Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Victor Valdes kwa kuwa hana nidham

Meneja wa Manchester United Louis van Gaal amesema watamuuza mlinda mlango wao Victor Valdes kwa kuwa hafuati filosofia yake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Louis van Gaal azitaja sababu za kutaka kumtema Victor Valdes

Kocha wa Manchester United, Louis van Gaal anaonekana kumwonyesha mlango wa kutokea Old Trafford mlinda mlango, Victor Valade baada ya kuonekana hana nidhamu. Louis van Gaal akiongea na waandishi wa habari nchini Marekani Kocha huyo alibainisha kuwa Valdes alikataa kuichezea timu ya pili msimu uliopita. Anadai kuwa Valdes ameshindwa kuendana na falsafa zake ndani ya […]

 

10 years ago

GPL

MWANAMKE WA KUMUOA HANA SIFA ZA KUWA MPENZI

YES! Ni Jumanne tena, wenye imani haba husema kwa kawaida Jumanne si siku yenye baraka kifedha! Si kweli! Mungu alipoumba mbingu na dunia aliziona siku zote saba ni njema ila matumizi yetu wanadamu ndiyo yana kasoro! Jumanne ya leo Mungu ameniwezesha kuwafikia tena, ninakuja na mada nzuri sana. Kwamba, Mwanamke wa Kumuoa Hana Sifa za Kuwa Mpenzi.Wengi wanaweza kupingana na huu utafiti wangu lakini nawaomba wasome mada hii mwanzo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Lewis Hamilton amesema kuwa hana nia yoyote ya 'kuihama' Mercedes.

Dereva wa magari yaendayo kasi Lewis Hamilton anasema kwa sasa hafikirii kuhama kwenye timu yake ya Mercedes.

 

10 years ago

GPL

MASHABIKI WAUMIZWA NA UJUMBE WA WEMA SEPETU KUWA HANA UWEZO WA KUSHIKA MIMBA

Mrembo Wema Sepetu. MASIKITIKO! Baada ya mrembo Wema Sepetu kutupia ujumbe kupitia mtandao wa Instagram kuwa si kwamba hapendi kuzaa bali hana uwezo wa kufanya hivyo mashabiki wake wengi wameonekana kuumizwa na taarifa hiyo. Wengi wa mashabiki wameonekana kumpa ple Wema na kumtia moyo kuwa ipo siku naye atapata mtoto na kuitwa mama. Wema aliamua kuandika ujumbe huo baada ya kushambuliwa na baadhi ya mashabiki wasiomtakia mema...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hiki Ndio Chazo cha Wema Kufunguka Kuwa Uwezo Hana Wakupata Mtoto

Hivi juzi kati staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu aliandika kupitia ukursa wake mtandaoni akilelezea machungu aliyonayo kwa kutokuwa na uwezo wa kupata mtoto lakini yote kamuachia Mungu hii ni kutokana na watu kumuandama sana mtandaoni kuhusu swala hilo. Sakata zima lilianzia hapa.

Wema kupitia ukurasa wake mtandaoni alimpongeza staa mwenzake Hamisa Mobeto kwa kujifungua mtoto kwa kubandika picha hiyo hapo juu ana kuandika;

“They say u are nat yet a woman Until you experience...

 

9 years ago

Bongo5

Bobi Wine asema hana mpango wa kwenda kimataifa, anaridhika kuwa msanii wa ndani

Wakati wanamuziki wengine wa Afrika Mashariki wakiendelea kutafuta njia za kuvuka mipaka ili kutangaza muziki wao kimataifa, Bobi Wine kutoka Uganda amewashangaza wengi baada ya kusema kuwa anaridhika kuwa ‘local artist’ na hana mpango wa kwenda ‘International’. Akiongea kupitia kipindi cha The Beat cha NTV ya Uganda Ijumaa iliyopita, Bobi Wine amesema kuwa kazi yake […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Victor Moses nje kwa jeraha lengine

Mchezaji wa Nigeria, Victor Moses atakosa mechi ya kufuzu kwa kombe la taifa bingwa Afrika baada ya kupata jereha la paja.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Trump asema hana mpango wa kupima, baada ya kukutana na ofisa wa Brazil ambaye aligundulika kuwa na virusi

Trump asema hana mpango wa kupima, baada ya taarifa kuhusu kukutana na ofisa wa Brazil ambaye aligundulika kuwa na virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Victor Wanyama na Divock Origi: Shauku kubwa kwa Wakenya Liverpool na Tottenham kufuzu fainali ya Champions League

Nyota wawili wa Kenya wanazichezea timu zitakazokutana katika fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya Juni mosi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani