZUIA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI WILAYANI TEMEKE

Mkuu wa Wilaya ya Temeke Ndugu Sophia Mjema akilakiwa na Dkt. Martha Kisanga, Meneja wa Kanda ya Pwani wa Shirika la Engender Health mara baada ya kuwasili kwenye eneo la Shule ya Sekondari Kibasila kwa ajili ya kufunga rasmi mafunzo ya siku 5 yaliyohusu mradi wa kuzuia mimba za utotoni katika Shule za Sekondari katika Wilaya ya Temeke tarehe 17.4.2015. Waliosimama katikati ni Ndugu Donald Siliva, Afisa-Elimu Sekondari, Wilaya ya Temeke na Dkt. Sarah Maongezi, Mkurugenzi wa Afya kutoka...

 

11 years ago

Michuzi

SEMINA YA SHERIA YA MANUNUZI iliyoandaliwa na ACCT imekamilika leo

Association of Citizen Contractors (ACCT) organized a two-day seminar on the new Procurement Act of 2011, at Kunduchi Beach Hotel from 11th to 12th June 2014 has been conducted by Dr. Ramadhani Mlinga who is the former CEO of PPRA and a seasoned specialist in the Procurement area. 
This program is very important to the construction industry as it will highlight key changes introduced in the Public Procurement Act of 2011 and its 2013 regulations and explained the impact of these changes...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Missy Elliott Ft Pharrell Williams — WTF (Where They From)

missy2

Missy Elliott ameachia Video mpya ya kwanza ndani ya miaka 10, wimbo unaitwa “WTF (Where They From)” Amemshirikisha mkali wa hit single ya Happy, Pharrell Williams.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

GPL

JK AHUDHURIA HAFLA YA CHAKULA CHA JIONI ILIYOANDALIWA NA NSSF JIJINI ARUSHA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiambatana na Mwenyekiti wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),Ndg. Aboubakar Rajab wakati wakiingia Ukumbiti tayari kwa kushiriki chakula cha jioni na Wadau mbali mbali wa NSSF wanaohudhuria Mkutano wa Nne wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) unaoambatana na Maadhimisho ya Miaka 50 ya NPF-NSSF.
...

 

11 years ago

GPL

JK KATIKA HAFLA YA CHAKULA CHA JIONI ILIYOANDALIWA NA NSSF JIJINI ARUSHA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiambatana na Mwenyekiti wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),Ndg. Aboubakar Rajab wakati wakiingia Ukumbiti tayari kwa kushiriki chakula cha jioni na Wadau mbali mbali wa NSSF wanaohudhulia Mkutano wa Nne wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) unaoambatana na Maadhimisho ya Miaka 50 ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani