VIJUE VYAKULA BORA NA FAIDA ZAKE MWILINI
![](http://api.ning.com:80/files/Gp85O2XzVxjuGadjxFGvfHTl7KfyYZvYgFr42rCTNjS2rFzEmY0rpRNKK1og8AlBXJDyCmFBGTMHnv2ZhRsplZBeEdWdo3Lm/bora.jpg?width=650)
TUNAAMBIWA kuwa kuishi vizuri ni pamoja na kula chakula bora na sahihi. Pia, mtu anayeishi vizuri ni yule ambaye hasumbuliwi na maradhi hatari na njia pekee ya kuulinda mwili dhidi ya maradhi hatari ni kujua ipasavyo na kuvitumia vyakula bora pamoja na kufanya mazoezi. Katika makala yafuatayo, nitakuorodhoshea baadhi ya vyakula vinavyotajwa kuwa bora (super foods) ambavyo faida zake mwilini zimeanishwa. Kwa mlaji, linakuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4TYNdgYyde*RBkHkRDLyNDikCQugd5I9rHlk4A6DG2rvrFk1ECNPPvm16DVZj8CLT-8jSuAHEE7XncMcp1V8*2fW/food.jpg?width=650)
VIJUE VYAKULA BORA NAFAIDA ZAKE MWILINI
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Matunda na faida zake mwilini
AFRIKA imejaaliwa mimea, madini, rutuba na hali ya hewa safi, ikiwa ni urithi tangu enzi na enzi. Pamoja na bara hili kujaa vyakula vyote vinavyohitajika na wanadamu, bado uhai wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0lFlR5z7JwBKznvgokLqaLhJPF1LCV1P9TwLr5AS449gIkWM48UwZnBfHhbgOHOZRdqHdxayQt05FqUG6T8ostB/vyakula.jpg?width=650)
VYAKULA HAI NA UMUHIMU WAKE MWILINI
5 years ago
BBCSwahili04 Apr
Virusi vya corona: Vyakula unavyohitaji kuimarisha kinga yako mwilini
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Tamasha la Pasaka na faida zake 10
KAMPUNI ya Msama Promotions imeanza harakati za maandalizi ya Tamasha la Pasaka la mwaka huu, likifanyika kwa mara ya 14 tangu kuasisiwa kwake mwaka 2000, likibeba malengo 10, kubwa likiwa...
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Uwekezaji UTT AMIS na faida zake
WATANZANIA wengi wamepata mwamko wa kuwekeza fedha zao katika biashara mbalimbali lengo likiwa ni kujiongezea kipato na pia kuiongezea thamani fedha yao katika mzunguko. Katika makala haya, Mwandishi Wetu amefanya...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Urasimishaji biashara na faida zake kiuchumi
UCHUMI wa Tanzania umeelezwa kuimarika huku pato laifa likikuwa kwa asilimia 7, lakini ukuaji huo hauna matokeo chanya kwa mwananchi. Moja ya sababu kubwa ni kwamba watu wengi hawajarasimisha rasilimali...
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Apple kidedea katika faida zake
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Kilimo cha alizeti na faida zake
ALIZETI ni miongoni mwa mazao yanayotoa mbegu za mafuta. Kwa matumizi mengine, hutumika kama chakula cha mifugo. Mashuddu yake yanarutubisha sana kiafya mifugo, ikilinganishwa na utengenezaji wa mafuta ya kula...