Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi wa zamani Kosovo kushitakiwa

Waendesha mashitaka wa jumuiya ya Ulaya wamesema kuwa baadhi ya viongozi wa zamani wa Kosovo wanastahili kufunguliwa mashitaka

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

KCU wachagua viongozi wapya, ‘watosa’ wa zamani

CHAMA Kikuu cha Ushirika, Mkoa Kagera (KCU 1990) LTD, kimefanya mabadiliko ya kuwachagua viongozi wapya na kuwatupa wa zamani katika Mkutano Mkuu Maalum. Uchaguzi huo umefanyika jana chini ya usimamizi...

 

5 years ago

Michuzi

Rais wa zamani wa Liberia, Ellen Sirleaf na mkakati wa kuwasaidia wanawake viongozi barani Afrika

Bi Ellen Johnson Sirleaf Rais wa zamani wa Liberia Jumapili ijayo ataanzisha mpango wa kuwasaidia wanawake wa Kiafrika kufikia nyadhifa za juu katika bara hilo linalodhibiwa na marais wanaume.

Bi Sirleaf ambaye ni mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel mwaka 2006 alikuwa mwanamke wa kwanza kuchaguliwa kuwa rais wa nchi barani Afrika mwaka 2006. Aliondoka madarakani mwaka 2018 katika nchi ya Liberia iliyowahi kuathiriwa na vita kupitia mchakato wa kwanza wa amani wa kukabidhi madaraka nchini humo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kosovo yatambuliwa na kamati ya Olimpic

Kamati ya Olimpic ya kimataifa imeitambua Kosovo kama mwanachama wake,hii ina maana kwamba jimbo la Serbia linaweza kuingiza timu .

 

11 years ago

BBCSwahili

Makamanda wa Kosovo washtakiwe - Ripoti

Mwendesha mashtaka kutoka kwa Jumuia ya Ulaya amesema baadhi ya viongozi wa zamani wa Jeshi la Kosovo, wanapaswa kushtakiwa.

 

9 years ago

Habarileo

15 kushitakiwa kwa ubadhirifu

JUMUIYA ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inakusudia kuwafikisha wakuu wa shule zake 15 kwenye vyombo vya sheria kutokana na madai ya ubadhirifu wa fedha.

 

5 years ago

BBCSwahili

Thomas Thabane: Waziri Mkuu wa zamani wa Lesotho 'alilipa majambazi kumuua mke wake wa zamani''

Stakabadhi zilizowasilishwa mahakamani na polisi zanaelezea jinsi Thomas Thabane alivyohusika na mauaji hayo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Viiongozi wa waasi kushitakiwa S.Kusini

Serikali ya Sudan Kusini imesema kuwa itawahukumu wahusika wakuu wa njama ya mapinduzi dhidi ya serikali ya Rais Salva Kiir.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waliouza mchezo kushitakiwa,Hispania

Idara ya kuzuia na kupambana na rushwa nchini Hispania imeiagiza mahakama kumshitaki kocha wa zamani wa klabu ya Real Zaragoza

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani