Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Cheka kwa kumsikia DJ Khaled akiongea Kiswahili kwenye ‘Hold You Down’

Pamoja na Chris Brown, Jeremiah, August Alsina na Future kuupendezesha wimbo ‘Hold You Down’, DJ Khaled ameuongezea utamu kwa namna anavyojipa promo kwa mpenzi wake. Raha zaidi ni kumsikia akiongea kwa Kiswahili. Enjoy.

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

New Music: DJ Khaled feat. Chris Brown, August Alsina, Future & Jeremih – Hold You Down

Wimbo mpya kutoka kwa DJ Khaled akiwashirikisha Chris Brown, August Alsina, Future & Jeremih ngoma hii inaitwa “Hold You Down” ngoma hii itakuwa inapatikana katika album mpya ya DJ Khaled inayoitwa I Changed A Lot.

 

10 years ago

Bongo5

New Music: DJ Khaled f/ Usher, Rick Ross, Fabolous, & Ace Hood – ‘Hold You Down (Remix)’

DJ Khaled ameachia remix ya Hold You Down akiwasharikisha Usher, Rick Ross, Fabolous, & Ace Hood.

 

9 years ago

Bongo5

Runtown wa Nigeria amshirikisha Dj Khaled kwenye Album yake mpya

runtown n dj khaled

Mwimbaji wa ‘Gallardo’, Runtown kutoka Nigeria ameingia kwenye orodha ya wasanii wa nchi hiyo waliofanikiwa kufanya kazi na masataa wa Marekani.

runtown n dj khaled

Runtown ambaye hivi karibuni alikuja nchini kwenye finali za Bongo Star Search, na ambaye ameshafanya kazi na baadhi ya wasanii wa Tanzania akiwemo Chege, amemshirikisha Dj maarufu wa Marekani, DJ Khaled ambaye pia ni producer kwenye album yake mpya ‘Ghetto University’ itakayotoka Nov.23.

Runtown album-2

Runtown ameshare cover pamoja na orodha ya nyimbo za album...

 

9 years ago

Michuzi

THOMAS MASHALI AMSHINDA FRANCIS CHEKA KWA POINTI KWENYE MPAMBANO WAO MJINI MOROGORO

 Bondia Thomas Mashali (kushoto)  akioneshana umwamba na Francis  Cheka wakati wa mpambano wao uliofanyika Katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro jana siku ya Krismasi. Mashali alishinda kwa point mpambambano huo usiokuwa wa ubingwa wa raundi kumi Bondia Thomas Mashali akikwepa konde la  Francis  Cheka wakati wa mpambano wao uliofanyika Katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro jana siku ya Krismasi. Mashali alishinda kwa point mpambambano huo usiokuwa wa ubingwa wa raundi kumi. Picha na...

 

11 years ago

GPL

KAMANDA WAMBURA AKIONGEA NA WANAHABARI BAADA YA MTIKISIKO KWENYE JENGO LA OFISI ZA TIGO DAR

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Camilius Wambura akiongea na wanahabari jirani na jengo la Derm lenye ofisi za Tigo lililopo Makumbusho jijini Dar es Salaam palipotokea mtikisiko leo. (VIDEO: BALINABAS MANYILIZU / GPL)

 

10 years ago

GPL

JK AKIONGEA NA WAANDISHI WA HABARI MARA BAADA YA KUTUA LEO AKITOKEA MAREKANI KWENYE MATIBABU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Prof. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akiongea na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa J.K. Nyerere jijini Dar es Salaam hivi sasa,mara baada ya kuwasili nchini akitokea nchini Marekani kwenye Matibabu.

 

10 years ago

Michuzi

Breaking nyuzzzz: JK AKIONGEA NA WAANDISHI WA HABARI MARA BAADA YA KUTUA LEO AKITOKEA MAREKANI KWENYE MATIBABU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Prof. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akiongea na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa J.K. Nyerere jijini Dar es Salaam hivi sasa,mara baada ya kuwasili nchini akitokea nchini Marekani kwenye Matibabu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani