Vijana Madola kuagwa kesho
TIMU ya taifa ya Tanzania itakayoshiriki Michezo ya tano ya Jumuiya ya Madola kwa vijana itaagwa kesho Jumatatu na kuondoka siku hiyo hiyo, imeelezwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Waliofadhiliwa na JICA kuagwa kesho
WANAFUNZI 30 kutoka serikalini na katika sekta binafsi waliopata ufadhili wa masomo na Shirika la Maendeleo la Japan (JICA) wataagwa rasmi kesho katika ubalozi wa nchi hiyo jijini Da r...
10 years ago
Habarileo06 Oct
Mwili wa Mtikila kuagwa kesho Dar
MWILI wa mwanasiasa machachari na mwenye misimamo mikali katika ufuatiliaji wa mambo, Mchungaji Christopher Mtikila (65) unatarajiwa kuagwa kesho, Dar es Salaam. Aidha, baada ya shughuli ya kuuaga mwili wa Mtikila, aliyekuwa pia Mwenyekiti wa chama cha siasa cha DP, utasafirishwa kwenda kijijini kwao Milo wilaya ya Ludewa Mkoa wa Njombe kwa ajili ya maziko.
5 years ago
Michuzi
JAJI AUGUSTINO RAMADHANI KUAGWA KITAIFA KESHO

Mwili wa aliyekuwa Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Augustino Ramadhani unatarajiwa kuagwa rasmi kitaifa kesho Ijumaa Mei Mosi, mwaka huu katika viwanja vya Karimjee, na mazishi yatafanyika Mei 2 Kimara jijini Dar es salaam.
Kiongozi huyo ataagwa Kitaifa kwa mujibu wa Sheria ya Mazishi ya Viongozi wa Kitaifa ya mwaka 2006.Taarifa iliyotolewa leo na Msajili wa Mahakama ya Rufani Tanzania, Mhe. Kelvin Mhina ilieleza kwamba taratibu zote za mazishi na maandalizi zinafanywa na kusimamiwa na...
9 years ago
MichuziHATIMA YA MWILI WA MAREHEMU MAWAZO KUAGWA JIJINI MWANZA KUAMULIWA KESHO NA MAHAKAMA
Na George Binagi - GB Pazzo wa Binagi Media Group
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema leo kimefungua kesi katika Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, ili kuiomba Mahakama hiyo kutengua zuio la kuuaga mwili wa aliekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Geita Marehemu Alphonce Mawazo, lililotolewa na...
10 years ago
CloudsFM02 Mar
marehemu Kapt.John Komba kuagwa leo katika viwanja vya karimjee ,Dar kuzikwa kwao kesho Nyasa
10 years ago
VijimamboMAZISHI YA DK.EMMANUEL MAKAIDI KUFANYIKA MAKABURI YA SINZA, MWILI WAKE KUAGWA KESHO ASUBUHI VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi.jpg)
SPIKA WA BUNGE ANNE MAKINDA KUFUNGUA SEMINA YA 24 YA CHAMA CHA MABUNGE WANACHAMA WA JUMUIYA YA MADOLA (CPA) KESHO, DAR ES SALAAM,
11 years ago
Bongo521 Oct
YP kuagwa TCC Chang’ombe na kuzikwa kesho (Oct 22) katika makaburi ya Chang’ombe
11 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Vijana 100 wajitokeza shindano la ‘shujaa wa kesho’
SHINDANO la Mashujaa wa kesho lililodhaminiwa na Statoil limepamba moto huku vijana zaidi ya 100 mkoani Mtwara wamejitokeza na kuchukua fomu za ushiriki shindano hilo. Kwa mujibu wa Afisa Mawasiliano...