Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi BMU watuhumiwa kwa uvuvi haramu

Baadhi ya viongozi wa vikundi vya kusimamia rasilimali za uvuvi katika Ziwa Victoria (BMU), wanaodaiwa kujihusisha na uvuvi haramu wamepewa siku 14 kusalimisha nyavu wanazozitumia vinginevyo watachukuliwa hatua za kisheria.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Uvuvi haramu unazorotesha sekta ya uvuvi ziwa Nyasa

Uvuvi usiokuwa endelevu unafanyika katika Ziwa Nyasa na kusababisha samaki adimu waliokuwapo kuendelea kutoweka mwaka hadi mwaka.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni kwa uvuvi haramu

JESHI la Polisi mkoani Kigoma, linawashikilia watu watano wakiwemo raia wa Burundi kwa tuhuma za uvuvi haramu katika Ziwa Tanganyika eneo la kijiji cha Kiziba Wilaya ya Kigoma Vijijini, baada...

 

5 years ago

Michuzi

KINARA USAMBAZAJI ZANA HARAMU ZA UVUVI MBARONI MWANZA, POLISI WANNE WADAKWA KWA RUSHWA


NA BALTAZAR MASHAKA,Mwanza
KIGOGO na kinara wa uingizaji na usambazaji wa zana haramu za uvuvi katika Ziwa Victoria , Jeremiah Asama ( 48),mkazi wa Bwiru, Manispaa ya Ilemela  ni miongoni mwa watu sita wanaoshikiliwa na Jeshi la Polisi  jijini Mwanza, huku mtuhumiwa wa saba  akidaiwa kutoroka.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Jumanne Muliro alisema juzi wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu  kukamatwa kwa watu hao wakiwemo askari wanne wa jeshi hilo wanaodaiwa kukiuka maadili ya...

 

11 years ago

Habarileo

Ukerewe kukabiliana na uvuvi haramu

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe, Mwanza limetangaza kuwa tatizo la uvuvi haramu, hasa wa kutumia sumu ni janga, hivyo kupitisha azimio la kulikabili.

 

11 years ago

Habarileo

Doria za uvuvi haramu kuendelea

DORIA za maeneo ya hifadhi ya uvuvi, Unguja na Pemba kwa kiasi kikubwa zimepunguza uvuvi haramu uliokuwa ukifanywa na wavuvi wasiokuwa waaminifu. Mkuu wa Doria wa Idara ya Maendeleo ya Uvuvi ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Haji Shomari alisema doria hizo zinazowashirikisha wavuvi kutoka katika kamati za uvuvi za shehia zimefanikiwa kudhibiti uvuvi haramu kwa asilimia kubwa.

 

11 years ago

Habarileo

Zana haramu za uvuvi zateketezwa

KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa, Rachel Kassanda ameshiriki katika hafla ya kuteketeza zana haramu za uvuvi zenye thamani ya Sh milioni 68.6. Shughuli hiyo ilifanyika wilayani Muleba mkoani Kagera.

 

10 years ago

Habarileo

SMZ yafanikiwa kuthibiti uvuvi haramu

Abdilahi Jihadi HassanSERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema imefanikiwa kudhibiti uvuvi haramu ambao umekuwa chanzo kikubwa cha kuharibu rasilimali za baharini ikiwemo samaki ambao wengi huvuliwa wakiwa hawafai kwa matumizi ya kula.

 

11 years ago

Dewji Blog

Wizara yacharukia Uvuvi Haramu Igunga

131112134616_fishing_tz_640x360_bbc_nocredit

Na Mwandishi wetu

Wizara ya Mifugo na Uvuvi kanda ya kati imewaagiza watu wote wanaojishughulisha na uvuvi haramu kwenye bwawa la Mwanzugi,lililopo katika Kijiji cha Mwanzugi,wilaya ya Igunga,Mkoani Tabora usiofuata taratibu zilizowekwa waache mara moja na kwamba endapo wataendelea kukaidi amri hiyo halali hatua kali na za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Afisa Uvuvi Mfawidhi na uvunaji wa viumbe hai Kanda ya kati,Bwana Renatus Charles Karumbeta alisema hayo katika mahojiano maalumu na...

 

11 years ago

Mwananchi

Uvuvi haramu washusha upatikanaji samaki

Chama cha Wavuvi Tanzania (Taf) kimesema hali ya upatikanaji samaki kwenye Ziwa Victoria imeshuka kwa kasi kutokana na kuongezeka kwa vitendo vya uvuvi haramu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani