VIJIMAMBO: JB na Zembwela washangaza wengi“Kwakupakia”
Ni kweli mwili haujengwi kwa matofali lakini hii ya JB na Zembwela Mh!!!.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, JB aliweka picha hiyo ya kwanza, akiwa na Zembwela wakiwa wanaanza kula, na badaye kuweka hiyo ya pili wakiwa wamesha maliza kula.
Picha zote hizi zilifanya watu wengi wafunguke kwa kuachia –comment zakutosha zenye mitazamo tofauti.
Wapo watu wamechukilia kuwa ni kamwaida lakini wapo walioichukulia kuwa hii ni zaidi kula, kwani huo msosi ungeweza kuliwa na watu zaidi ya hata...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies15 Apr
Picha: Wema na Wolper Washangaza Wengi Baada ya Kupombeka
Hii ilitokea hivi juzi kati kwenye ‘Bethidei Pati’ ya Petitman ambae ni mtu wa karibu wa mwanadada Wema Sepetu.
Inasemekana mara baada ya mastaa hao kuchapa ‘ulabu’ wakaanza kufanya yao (kama unavyoona kwenye picha hapo juu). Kitendo ambacho kiliwashangaza wengi waliohudhulia sherehe hiyo.
Je ni picha gani upeita kutoka kwenye pichi hizo?
Mzee wa Ubuyu
10 years ago
Bongo Movies07 Mar
Vijimambo: Pacha Wa Dude Awachanganya Wengi!!
Mwigizaji na mwongozaji wa filamu Kulwa Kikumba ‘Dude’ usiku wa jana alibandika picha hiyo hapo juu mtandaoni akiwa na mwanamama aliemtambulisha kama pacha wake.
“Huyu ndiye pacha wangu...”-Dude aliandika chini ya picha hiyo na hapo ndipo mashabiki wakaanza kujiongeza.
Wapo waliosema inawezekana kweli huyu akawa ndio DOTO wake kwani Dude yeye ni KULWA, wengine walijitokeza ka kupinga hoja hii kwa kusema mbona hawafanani ha taka kwa muonekano wanaonekana kutofautiana sana ki umri, kwani...
10 years ago
Bongo Movies08 Jan
Nyepesi Nyepesi: JB, Zembwela na Mzee Majuto Wapo ‘Chimbo’
Kumekuwa na tetesi kuwa waigizaji, JB, Mzee Majuto na Zembwela hivi sasa wapo kazini kutengeneza filamu lakini hadi sasa hawajaamua kuweka wazi swala hili.
Kwamujibu wa watu wa karibu na wasanii hao, inasemekana bado hawajaanza kushuti ila wapo kwenye hatua za awali za maandalizi ya kuanza kufanya kazi , wadau wengi wameonyesha shauku kubwa na kutegemea kazi bora zaidi kutoka kwa wakali hawa kwani itakuwa ni kali ya mwaka.
Kama wewe ni mfuatiliaje wa mitandao ya kijamii utakubali kuwa...
11 years ago
Bongo531 Jul
Diamond na Wema wanaongoza kwa kuwa na followers wengi Instagram, wafahamu wengi 9
9 years ago
Bongo528 Sep
Dar kuna wasanii wengi wakali ila wengi hawana nidhamu — Producer T-Touch
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-sQz0jxSRF8E/VToKVAQTuGI/AAAAAAAAsiA/Zqy4QvTuJQY/s72-c/wema%2Bsepetu990.jpg)
PICHA YA WEMA SEPETU AKIWA HOSPITALI YASHUA WENGI. WENGI WAULIZA KAMA NDO AMEANZA MATIBABU YA KUPATA MTOTO
![](http://api.ning.com/files/nBD8FQWarq-4R4WFf5QoJ*rzQSw0U9KUDL31XKiP1mNjS1erGKSqtvZe1mZJKHS51JEut23QP6TvboUuWotlUSMi6vmJn78e/wemasepetu.jpg)
The socialite, The Actress kutoka kiwanda cha filamu Tanzania Bongo Movie Wema Sepetu, baada ya kutangaza kuwa anatatizo la kutozaa kwa muda mrefu na angetamani siku moja kupata mtoto wamejitokeza madakatari wengi na kutaka kumtibu.Lakini kabla ya kuanza kumtibu amewapa angalizo kwamba wakati anaanza kutiwa akawa na mwenza wake kabisa ambae wwatukuwa wamekubaliana pale tatizo litakapokuwa limeisha tu basi mara moja waweze kupata mtoto..Hilo ndilo angalizo la Wema Sepetu ambae anatamani sana...
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Wananchi wengi wanaamini kuwa gesi imeleta neema nchini Tanzania, lakini wengi wana wasiwasi kuwa Serikali na matajiri watafaidika zaidi
Mabomba ya kusafirisha gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam.
Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali na matajiri ndio wataofaidika zaidi. Pia, zaidi ya nusu (55%) wangependa baadhi ya mapato ya mafuta na gesi wapewe wananchi moja kwa moja kama fedha taslimu.
Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika muhtasari wa utafiti wenye...
10 years ago
Vijimambo08 Mar
10 years ago
VijimamboUKODAK WA VIJIMAMBO NEW YORK CITY
![](https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/t31.0-8/10945475_10205159687085823_2345308498832769011_o.jpg)
![](https://scontent-lga.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/t31.0-8/11004558_10205159687005821_1869442175167848569_o.jpg)