‘Vijana pendeni masomo ya sayansi’
VIJANA nchini wamehamasishwa kupenda masomo ya sayansi na teknolojia kama njia mojawapo ya kuharakisha maendeleo. Ofisa Habari wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia- Mbeya, Clementina Patrick, alitoa wito huo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QhZAO3wvMC0/U-2Y6P6jyXI/AAAAAAAF_uM/TpVMHDq-QZM/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
Masele aeleza umuhimu wa sayansi Afrika, ataka vijana kushirikishwa katika maamuzi
10 years ago
MichuziVIJANA WEKENI MSISITIZO MASOMO YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA ILI MUWE WAJUZI NA KULETA MAENDELEO NCHINI
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Mashabiki wa mikoani pendeni timu zenu
9 years ago
Mtanzania13 Nov
Nameless: Wasichana pendeni nyimbo zangu si mapenzi
NAIROBI, KENYA
STAA wa muziki nchini Kenya, David Mathenge (Nameless), amesema ubora wa nyimbo zake unasababisha apendwe na idadi kubwa ya wasichana warembo waliopo nchini humo bila kujali kwamba ni mume wa mtu.
Alisema ingawa asilimia 80 ya nyimbo zake ‘Juju’, ‘Deadly’ na ‘Butterfly’ hulenga wasichana, waishie kuzipenda nyimbo hizo na si zaidi ya hapo kwa kuwa anaiheshimu na kuijali ndoa yake.
“Sina uhakika kama wanapenda kazi zangu tu, kwa kuwa kuna wengine wanaonekana kuwa na...
9 years ago
Dewji Blog14 Aug
Kongamano la Vijana mkoani Mbeya wakati wa kuadhimisha siku ya vijana duniani
Mgeni rasmi ambaye ni Afisa Vijana Halmashauri jiji la Mbeya Onah Temu akitoa hotuba katika siku ya Vijana Duniani ambayo kwa Mkoa wa Mbeya ilifanyikia Ukumbi wa Chuo kikuu Cha Mzumbe Kampasi ya Mbeya.
Vijana wakisikiliza kwa makini watoa mada kaika sherehe hiyo iliyofanyika ukumbi wa Mzumbe Mbeya.
Mratibu wa Mradi wa Restless Fadhiri Mtanga akitoa mada kuhusu Maendeleo ya Vijana.
Wakili Stephen John akiwashauri vijana kuto tumika na wanasiasa.
Muwezeshaji wa Sherehe hiyo ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-a0hB1YznKjw/VYB-qzRiBTI/AAAAAAAHgFg/79Z3bwzmIhk/s72-c/unnamed%2B%252866%2529.jpg)
Vijana waridhishwa na mswada uliopitishwa bungeni wa kuanzishwa baraza la vijana la Taifa
Vijana wameridhishwa na mswada uliopitishwa bungeni wa kuanzishwa baraza la vijana la Taifa na kudai kuwa hiyo ndio njia mojawapo vijana wanaweza kuendeleza shughuli zao za maendeleo .
Wamedai kuwa katika mswada huo vijana wanangazi zao za uongozi kutoka vijijini hadi kitaifa na hali hiyo inakuwa ni rahisi vijana kuwa na uwezo wa kuelezea changamoto zinazowakabili .
Kauli hiyo imetolewa jijini Dar es salaam na shirika la Restless Development Tanzania – ICS) ...
10 years ago
MichuziElimu kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana yawafikia Vijana wa Mbeya Vijijini
Vijana wa Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Mbeya Vijijini wametakiwa kutokuwa na tafsiri hasi kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana kuwa ni takrima inayotolewa na serikali kwa vijana hivyo kuchezea fedha hizo na kushindwa kurejesha mkopo watakaouomba kupitia mfuko huo.
Hayo yamesemwa na Mwezeshaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Ester Riwa wakati wa semina iliyotolewa kwa Vijana wa Mbeya Vijijini kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana, Stadi za...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cbk4HaQ5Sfg/VK6UaTXZIuI/AAAAAAAG8Cc/D-D01TMPw2Y/s72-c/4598-mkurugenzi.jpg)
Vijana Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara wajiajiri kupitia mfuko wa mendeleo ya Vijana
![](http://1.bp.blogspot.com/-cbk4HaQ5Sfg/VK6UaTXZIuI/AAAAAAAG8Cc/D-D01TMPw2Y/s1600/4598-mkurugenzi.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gUiSoSorMbI/VK6UaitbdqI/AAAAAAAG8CY/VcrYrbduZqk/s1600/4649-mkutano%2Bwa%2Bpamoja%2Bamkeni.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-b6u0NILjD6w/VDeSrcJw1lI/AAAAAAAGo8I/pkh_B4RpulE/s72-c/MD1.jpg)
Wadau wa Vijana washiriki mdahala katika Wiki ya Vijana mkoani Tabora
![](http://4.bp.blogspot.com/-b6u0NILjD6w/VDeSrcJw1lI/AAAAAAAGo8I/pkh_B4RpulE/s1600/MD1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5vnfj5OknuI/VDeSroczSnI/AAAAAAAGo8U/yiAZbNY1lg8/s1600/MD2.jpg)