Vijana wazidi kuchukua fomu za Ubunge, sasa ni Dkt. Walter Nnko
![](http://3.bp.blogspot.com/-tNQsCTKeY3A/Val5jqGqygI/AAAAAAAAtVk/zjuYgTmElxc/s72-c/IMG_20150718_005234.jpg)
JOTO la Uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu, limepanda kwa kila rika la wazee, vijana , na akina mama, ambapo kila mmoja amekuwa anatazama Jimbo la kugombea kupitia chama anachokiamini katika ngazi ya Udiwani na Ubunge. Walter Nnko ni Daktari mzalendo na kamanda wa vijana kondo/kunduchi.
Dr. Walter Nnko amechukuwa fomu ya ubunge jimbo la kawe na muda ukifika atawaomba wanachama wa CCM wampe ridhaa ya kupeperusha bendera ya CCM kwenye uchaguzi utakaofanyika mwezi wa kumi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziUBUNGE VITI MAALUM VIJANA BUKOBA;ANTU MANDOZA AJITOSA KUCHUKUA FOMU
10 years ago
VijimamboVIJANA CCM WAJITOKEZA KWA WINGI KUCHUKUA FOMU ZA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI
9 years ago
VijimamboWENGI WAMSINDIKIZA KUCHUKUA FOMU MGOMBEA UBUNGE WA CCM, MBARALI.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cJld9uKSJ1s/VR9xDiIxn1I/AAAAAAAHPRI/NRnk9HCEwnw/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
MH. MAKALLA ACHANGIWA FEDHA ZA KUCHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MVOMERO
Tukio la kuchangiwa fedha za kuchukulia fomu lilichagizwa na Naibu Waziri wa Afya, Dk. Stephen Kebwe aliyefanya ziara ya kukagua hospitali teule ya Bwagala na kisha kuongea na wananchi kwenye mkutano mkubwa wa hadhara.
Alipopanda jukwaani, Dk. Stephen Kebwe...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h1JZXy1Nro4/VUb-ip179AI/AAAAAAAHVCw/S_avItByED4/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Makalla aendelea kuchangiwa fedha za kuchukua fomu ya kuwania Ubunge jimbo la Mvomero
Katika mkutano mkubwa wa kihistoria wanawake wa matawi walimtaka mbunge huyo wakati ukifika achukue fomu na wao wanamuahidi ushindi ndani ya chama na nje ya...
10 years ago
MichuziWANA CCM KIBAO WAJITOKEZA KUCHUKUA FOMU ZA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-LUjVYvQnweY/VaoUjDP5a-I/AAAAAAAASYM/BQnv-IIThUs/s72-c/E86A6515%2B%25281280x853%2529.jpg)
EDMUND RUTARAKA AELEZEA MATARAJIO YAKE YA UBUNGE MOSHI MJINI NI BAADA YA KUCHUKUA FOMU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-LUjVYvQnweY/VaoUjDP5a-I/AAAAAAAASYM/BQnv-IIThUs/s640/E86A6515%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-04mPG3Bc7y8/Vb-Kg4aoPnI/AAAAAAAC9O8/4OlHgnSz_4A/s72-c/_MG_1875.jpg)
MGOMBEA MTEULE WA URAIS CCM,DKT MAGUFULI KUCHUKUA FOMU TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-04mPG3Bc7y8/Vb-Kg4aoPnI/AAAAAAAC9O8/4OlHgnSz_4A/s640/_MG_1875.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VXZ9NythroE/Vb-Kppd0qAI/AAAAAAAC9PE/DwS9_JkTSg4/s640/_MG_1834.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oMpKyx5W694/Vb-Kp11op6I/AAAAAAAC9PI/rPF0Jn0n5cE/s640/_MG_1854.jpg)
Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo.
MGOMBEA...