Waliofadhiliwa na JICA kuagwa kesho
WANAFUNZI 30 kutoka serikalini na katika sekta binafsi waliopata ufadhili wa masomo na Shirika la Maendeleo la Japan (JICA) wataagwa rasmi kesho katika ubalozi wa nchi hiyo jijini Da r...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo30 Aug
Vijana Madola kuagwa kesho
TIMU ya taifa ya Tanzania itakayoshiriki Michezo ya tano ya Jumuiya ya Madola kwa vijana itaagwa kesho Jumatatu na kuondoka siku hiyo hiyo, imeelezwa.
9 years ago
Habarileo06 Oct
Mwili wa Mtikila kuagwa kesho Dar
MWILI wa mwanasiasa machachari na mwenye misimamo mikali katika ufuatiliaji wa mambo, Mchungaji Christopher Mtikila (65) unatarajiwa kuagwa kesho, Dar es Salaam. Aidha, baada ya shughuli ya kuuaga mwili wa Mtikila, aliyekuwa pia Mwenyekiti wa chama cha siasa cha DP, utasafirishwa kwenda kijijini kwao Milo wilaya ya Ludewa Mkoa wa Njombe kwa ajili ya maziko.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_kKyJCj3gRY/XqseOICV5iI/AAAAAAALotw/sZ3aI1oZ9v078g3K8ANrgST9ASRd-h1EQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200430-WA0049.jpg)
JAJI AUGUSTINO RAMADHANI KUAGWA KITAIFA KESHO
![](https://1.bp.blogspot.com/-_kKyJCj3gRY/XqseOICV5iI/AAAAAAALotw/sZ3aI1oZ9v078g3K8ANrgST9ASRd-h1EQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200430-WA0049.jpg)
Mwili wa aliyekuwa Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Augustino Ramadhani unatarajiwa kuagwa rasmi kitaifa kesho Ijumaa Mei Mosi, mwaka huu katika viwanja vya Karimjee, na mazishi yatafanyika Mei 2 Kimara jijini Dar es salaam.
Kiongozi huyo ataagwa Kitaifa kwa mujibu wa Sheria ya Mazishi ya Viongozi wa Kitaifa ya mwaka 2006.Taarifa iliyotolewa leo na Msajili wa Mahakama ya Rufani Tanzania, Mhe. Kelvin Mhina ilieleza kwamba taratibu zote za mazishi na maandalizi zinafanywa na kusimamiwa na...
9 years ago
MichuziHATIMA YA MWILI WA MAREHEMU MAWAZO KUAGWA JIJINI MWANZA KUAMULIWA KESHO NA MAHAKAMA
Na George Binagi - GB Pazzo wa Binagi Media Group
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema leo kimefungua kesi katika Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, ili kuiomba Mahakama hiyo kutengua zuio la kuuaga mwili wa aliekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Geita Marehemu Alphonce Mawazo, lililotolewa na...
10 years ago
CloudsFM02 Mar
marehemu Kapt.John Komba kuagwa leo katika viwanja vya karimjee ,Dar kuzikwa kwao kesho Nyasa
9 years ago
VijimamboMAZISHI YA DK.EMMANUEL MAKAIDI KUFANYIKA MAKABURI YA SINZA, MWILI WAKE KUAGWA KESHO ASUBUHI VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Bongo521 Oct
YP kuagwa TCC Chang’ombe na kuzikwa kesho (Oct 22) katika makaburi ya Chang’ombe
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AZdln8Jv2Mg/U-YuzLA2f_I/AAAAAAAArfo/dzSx3gTxBSg/s72-c/01.jpg)
WAKULIMA WA SHAYIRI MONDULI JUU WALIOFADHILIWA NA TBL WAPATA MAVUNO MENGI
![](http://2.bp.blogspot.com/-AZdln8Jv2Mg/U-YuzLA2f_I/AAAAAAAArfo/dzSx3gTxBSg/s1600/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Eft0Dh0My2o/U-Yuy4TVj2I/AAAAAAAArfw/rkwimgj6caE/s1600/PIX+1.jpg)
11 years ago
MichuziVIJANA WALIOFADHILIWA MASOMO YA UFUNDI VETA NA HELP FOR UNDERSERVED COMMUNITIES INC. (HUC) WAHITIMU
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10