Viongozi BMU watuhumiwa kwa uvuvi haramu
Baadhi ya viongozi wa vikundi vya kusimamia rasilimali za uvuvi katika Ziwa Victoria (BMU), wanaodaiwa kujihusisha na uvuvi haramu wamepewa siku 14 kusalimisha nyavu wanazozitumia vinginevyo watachukuliwa hatua za kisheria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Uvuvi haramu unazorotesha sekta ya uvuvi ziwa Nyasa
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Mbaroni kwa uvuvi haramu
JESHI la Polisi mkoani Kigoma, linawashikilia watu watano wakiwemo raia wa Burundi kwa tuhuma za uvuvi haramu katika Ziwa Tanganyika eneo la kijiji cha Kiziba Wilaya ya Kigoma Vijijini, baada...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UiOzwBPS2CE/XmU2-i9cRhI/AAAAAAALiBM/fU2VzMsfcRgIm590sdbuv4F-FBUnTzbSACLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
KINARA USAMBAZAJI ZANA HARAMU ZA UVUVI MBARONI MWANZA, POLISI WANNE WADAKWA KWA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-UiOzwBPS2CE/XmU2-i9cRhI/AAAAAAALiBM/fU2VzMsfcRgIm590sdbuv4F-FBUnTzbSACLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
KIGOGO na kinara wa uingizaji na usambazaji wa zana haramu za uvuvi katika Ziwa Victoria , Jeremiah Asama ( 48),mkazi wa Bwiru, Manispaa ya Ilemela ni miongoni mwa watu sita wanaoshikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza, huku mtuhumiwa wa saba akidaiwa kutoroka.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Jumanne Muliro alisema juzi wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kukamatwa kwa watu hao wakiwemo askari wanne wa jeshi hilo wanaodaiwa kukiuka maadili ya...
11 years ago
Habarileo09 Aug
Ukerewe kukabiliana na uvuvi haramu
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe, Mwanza limetangaza kuwa tatizo la uvuvi haramu, hasa wa kutumia sumu ni janga, hivyo kupitisha azimio la kulikabili.
11 years ago
Habarileo06 Mar
Doria za uvuvi haramu kuendelea
DORIA za maeneo ya hifadhi ya uvuvi, Unguja na Pemba kwa kiasi kikubwa zimepunguza uvuvi haramu uliokuwa ukifanywa na wavuvi wasiokuwa waaminifu. Mkuu wa Doria wa Idara ya Maendeleo ya Uvuvi ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Haji Shomari alisema doria hizo zinazowashirikisha wavuvi kutoka katika kamati za uvuvi za shehia zimefanikiwa kudhibiti uvuvi haramu kwa asilimia kubwa.
11 years ago
Habarileo04 May
Zana haramu za uvuvi zateketezwa
KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa, Rachel Kassanda ameshiriki katika hafla ya kuteketeza zana haramu za uvuvi zenye thamani ya Sh milioni 68.6. Shughuli hiyo ilifanyika wilayani Muleba mkoani Kagera.
10 years ago
Habarileo12 Jun
SMZ yafanikiwa kuthibiti uvuvi haramu
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema imefanikiwa kudhibiti uvuvi haramu ambao umekuwa chanzo kikubwa cha kuharibu rasilimali za baharini ikiwemo samaki ambao wengi huvuliwa wakiwa hawafai kwa matumizi ya kula.
11 years ago
Dewji Blog21 Jul
Wizara yacharukia Uvuvi Haramu Igunga
Na Mwandishi wetu
Wizara ya Mifugo na Uvuvi kanda ya kati imewaagiza watu wote wanaojishughulisha na uvuvi haramu kwenye bwawa la Mwanzugi,lililopo katika Kijiji cha Mwanzugi,wilaya ya Igunga,Mkoani Tabora usiofuata taratibu zilizowekwa waache mara moja na kwamba endapo wataendelea kukaidi amri hiyo halali hatua kali na za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.
Afisa Uvuvi Mfawidhi na uvunaji wa viumbe hai Kanda ya kati,Bwana Renatus Charles Karumbeta alisema hayo katika mahojiano maalumu na...
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Uvuvi haramu washusha upatikanaji samaki