Video mpya ya Taylor Swift yashutumiwa ‘kutukuza ukoloni wa Afrika’
Video ya wimbo mpya wa Taylor Swift, ‘Wildest Dreams’ imeshutumiwa kwa kutukuza zama za ukoloni wa Afrika. Video hiyo inamuonesha Swift akiwa na mpenzi wake wa kuigiza, Scott Eastwood kwenye mbuga ya wanyama na watu wote wanaoonekana wakiwa ni wazungu zaidi. Hata hivyo muongozaji wa video hiyo, Joseph Kahn amesema video hiyo haihusiani na ukoloni […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo504 Sep
Video: Taylor Swift — Wildest Dreams
10 years ago
BBC
Taylor Swift director defends video
10 years ago
BBCSwahili03 Sep
Mwelekezi wa Taylor Swift atetea video
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Mikataba inavyoweza kurejesha ukoloni mpya Afrika
10 years ago
Africanjam.Com19 Jun
WHAT YOU DON'T KNOW ABOUT TAYLOR SWIFT

Such as…
1. She is super associated with Nashville aka Music City but Swift was born and raised in Pennsylvania first, on a Christmas tree farm. How scenic!

2. She once won a local talent...
9 years ago
Mtanzania04 Nov
Taylor Swift ashtakiwa kwa wizi
NEW YORK, MAREKANI
MSANII maarufu zaidi duniani kwenye mtandao wa Instagram, Taylor Swift, ameshtakiwa kwa kuiba mistari ya wimbo wa msanii mwenzake, Jesse Braham na kuutumia katika wimbo wake maarufu wa ‘Shake It Off’.
Jesse alisema wimbo huo aliutunga mwaka 2013, ulijulikana kwa jina la ‘Haters Gone Hate’, hivyo anashangaa kuona baadhi ya mistari katika wimbo wa Taylor.
Iwapo Taylor atapatikana na hatia atatakiwa kulipa faini ya dola milioni 42 na huku mshitaki akitaka jina lake...
10 years ago
BBCSwahili01 Nov
Taylor Swift ashtakiwa kwa kuiba mistari
10 years ago
Mtanzania20 Oct
Taylor Swift ang’ara tuzo Marekani
MWANAMUZIKI Taylor Swift ametajwa kugombea katika vipengele sita vya tuzo za muziki za American Music Awards (AMAs) za huko Marekani.
Taylor amewapiku The Weekend na Ed Sheeran, waliotajwa katika vipengele vitano, Nicki Minaj, Sam Smith
na Meghan Trainor, wametajwa mara nne ambapo Drake, Chris Brown na Fetty Wap wametajwa mara mbili.
Sherehe za utolewaji tuzo hizo zinatarajiwa kufanyika Novemba 22 mwaka huu...