VIJUE VYAKULA BORA NAFAIDA ZAKE MWILINI
Makala haya tumerudia kutokana na sababu maalum na inaangalia vyakula muhimu na umuhimu wake katika ustawi wa afya zetu. Kumbuka chakula ni uhai, lakini pia chaweza kuwa sumu kama hakiliwi ipasavyo. Vitunguu saumu. KITUNGUU SAUMU Hiki ni kiungo cha mboga, licha ya kuonekana kama ni kiungo cha kuongezea ladha ya chakula, lakini ni miongoni mwa vyakula vyenye faida kubwa katika afya zetu. Kitunguu saumu husaidia kuyeyusha damu...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLVIJUE VYAKULA BORA NA FAIDA ZAKE MWILINI
11 years ago
GPLVYAKULA HAI NA UMUHIMU WAKE MWILINI
5 years ago
BBCSwahili04 Apr
Virusi vya corona: Vyakula unavyohitaji kuimarisha kinga yako mwilini
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Matunda na faida zake mwilini
AFRIKA imejaaliwa mimea, madini, rutuba na hali ya hewa safi, ikiwa ni urithi tangu enzi na enzi. Pamoja na bara hili kujaa vyakula vyote vinavyohitajika na wanadamu, bado uhai wa...
10 years ago
Dewji Blog13 Mar
Wajawazito Zanzibar washahuriwa kutumia vyakula vyenye lishe bora
Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo.
Na Abdulla Ali na Mwanaisha Moh’d Maelezo-Zanzibar
Kina mama wajawazito wameshauriwa kutumia vyakula vyenye Lishe Bora ili kuepukana na matatizo yanayoweza kujitokeza wakati wa kujifungua kwao.
Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Mahmoud Thabit Kombo wakati akijibu swali la Mwakilishi wa Jimbo la Wawi Mhe. Saleh Nassor Juma katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Wilaya ya Magharibi Unguja.
Amesema...
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Nani anajali matumizi ya vyakula bora kwa wanafunzi shuleni?
10 years ago
Dewji Blog15 May
Mafuta ya kupikia ya MO SAFI kwa mahitaji bora ya vyakula kwenye familia yako!!
Burger bomba kama hii ya kuvutia iliyotengenezwa kwa mafuta bora ya Mo Safi, zenye ufahari kutoka MeTL Group.
Je? umeshatumia bidhaa bora kutoka MO!! pata sasa zipo karibu nawe NA ANDREW CHALE, MODEWJI BLOGKampuni ya MeTL Group imekuwa ni kati ya makampuni bora ndani na nje ya Tanzania kwa kukuletea bidhaa bora kwa mahitaji sahihi na ya matumizi na afya yako. Leo kupitia Modewji blog, tunakuletea kwa kifupi namna ya mafuta ya kupikia kutoka MeTL Group, MO Safi yatakavyopendezesha mlo...
10 years ago
Michuzi10 May
DRFA YACHEKELEA TIMU ZAKE KUMALIZA TATU BORA LIGI KUU
Kamati ya utendaji ya DRFA chini ya mwenyekiti wake Almas Kasongo,imesema ni jambo la kufurahisha kuona mkoa wa Dar es salaam unafanya vizuri kisoka na kuwa mfano wa kuigwa kwa mikoa mingine.
Timu hizo zimepongezwa kutokana matayarisho waliyoyafanya tangu kuanza kwa msimu,ambapo mabenchi ya...
10 years ago
Bongo Movies20 Feb
JB Ataja Tano Bora ya Movie Zake Alizocheza Tangu Aingie Kwenye Tasnia
JB alibandika mabandiko haya kwenye ukurasa wake wa kwenye mtandao wa INSTAGRAM.
“Wiki mbili zilizopita niliwapa nafasi ya kuchagua top 3 ya movie zangu.Leo (Juzi) na mimi naanza kuwapa top 5 yangu tangu nianze kuigiza.NAKWENDA KWA MWANANGU no5.Kesho (Jana) nitawatajia no4.halafu mwisho nitawatajia zilizoongoza kwa mauzo”.
Jana: “Tunaendelea na top 5 zangu tangu nianze kuigiza.Namba 4 DJ BEN.Kesho nitakutajia namba tatu.Atakaye pata nitampa zawadi”.
Haya hebu tuzitaje zingine tupate hiyo...