Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Emanuel Austin na Ben Pol wakizungumzia collabo yao

Watazame Emanuel Austin na Ben Pol wakizungumzia wimbo waliofanya pamoja ‘Jump Ruka Juu’.

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Video: Emanuel Austin f/ Ben Pol — Ruka Juu

Video kali ya wimbo wa msanii na mwalimu wa dance anayeishi nchini Ujerumani, Emanuel Austin aliomshirikisha Ben Pol. Video iliongozwa na mmoja wa waongozaji maarufu nchini Ujerumani. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Vijimambo

NEW MUSIC VIDEO : EMANUEL AUSTIN FEAT. BEN POL -RUKA JUU


MFAHAMU EMANUEL AUSTIN MTANZANIA MWANAMUZIKI AISHIYE UJERUMANI.
Emanuel  Austin alizaliwa 27.10.1990 Jijini Dar es salaam Tanzania, na ilipofika mwaka 1996  alihamia Ujerumani Kuishi na wazazi wake, Kipaji chake cha kucheza na kuimba kilianza kuonekana mapema.Akiwa na Miaka mitano Emanuel Austin alianza kuigiza kama anacheza movie pamoja na rafiki zake wa Kiafrika akiwemo Gregory Msuya na Michael Jackson.  Alipofika umri wa Miaka 15 alianza kupenda na kuimba muziki wa Kugani yani ‘Hip hop’
...

 

9 years ago

Bongo5

Ben Pol na Avril wa Kenya kuja na collabo!

Ben Pol na muimbaji mrembo wa Kenya, Avril huenda wakaingia ama tayari wameingia studio kurekodi ngoma ya pamoja. Wawili hao wameshare picha kwenye akaunti zao za Instagram na kuelezea kile kinachowezekana kuwa ni ujio wa collabo yao. “Throwback hanging out with the talented @iambenpol…we just might have a surprise for you. #255 #254,” ameandika Avril. […]

 

9 years ago

Bongo5

Ben Pol ayasema haya kuhusu 2Face na D’Banj, ni collabo?

Ben Pol amewataka wasanii wa Tanzania waige mfano wa wasanii nguli wa Nigeria, D’Banj na 2Face kwakuwa hawana utani katika uandaaji wa kazi zao za muziki. Ben Pol ameliambia gazeti la Mtanzania kuwa wasanii hao wanajua wanachofanya kuanzia katika uandaaji wa kazi zao hadi jukwaani tofauti na baadhi ya wasanii wetu hapa nchini wanaokurupuka bila […]

 

9 years ago

Bongo5

Ben Pol ampigia magoti Alikiba, wayamaliza, huenda wakafanya collabo

Kiba

Wagombanao ndio wapatanao. Baada ya wiki nzima ya kuoga matusi kutoka kwa mashabiki wa Alikiba kutokana na kauli yake ya utata kwenye Twitter, Ben Pol amekiri kuwa aliteleza na kumuomba radhi muimbaji huyo wa Nagharamia.

Kiba

Akiongea kwa simu kupitia kipindi cha Jahazi cha Clouds FM Alhamis hii ambako Kiba alikuwepo studio, Ben Pol alisema yeye ni shabiki mkubwa wa Kiba na anamchukulia kama kaka yake na amekiri kuwa tweet ile haikuwa sawa.

“Mimi shabiki wa Kiba, moyoni mwangu nina furaha kubwa...

 

9 years ago

Bongo5

Kuna chochote tutarajie baada ya Ben Pol kukutana na Patoranking Afrika Kusini? Ben Pol ana majibu…

Ben SA-1

Safari ya Ben Pol Afrika Kusini imempa nafasi ya kukutana na mastaa wa Afrika ambao kwa namna moja ama nyingine alikuwa na ndoto za kuja kufanya nao kazi hapo baadae.

Ben SA-1

Ben Pol ambaye ameenda jijini Johannesburg kushoot video ya wimbo aliomshirikisha Avril na Rossie M, ambayo imefanyika jana, pia alipata nafasi ya kukutana na staa wa Nigeria, Patoranking.

Ben pol na Patoranking2
Ben Pol na Patoranking

Baada ya kupost picha akiwa na staa huyo kwenye Instagram, mashabiki walianza kupata hisia kuwa huenda kuna...

 

9 years ago

MillardAyo

Ben Pol kamwomba radhi Alikiba ??!! ishu yao imeisha hivi live #OnIAR.. (+Audio)

Jana December 23 2015 gossic cop wa show ya XXL #CloudsFM, Soudy Brown alifanikiwa kumpata Alikiba… maswali ya Soudy kwa Alikiba ilikuwa jinsi alivyopokea maneno ya Ben Pol kwenye post ya Twitter ambayo alimtaja !! Alikiba alisema hana neno na wala hana tatizo na Ben Pol, kwa hiyo hata kilichoandikwa na Ben Pol alikichukulia poa […]

The post Ben Pol kamwomba radhi Alikiba ??!! ishu yao imeisha hivi live #OnIAR.. (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW VIDEO: BEN POL ft. AVRIL & ROSSIE M - NINGEFANYAJE (Official Video)




Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

9 years ago

Global Publishers

Ben Pol aanza mwaka na Ben Pol

benpol2Ben Pol.

Khadija Mngwai, Dar es Salaam
MWANAMUZIKI wa muziki wa Kizazi kipya ‘Bongo Fleva, Benard Paul (Ben Pol) amefunguka kwa kusema kuwa anauanza mwaka wa 2016 kwa kutoa albamu yake iliyobeba nyimbo 13, mwanzoni mwa mwezi wa pili.

Akizungumza na Championi Jumatano, Pol amesema kuwa wasanii wengi wamekuwa wakiuchukulia muziki huo ni wa kawaida tu kwa kuhitaji kujiingizia kipato na siyo kuwa ‘serious’ na matokeo yake wanaishia kutoa nyimbo moja au mbili ili kupata shoo.

BEN-POL-1“Nimejipanga kuweka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani