Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Siku mchekeshaji Anne Kansiime wa Uganda alipoamua kuimba!

Wiki iliyopita mchekeshaji wa kike kutoka Uganda, Anne Kansiime alishika nafasi ya kwanza katika orodha ya watu 100 maarufu wa Uganda, ‘Uganda’s top 100 celebrities’. Kikubwa zaidi hadi kufanya mitandao mingine iandike habari hiyo kwa kuanza na neno ‘Shocking’, ni kwasababu Kansiime alidhihirisha kuwa kwa sasa yeye ni maarufu kumzidi hata mwimbaji Jose Chameleone, aliyekamata […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Anne Kansiime kutoa burudani siku ya Jumamosi Golden Tulip

Pichani wa pili kulia ni Mchekeshaji Mahiri kutoka nchini Kenya,Anne Kansiime akifafanua jambo mbele ya Wanahabari kuhusiana na burudani yake kubwa atakayoinyesha hapo kwesho siku ya Jumamosi kwa mashabiki wake katika ukumbi wa Golden Tulip,jijini Dar,Kulia kwakwe ni mchekeshaji mwingine kutoka nchini Kenya,Fred Omondi. Mmoja wa wachekeshaji mahiri kutoka nchini Tanzania,atambulikae kwa jina la kisanii Mc Pili Pili akielezea jambo kwenye mkutano wa Wanahabari uliofanyika mapema leo jijini...

 

9 years ago

Vijimambo

11 years ago

Michuzi

One on One with Anne Kansiime

Courtesy of Citizen TV

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

Anne Kansiime kuburudisha Dar August 2.

 Mkali wa kuchekesha na sanaa za majukwaani Afrika Mashariki, Anne Kansiime anatarajiwa kutoa burudani kali hapo August 2, katika ukumbi wa Golden Tulip jijini Dar es Salaam.                      Tukio hilo linaloandaliwa na kituo cha Radio 5 litaambatana na burudani ya muziki kutoka ODAMA Band, pamoja na mchekeshaji Fredi Omondi kutoka Kenya na Pilipili wa Tanzania.
Akizungumzia tukio hilo Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Radio 5, Robert Francis alisema kuwa wameamua kumualika...

 

11 years ago

Dewji Blog

Anne Kansiime kuwasili leo jijini Dar

Anne-Kansiime-Uganda-comedy-2

Mchekeshaji Anne Kansiime (pichani) anatarajiwa kuwasili leo jijini Dar es Salaam tayari kwa burudani kali hapo August 2 kwenye ukumbi wa Golden Tulip.

Mkali wa huyo wa kuchekesha na sanaa za majukwaani Afrika Mashariki, atawasili majira ya saa kumi jioni kwa ndege ya shirika la Rwanda.

Anne anatarajiwa kuzungumza na waandishi wa habari hapo Ijumaa saa tano kamili asubuhi kwenye ukumbi wa Sports Lounge uliopo Posta, na jumamosi atasalimiana na mashabiki katika viwanja vya Mlimani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani