Vijana Kuongezeka Katika Biashara ya Mali Zisizohamishika-Lamudi Tanzania
Timu ya Lamudi Tanzania.
BIASHARA ya ununuzi na ukodishaji wa nyumba inashamiri kwa haraka na biashara hii inatumiwa na vijana wengi katika sekta ya uwekezaji hasa miaka ya karibuni. Kwa sasa imefikia asilimia 59.37 ya vijana wenye umri kati ya 25-34, ambao wanajihusisha na shughuli hii, kwa mujibu wa utafiti mpya uliofanywa na Lamudi, Inaonyesha kuwa watu wengi zaidi wanania ya kuanza biashara hii wakiwa bado vijana. Utafiti huo, unaonyesha kuwa ukilinganisha vijana wenye umri kuanzia...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/Timu-ya-Lamudi-Tanzania..jpg?width=640)
VIJANA KUONGEZEKA KATIKA BIASHARA YA MALI ZISIZOHAMISHIKA - LAMUDI TANZANIA
10 years ago
Vijimambo28 Nov
Lamudi Tanzania kutangaza huduma za madalali bure
![Meneja Huduma kwa Wateja wa Lamudi Tanzania, Godwin Lemma akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/11/Meneja-Huduma-kwa-Wateja-wa-Lamudi-Tanzania-Godwin-Lemma-akizungumza-na-waandishi-wa-habari-hawapo-pichani-leo-jijini-Dar-es-Salaam..jpg)
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Idadi ya vijana wanaoajiriwa yazidi kuongezeka
10 years ago
MichuziJAJI MKUU WA TANZANIA ATEMBELEA MAONESHO YA 39 YA BIASHARA YA KIMATAIFA ‘SABASABA, AZURU KATIKA BANDA LA MAHAKAMA YA TANZANIA, POLISI, MAGEREZA NA MENGINEYO
9 years ago
VijimamboTANZANIA NA NORWAY KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kRqXkrUnE4Q/VZMGlo3qc2I/AAAAAAAHmC4/1xtugH6DQ2c/s72-c/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
MAHAKAMA YA TANZANIA YASHIRIKI KATIKA MAONESHO YA 39 YA BIASHARA YA KIMATAIFA ‘SABASABA’ 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-kRqXkrUnE4Q/VZMGlo3qc2I/AAAAAAAHmC4/1xtugH6DQ2c/s640/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-46UH3R1cmsk/XmpL_IgIL3I/AAAAAAALi0I/ZJWXOjbLwUQsPtBO83v0ULRZzfkkf6kXgCLcBGAsYHQ/s72-c/5bc0769b-75aa-4d53-b0ed-c806e679aab7.jpg)
SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LAPONGEZA JUHUDI ZA TANZANIA KATIKA KUPAMBANA NA BIASHARA YA DAWA ZA KULEVYA
KAIMU Kamishina Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za kulevya nchini James Kaji amesema kuwa Tanzania imefanikiwa kupunguza kwa asilimia 90 uingizwaji wa dawa za kulevya nchini kupitia ukanda wa Bahari ya Hindi na kwamba Serikali ya Awamu ya Tano imepongezwa na Umoja wa Mataifa kupitia Shirika lake la UNODC linaloshughulika na dawa hizo na uhalifu kutokana na kutambua juhudi zake katika kukomesha biashara hiyo.
Akizungumza leo...
10 years ago
Dewji Blog04 Oct
Makamu wa Rais aiwakilisha Tanzania katika kongamano la pili la kimataifa la biashara kwa nchi za Afrika Jijini Dubai
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika majadiliano kuhusu utengamano wa Afrika na Fursa za biashara na Uwekezaji Katibu na Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Richard Sezibera, wakati wakihojiwa na Mwandishi wa habari wa Kimataifa na Mkurugenzi wa Kampuni ya ‘Eddo Media’, Mark Eddo (kushoto). (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Oktoba Mosi, 2014 ameiwakilisha Tanzania katika...