Vijiji 1,800 kupata mawasiliano ya simu mwakani
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia January Makamba (Kulia) akizungumza katika mkutano wa wadau wa teknolojia ya Tehama (Capacity Africa 2014) ambapo amesema serikali itaondoa tatizo la mawasiliano nchini na huku ikitarajia kusambaza huduma hiyo kwa vijiji 1,800 ifikapo mwakani na vijiji 4,000 ikikapo mwaka 2017. Kushoto kwa Naibu Waziri Makamba ni mkurugenzi wa kampuni ya Seacom Byron Clatterbuck na Mwakilishi wa kampuni ya internet solution Prenesh Padayachee.
Na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
Vijiji 1,800 kupata mawasiliano ya simu, internet mwakani (2015) - Makamba
Akizungumza katika ufunguzi wa mkutano wa wadau wa Tehama wa Africa (Capacity Africa), Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia January Makamba alisema kuwa mpango huo upo katika hatua za mwisho na ifikapo mwaka 2017, jumla ya vijiji 4,000 zitakuwa vimepatiwa huduma hiyo.
Makama alisema kuwa serikali ipo katika hatua za mwisho kuzungumza...
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
Vijiji 800 kupatiwa mawasiliano ya simu
VIJIJI 869 vyenye wakazi 1,617,370 vitafaidika na mradi wa mawasiliano kwa wote utakaotolewa na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na makampuni ya simu. Katika mradi huo utakaotekelezwa...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia ashuhudia makampuni ya simu yakiweka saini mkataba wa makabaliano ya usambazaji huduma za mawasiliano vijijini
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Mwananchi18 Oct
Vijiji zaidi nchini kupatiwa mawasiliano
10 years ago
Habarileo25 Dec
Vijiji 45 kupata umeme Mara
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema vijiji 45 mkoani Mara vinatarajiwa kuunganishiwa na huduma ya umeme kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
11 years ago
Tanzania Daima25 Aug
Vijiji 20 Mbozi kupata umeme
ZAIDI ya vijiji 20 Wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya, vitapata umeme kupitia mradi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), utakaoanza kutekelezwa Septemba mwaka huu. Mradi huo unaotarajiwa kukamilika Juni mwakani,...
9 years ago
Michuzi
Airtel yazindua 'Airtel Care' programu kwa wateja * huduma ya kwanza na kipekee kutolewa na kampuni ya mawasiliano ya simu nchini, inawawezesha wateja kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi
10 years ago
Uhuru Newspaper
Vijiji 244 kupata umeme Mbeya

“Nimeambiwa kuwa katika mwaka 2014/15, jumla ya vijiji 244 vitapatiwa...
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Vijiji vya Mgandu, Manyoni kunufaika na Mnara wa mawasiliano wa TTCL
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa.(Picha na Maktaba).
Na Nathaniel Limu, Itigi.
Shirika la TTCL,linatarajia kutumia zaidi ya shilingi 503 milioni kugharamia ujenzi wa mnara wa mawasiliano katika kata ya Mgandu jimbo la Manyoni magharibi kabla ya oktoba 31 mwaka huu.
Kwa mujibu wa barua ya Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa yenye kumbukumbu no.WMST/GL/DOM.vol.3/01 ya mei 16 mwaka huu,mnara huo utanufaisha vijiji vya...