VIDEO: MUONEKAANO WA JIONI MAGARI YAKIPITA BARABARA YA JUU UBUNGO

Tunakumbuka Mei 30, 2020 Barabara za juu (Flyover ) iliyojengwa Ubungo Dar es Salaam ilianza kufanya kazi ambapo vyombo vya usafiri viliruhusiwa kupitia, sasa leo nimekusogezea hii video ya Drone ikionesha muonekano wa jioni magari yakipita Barabara ya juu Ubungo.
CCM Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
.jpg)
.jpg)
5 years ago
CCM Blog
MUONEKANO WA BARABARA ZA JUU UBUNGO DAR, VYOMBO VYA USAFIRI VYAANZA KUPITA


.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

5 years ago
Michuzi
RAIS DKT. MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA DARAJA LA JUU UBUNGO NA BARABARA, AONGEA NA KUSIKIL|IZA KERO ZA WANANCHI MBEZI MWISHO, MLOGANZILA, MLANDIZI,CHALINZE




11 years ago
Habarileo20 Jun
Barabara Ubungo kufungwa
KAMPUNI ya ujenzi ya Strabag International GmbH inayojenga barabara ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (Dart) imetangaza kufungwa kwa baadhi ya njia katika eneo la taa za Ubungo, Dar es Salaam kuanzia leo usiku hadi keshokutwa kwa ajili ya kuruhusu ujenzi.
11 years ago
Mwananchi26 Sep
Ubungo Plaza yashikilia magari 30 ya Hoteli ya Blue Pearl
5 years ago
CCM Blog
MAGARI YA WASHAWASHA, FIRE YATUMIKA KUNYUNYUZIA DAWA STENDI YA MABASI UBUNGO

11 years ago
GPL
UBUNGO MATAA KUFUNGWA KUPISHA UJENZI WA BARABARA
11 years ago
Dewji Blog24 Jul
Kiasi cha zaidi ya shilingi Bilioni 128 zatolewa kwa ajili ya ujenzi wa barabara za juu kwa juu na Umeme
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) na Balozi wa Japan nchini Masaki Okada (kulia) wakisaini hati ya makubaliano ya mikataba miwili ya ujenzi wa barabara za juu kwa juu katika makutano ya TAZARA na usambazaji umeme jijini Dar es salaam leo zenye thamani ya zaidi ya bilioni 128.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) na Balozi wa Japan nchini Masaki Okada (kulia) wakibadilishana hati ya makubaliano ya mikataba miwili ya ujenzi wa...
11 years ago
Michuzi
News Alert: madereva wa mabasi wayasusa magari yao mkoani Singida jioni hii

