Vigogo wanne wa shule kizimbani kwa rushwa
NA MWANDISHI WETU
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilayani Nachingwea, imepawandisha kizimbani wajumbe wa kamati ya shule kwa tuhuma za rushwa.
Wajumbe hao walipandishwa kizimbani Machi 11, mwaka huu, katika Mahakama ya Wilaya ya Nachingwea, wakishitakiwa kufanya ununuzi hewa ya vifaa vya ujenzi vyenye thamani ya sh. milioni 1.3 kwa ajili ya Shule ya Msingi Farm Eight.
Kesi hiyo namba CC20/2015, ilifunguliwa Machi 11, mwaka huu, ambapo washitakiwa hao ni Hamza Chidoli...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-73IBBopu02c/U7QmjITEcFI/AAAAAAAABTQ/uMREJT7RrDI/s72-c/Mwakyembe.jpg)
Mwakyembe awang’oa vigogo 13 kwa rushwa
NA MOHAMMED ISSA
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, amewatimua vigogo 13 kutoka wizara mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), kwa kujihusisha na vitendo vya rushwa.
Vigogo hao kutoka Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi na Afya na Ustawi wa Jamii, wamerejeshwa kwenye wizara zao kwa hatua zaidi za kinidhamu na kisheria.
![](http://3.bp.blogspot.com/-73IBBopu02c/U7QmjITEcFI/AAAAAAAABTQ/uMREJT7RrDI/s1600/Mwakyembe.jpg)
Pia ametoa onyo kali kwa watumishi wengine uwanjani hapo wenye tabia za kujihusisha na rushwa kuwa,...
11 years ago
Habarileo03 Jun
Mfanyakazi Barclays kizimbani kwa rushwa
MFANYAKAZI wa Benki ya Barclays, katika kitengo cha Mawasiliano na Huduma za Jamii, Tunu Kavishe (33) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Ilala jijini Dar es Salaam kujibu mashitaka ya kushawishi na kupokea rushwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-X4iVnBj-D1E/Xn4efm9lCbI/AAAAAAALlUU/LoLc_AYgDYIrdvCtLJ21KQ7moVt-ST6hwCLcBGAsYHQ/s72-c/2febdcd5-8a7a-453f-8233-20f9267e3654.jpg)
Vigogo sita wa Halotel kizimbani kwa utakatishaji na kuisababishia TCRA hasara ya Sh. Bilioni 78.
MKURUGENZI wa Kampuni ya Halotel Son Nguyen (46), na vigogo wengine watano wa Viettel Tanzania wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka 10 yakiwemo ya kuisababishia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), hasara ya zaidi ya Sh bilioni 78
Washtakiwa wengine ni Nguyen Minh (40) na Vu Tiep Mameneja wa Halotel, Ha Than (39) Mtaalamu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) wa Halotel, Mkurugenzi wa Fedha wa Kampuni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NWMTNrc8DU4/XsZ5mpJZ3gI/AAAAAAALrHw/nJn_TdsFDFQBv44PkpVJ8IM7OiIr09ZfACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-21%2Bat%2B3.47.14%2BPM.jpeg)
DIWANI KATA YA KIJICHI KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA KULA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-NWMTNrc8DU4/XsZ5mpJZ3gI/AAAAAAALrHw/nJn_TdsFDFQBv44PkpVJ8IM7OiIr09ZfACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-21%2Bat%2B3.47.14%2BPM.jpeg)
DIWANI wa Kata ya Kijichi halmashauri ya Manispaa wa Temeke kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Elias Mtarawanje (29), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke akikabiliwa na mashtaka mawili likiwamo la kupokea rushwa ya Sh. Milioni moja kutoka kwa Yusuf Omary.
Diwani huyo amefikishwa mahakamani...
9 years ago
StarTV24 Nov
Vigogo Blatter na Platin hatarini kufungiwa miaka 7 kwa  Kashfa Ya Rushwa Fifa
Ndoto za Rais wa Shirikisho la soka Barani Ulaya,Michel Platin kuwania kiti cha urais wa FIFA sasa zinaonekana kuota mbawa kutokana na kamati ya maadili ya chombo hicho kikubwa cha soka kushauri wafungiwe miaka saba pamoja na Sepp Blatter
Platin pamoja na Sepp Blatter wanaotumikia adhabu ya kusimamishwa siku 90 ndani ya FIFA,kamati hiyo imebaini wana kosa baada ya kupeana fedha paundi milioni 1.3 zenye mazingira ya rushwa.
Kamati maalum inayosikiliza shauri hilo na kutoa hukumu kabla ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6xuxflMu0eM/XtehP8UrreI/AAAAAAALsfM/fTxjP0G-76kD8phVO2GOYZSmlO6p0j-MQCLcBGAsYHQ/s72-c/tanzania-tra-pccb.gif)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UiOzwBPS2CE/XmU2-i9cRhI/AAAAAAALiBM/fU2VzMsfcRgIm590sdbuv4F-FBUnTzbSACLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
KINARA USAMBAZAJI ZANA HARAMU ZA UVUVI MBARONI MWANZA, POLISI WANNE WADAKWA KWA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-UiOzwBPS2CE/XmU2-i9cRhI/AAAAAAALiBM/fU2VzMsfcRgIm590sdbuv4F-FBUnTzbSACLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
KIGOGO na kinara wa uingizaji na usambazaji wa zana haramu za uvuvi katika Ziwa Victoria , Jeremiah Asama ( 48),mkazi wa Bwiru, Manispaa ya Ilemela ni miongoni mwa watu sita wanaoshikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza, huku mtuhumiwa wa saba akidaiwa kutoroka.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Jumanne Muliro alisema juzi wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kukamatwa kwa watu hao wakiwemo askari wanne wa jeshi hilo wanaodaiwa kukiuka maadili ya...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Vigogo Bandari kizimbani
ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA), Ephraim Mgawe na naibu wake, Hamad Koshuma, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam...
11 years ago
Mwananchi05 Jul
Vigogo Uhasibu Arusha kizimbani