Mashabiki wa mikoani pendeni timu zenu
Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara 2013/2014 inaendelea hivi sasa ikiwa katika mzunguko wa pili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OomTon_uwoE/UxQFgiSulcI/AAAAAAAABTU/RpFFjVRBfFU/s72-c/564701_707721799262447_1185911783_n.jpg)
MASHABIKI WA TIMU NEW GENERATION WAMSHUSHIA KIPIGO MWAMUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-OomTon_uwoE/UxQFgiSulcI/AAAAAAAABTU/RpFFjVRBfFU/s1600/564701_707721799262447_1185911783_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yHtW0gk1tUU/UxQFiGTe7UI/AAAAAAAABTc/lMgzD36vCLw/s1600/1625689_707721879262439_927823158_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-g3gLXaCpN3U/UxQFjvO7QGI/AAAAAAAABTk/fClPoiKmDBk/s1600/1779968_707721922595768_1046017894_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-P2NAmdCsDDs/UxQFkvfXYnI/AAAAAAAABTs/eb6DkYYwlbQ/s1600/1891282_707721832595777_1572127875_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dpC43mtZTHw/UxQFlHI3sJI/AAAAAAAABT0/FEBYmCNEAfE/s1600/1898202_707721872595773_1303102921_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lDT_jfESls0/UxQFnPajUEI/AAAAAAAABT8/oGC6QHIbB-M/s1600/1901207_707721909262436_101677641_n.jpg)
10 years ago
Mwananchi05 Dec
Mashabiki wa Barcelona wagomea uzi mpya wa timu yao
9 years ago
StarTV07 Sep
Timu za ligi kuu shinyanga awaomba mashabiki kujenga mshikamano
Wakati mkoa wa Shinyanga ukijipanga kuongeza zaidi timu za ligi kuu, mkuu wa mkoa huo Alhaj Ally Nassoro Lufunga amewakumbusha mashabiki kujenga mshikamano ili malengo hayo yatimie.
Mkuu huyo wa mkoa ambaye ni shabiki wa michezo amewataka mashabiki wa soka mkoani humo wajenge wivu wa kimaendeleo na siyo malumbano ambayo mwisho wake siyo mzuri.
Rai hiyo ya mkuu wa mkoa ameitoa baada ya kubaini kuwepo na kinyongo kutoka kwa mashabiki Mwadui FC kwa madai Serikali mkoani humo na wadau wa...
10 years ago
Michuzi28 Jan
DRFA yawataka mashabiki wa soka kujitokeza kwa wingi kuzishangilia timu za Dar
Leo (januari 28) kutakuwa na mchezo mmoja wa ligi kuu kwa timu ya Simba ya Dar es salaam dhidi ya Mbeya City ya Mbeya,mchezo ambao utakaopigwa katika uwanja wa taifa jijini.
Itakumbukwa kwamba katika mechi mbili za ligi...
5 years ago
Bongo514 Feb
Picha: Mashabiki wa Bayern Munich wafanya fujo baada ya timu kupokea kichapo
Katika mchezo wa soka kuna matokeo makubwa matatu, ambayo ni pamoja na kushinda, kufungwa na kutoka suluhu – Lakini habari nzuri ambazo mashabiki wanapenda kuzisikia ni kupata ushindi kwa timu yao wanayoishabikia.
Usiku wa kumakia leo mashabiki wa Bayern Munich waliamua kuanzisha ugomvi wakati timu yao ilipokumbana na kichapo cha magoli 4-2 wakiwa ugenini, kutoka kwa Real Madrid huku wakishuhudia mchezaji wao Artulo Vidal, akipata kadi nyekundu dakika katika dakika ya 84.
Tazama picha za...
11 years ago
Tanzania Daima23 May
‘Vijana pendeni masomo ya sayansi’
VIJANA nchini wamehamasishwa kupenda masomo ya sayansi na teknolojia kama njia mojawapo ya kuharakisha maendeleo. Ofisa Habari wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia- Mbeya, Clementina Patrick, alitoa wito huo...
9 years ago
Mtanzania13 Nov
Nameless: Wasichana pendeni nyimbo zangu si mapenzi
NAIROBI, KENYA
STAA wa muziki nchini Kenya, David Mathenge (Nameless), amesema ubora wa nyimbo zake unasababisha apendwe na idadi kubwa ya wasichana warembo waliopo nchini humo bila kujali kwamba ni mume wa mtu.
Alisema ingawa asilimia 80 ya nyimbo zake ‘Juju’, ‘Deadly’ na ‘Butterfly’ hulenga wasichana, waishie kuzipenda nyimbo hizo na si zaidi ya hapo kwa kuwa anaiheshimu na kuijali ndoa yake.
“Sina uhakika kama wanapenda kazi zangu tu, kwa kuwa kuna wengine wanaonekana kuwa na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3XoHDWc4q4Q/XmZAgyra22I/AAAAAAALiQE/JytjH8gDpvc4ycFivZiVxyDDvYXQE9McQCLcBGAsYHQ/s72-c/127-1270644_simba-sc-simba-sports-club-logo.png)
TIMU YA VIJANA YA SIMBA YAIBUKA NA USHINDI WA MABAO 2- 0 DHIDI YA TIMU YA YANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3XoHDWc4q4Q/XmZAgyra22I/AAAAAAALiQE/JytjH8gDpvc4ycFivZiVxyDDvYXQE9McQCLcBGAsYHQ/s400/127-1270644_simba-sc-simba-sports-club-logo.png)
TIMU ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 wa Simba wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wapinzani wao Yanga katika mchezo wa utangulizi uliochezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mchezo wa timu hizo mbili ambao ulikuwa wa utangulizi kabla ya mechi ya timu ya Simba na Yanga wanaoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Mtangane ulianza saa nane mchana ambapo vijana hao kwa kila timu walionesha umahiri wao wa kusakata kabumbu licha ya umri walionao. Timu ya...