Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Vidhibiti kesi za mihadarati vipo’


SERIKALI imesema ipo sheria na utaratibu maalumu wa kusimamia vidhibiti vya kesi zinazohusu dawa za kulevya na mauaji.
Kauli hiyo ilitolewa jana bungeni mjini Dodoma hapa na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Ummy Mwalimu, wakati akijibu swali la nyongeza la Rukia Kassim Ahmed (Vita Maalumu-CUF).
Mbunge huyo alitaka kujua zinakopelekwa dawa za kulevya alizokamatwa nazo mshitakiwa mara kesi husika inapomalizika.
“Nataka kujua dawa wanazokamatwa nazo watuhumiwa hupelekwa wapi au huwa zinatumika...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MTABIRI: VIFO VYA WABUNGE BADO VIPO!

Mtabiri bingwa na mtaalam wa nyota Afrika Mashariki, Maalim Hassan Yahya. Gladness Malya na Gabriel Ng’osha
DUH! Mtabiri bingwa na mtaalam wa nyota Afrika Mashariki, Maalim Hassan Yahya amesema vifo vya watu maarufu na wanasiasa bado vipo na vinasababishwa na mvutano mkali wa nyota za wagombea wawili wa urais, John Magufuli (CCM) na Edward Lowassa (Chadema) Akizungumza na Ijumaa Wikienda alisema alishawahi kutabiri kutokea kwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Vidhibiti mwendo ni lazima Kenya

Madereva wa uchukuzi wa umma wamekua na wakati mgumu kuhakikisha wanatii sheria mpya ya usafiri inayowashurutisha kuweka vidhibiti mwendo ifikapo Jumanne

 

11 years ago

Tanzania Daima

Shirika lapinga matumizi ya vidhibiti mimba

MAKOVU ya kudumu  kwa wanawake wengi nchini husababishwa na  utoaji mimba pamoja na utumiaji wa vidhibiti mimba ambayo ni hatari kwa afya zao. Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa juzi na...

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania uchochoro wa mihadarati

Imeelezwa kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi tatu za Afrika ambazo zimekuwa zikitumiwa na wahalifu wa kimataifa kupitisha dawa haramu za kulevya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake waathiriwa na mihadarati TZ

Imeelezwa kuwa utumiaji wa dawa hizo miongoni mwa wanawake ni changamoto kubwa katika jamii,visiwani Zanzibar

 

10 years ago

BBCSwahili

Jinamizi la mihadarati G Bissau awamu ya {1}

Ni ripoti ya kibinafsi ya kijana mmoja wa kiafrika aliyejipata katika ulanguzi wa mihadarati wa kimataifa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wauza mihadarati Mexico wajipange

Rais wa Mexico Enrique Pena Nieto ametangaza vita kati ya serikali za manispaa ya nchi hiyo na magenge ya wauza mihadarati.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jinamizi la mihadarati G Bissau awamu ya {3}

Riwaya ya ulanguzi wa mihadarati na athari yake kwa kijana Buba ambaye ameanza kufuja mali yake na kuwa mteja

 

10 years ago

BBCSwahili

Watanzania wanyongwa kwa mihadarati

Kasisi mmoja amefuchua kuwa kuna idadi kubwa ya wafungwa wenye asili ya Afrika katika magereza ya Hong Kong wengi wao wakiwa ni kutoka Tanzania ambao wamenyongwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani