Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VALENTINE’S DAY INAYOSHEREHEKEWA LEO, SIYO ILIYOKUSUDIWA!

LEO ni Sikukuu ya Wapendanao. Siku maalum kwa ajili ya kuoneshana mapenzi ya dhati. Ni siku muhimu sana yenye maana kubwa kwa kila mtu, maana upendo hauchagui. Si kwa wapenzi tu bali hata kwa familia. Maana halisi ya siku yenyewe inaharibiwa na watu wanaotumia fursa ya Valentine’s Day kufanikisha matakwa ya misukumo ya tamaa za miili yao. Kama unabisha nenda gesti ukaulizie chumba leo, kila mahali utakuta kumejaa! Ndiyo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

LEO NDIYO LEO VALENTINE’S DAY, DAR LIVE!

Makala: Andrew Carlos
HATIMAYE ila siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na wapendanao wote ‘Valentine’s Day’ imefika ambapo leo, Februari 14, ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, jijini Dar kutafuka moshi wa burudani kutoka kwa wakali wa mapenzi, Christian Bella ‘Obama’ pamoja na Mfalme Mzee Yusuf. Mkali wa masauti, Christian Bella ‘Obama’. Good newz...

 

11 years ago

GPL

VALENTINE'S DAY: HAPATOSHI DAR LIVE LEO

Mfalme wa miondoko ya taarabu Bongo, Mzee Yusuf leo atakuwa ndani ya Dar Live kuwapa raha wapendanao. WAPENDANAO KUJIACHIA NA MZEE YUSUF HAKUNA haja ya kuhangaika leo katika sikukuu ya wapendanao, kiwanja ni kimoja tu, Dar Live, Mbagala-Zakhem, jijini Dar. Mfalme wa miondoko ya taarabu Bongo, Mzee Yusuf atashusha shoo maalum kwa wapendanao katika ukumbi huo, hivyo burudani itachukua mkondo wake pamoja
na zawadi kibao...

 

10 years ago

Mwananchi

Valentine ya sasa, siyo upendo, ni mapenzi?

Leo ni siku ambayo Watanzania wataungana na watu wote duniani kuadhimisha Siku ya Wapendanao, kwa upande mwingine siku hii ikiangaliwa tofauti na Watanzania walio wengi hasa vijana.

 

10 years ago

Michuzi

BARNABA BOY NA AMINI WATINGA RADIO KASIBANTE 88.5 FM RADIO BUKOBA, TAYARI KWA KUTOA BURUDANI LEO VALENTINE DAY LINA'S NIGHT CLUB

Mwanamuziki anayefanya vizuri katika tasnia ya muziki nchini Elias Barnabas ‘Barnaba’ akiimba moja ya wimbo wake Ndani ya Studio Radio Kasibante 88.5 FM huku akipiga Gitaa lake.. Mzee wa Robo saa Amini akitokelezea leo wakati anazungumza na Wananchi wa Bukoba Kupitia Radio Kasibante 88.5 FM leo ambapo usiku huu watakuwa pamoja na Barnaba kwenye Ukumbi wa Lina's Night Club kutoa Burudani ya Nguvu na Special kwa Siku ya Wapendanao "Valentine Day" Picha na Faustine Ruta wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Umejiandaaje na Valentine’s day?

URAFIKI na Mahusiano ndio jina la safu hii mpenzi msomaji. Ni matumaini yangu umzima na unaendelea vema kukabiliana na shughuli mbambali za ujenzi wa taifa hili. Nami bila hajizi nakukaribisha...

 

10 years ago

TheCitizen

THE PUB: It’s Valentine’s Day, where’s your beloved?

>As you read this, it’s St Valentine’s Day. Siku ya   Wapendanao, we call it in our good old Kiswahili. No big deal, if you ask Wa Muyanza and his village oriented ilk. But then, let’s admit it, the Valentine’s Day is okay, because it gives the fun-loving Wabongo the excuse to spoil a beloved one, doesn’t it?

 

10 years ago

Dewji Blog

11 years ago

Michuzi

1 week left to Valentine's Day!

Book your place today at the hottest Valentine dinner event in town.  Great food, live entertainment and so much more!  Call 0717 109 362 or 0784 636 169 today

 

11 years ago

Michuzi

2 weeks left to Valentine's Day!

Book your place today at the hottest Valentine dinner event in town. Great food, live entertainment and so much more! 
Call 0717 109 362 or 0784 636 169today

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani