Victor Moses nje kwa jeraha lengine
Mchezaji wa Nigeria, Victor Moses atakosa mechi ya kufuzu kwa kombe la taifa bingwa Afrika baada ya kupata jereha la paja.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili21 Nov
Victor Moses ataibuka mshindi?
Victor Moses ni mchezaji mwenye umri wa miaka 22, ambaye kwa sasa anachezea klabu yake ya nne ya Liverpool
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/77858000/jpg/_77858022_495481259.jpg)
Victor Moses recalled to Nigeria squad
Victor Moses is recalled to the Nigeria squad for the 2015 Africa Cup of Nations ties against Sudan in October.
5 years ago
BBCSwahili21 May
Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 21.05.2020: Sane, Victor Moses, Jorginho, Ighalo, Neymar
Wakala wa Jorginho, 28, amesisitiza kuwa kiungo wa Italia ana furaha katika kikosi cha Chelsea na kuda kuwa Juventus
11 years ago
BBCSwahili17 Jun
Shambulizi lengine lakumba Mpeketoni
Shambulizi lengine limetokea katika eneo la Mpeketoni karibu na Lamu ,pwani ya Kenya na kusababisha vifo vya watu 10
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Victor Valdes kwa kuwa hana nidham
Meneja wa Manchester United Louis van Gaal amesema watamuuza mlinda mlango wao Victor Valdes kwa kuwa hafuati filosofia yake.
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Moses Machali
Wilaya ya Kasulu inakabiliwa na wimbi kubwa la uhalifu na kila wanapokamatwa hata kama kuna vithibitisho vya kutosha, wahalifu hao huachwa bila kuchukuliwa hatua za kisheria na hivyo kuzidi kwa vitendo vya uhalifu. Utafanya nini ili kukomesha tabia ya polisi kuwaachia watuhumiwa kienyeji?
11 years ago
GPLASKARI MOSES ALPHAGE ALAMBA MILIONI 2 KWA BIDII YA KAZINI
Mfanyaakazi wa Idara ya Masoko wa Kampuni ya Vodacom Albert Maneno (wa tatu kushoto) akiongea kabla ya kukabidhi Sh. milioni 2 kwa askari wa kikosi cha Usalama Barabarani Moses Alphage (wa kwanza kushoto) aliyeibuka kidedea katika programu ya kuibua hamasa ya kazi kwa askari hao jijini Dar es salaam iliyoendeshwa na kituo cha Redio Clouds FM. Fedha hizo zimetolewa na wafanyakazi wa Vodacom pamoja na wananchi mbalimbali walioguswa...
10 years ago
Michuzi04 Dec
semina kubwa ya neno la Mungu kutoka kwa DANIEL MOSES KULOLA -DALLAS TEXAS,
Napenda kupitia blog hii ya jamii kuwakaribisha watu wote katika jiji hili la Dallas,Texas katika semina kubwa ya neno la Mungu itakayofanyika katika jiji letu. Mtumishi wa Mungu anaeheshimika ndani na nje ya nchi yetu Dr.Daniel Moses Kulola ndie atakae tuhudumia.
Daniel Kulola ni mtoto wa marehemu mzee Moses Kulola,mtumishi ambae ametoa mchango mkubwa sana wa injili katika Taifa letu kabla hajaenda kukaa na Bwana. Ili kuhakikisha kila mtu anapata nafasi ya kuhudhuria semina hii; kanisa...
Daniel Kulola ni mtoto wa marehemu mzee Moses Kulola,mtumishi ambae ametoa mchango mkubwa sana wa injili katika Taifa letu kabla hajaenda kukaa na Bwana. Ili kuhakikisha kila mtu anapata nafasi ya kuhudhuria semina hii; kanisa...
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Victor Wanyama na Divock Origi: Shauku kubwa kwa Wakenya Liverpool na Tottenham kufuzu fainali ya Champions League
Nyota wawili wa Kenya wanazichezea timu zitakazokutana katika fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya Juni mosi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania