Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIDEO MPYA: SHILOLE - CHUNABUZI

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SHILOLE AZINDUA VIDEO YAKE MPYA

Red carpet.   Shilole katika red carpet.…

 

10 years ago

Bongo Movies

Shilole kuzindua msimu mpya MKASI TV Jumatatu hii

Msanii Shilole Kiuno alimaarufu kama Shishi Baby amepata bahati ya kuzindua msimu mpya wa kipindi cha Mkasi TV ambacho kinarushwa kila siku ya Jumatatu kuanzia saa tatu na nusu usiku kupitia Televisheni namba moja kwa vijana EATV.

Mkasi TV inarejea tena kwa kasi kubwa baada ya kufanyiwa mabadiliko na kuboreshwa zaidi ili kuleta hamasa na kuzidi kuwahamasisha watazamaji kuendelea kuwa katika familia hiyo inayokuwa kila siku, muonekano mpya wa mkasi TV hautafanana na ule wa awali.

Shilole...

 

11 years ago

GPL

SHILOLE AIBUKA NA ‘SERENGETI BOY’ MPYA

Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya KWA mara nyingine, staa anayekimbiza kwenye filamu na muziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ au ‘Shishi’ ameibuka katika penzi jipya na bwana mdogo anayechipukia katika muziki wa Bongo Fleva, Nouh Mziwanda, Risasi Mchanganyiko limeinasa. Kwa mujibu wa chanzo chetu, Shilole kwa sasa hasikii wala haoni kwa Nouh pamoja na kwamba wawili hao wanaonekana kuwa na...

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Shilole — Namchukua

Video mpya kutoka kwa Shilole wimbo unaitwa “Namchukua” video imeongozwa na Kevin Bosco Jnr kutoka Kenya

 

10 years ago

Africanjam.Com

9 years ago

Bongo5

Picha: Shilole aonesha tattoo mpya ya jina la ‘Nuh’ aliyochora kifuani

Shilole amewathibitishia mashabiki na ‘haters’ wake kuwa mapenzi yake na Nuh Mziwanda ni ‘Unstoppable’. Staa huyo wa muziki na filamu ameonesha tattoo mpya aliyochora kifuani kwake yenye jina la mpenzi wake ‘Nuh’. Katika post yenye picha hiyo Shishi ameandika “Lv ya ukweli inaongea”. Mapenzi ya wawili hao yamekuwa yakikumbwa na dhoruba ya mara kwa mara […]

 

10 years ago

Bongo5

Video teaser: Shilole — Namchukua

Mwezi uliopita Shilole alienda Nairobi, Kenya kushoot video ya single yake mpya ‘Namchukua’, video ambayo imeongozwa na director Kevin Bosco Jnr. Shilole amesema video hii imemgharimu si chini ya shilingi milioni 10. Hii ni teaser ya video hiyo inayotarajiwa kutoka ‘soon’.

 

10 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani