Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makamanda wa Kosovo washtakiwe - Ripoti

Mwendesha mashtaka kutoka kwa Jumuia ya Ulaya amesema baadhi ya viongozi wa zamani wa Jeshi la Kosovo, wanapaswa kushtakiwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kosovo yatambuliwa na kamati ya Olimpic

Kamati ya Olimpic ya kimataifa imeitambua Kosovo kama mwanachama wake,hii ina maana kwamba jimbo la Serbia linaweza kuingiza timu .

 

11 years ago

BBCSwahili

Viongozi wa zamani Kosovo kushitakiwa

Waendesha mashitaka wa jumuiya ya Ulaya wamesema kuwa baadhi ya viongozi wa zamani wa Kosovo wanastahili kufunguliwa mashitaka

 

10 years ago

Habarileo

IGP apangua makamanda

Inspekta Jenerali wa Polisi, IGP Ernest ManguINSPEKTA Jenerali wa Polisi, IGP Ernest Mangu amefanya mabadiliko kwa baadhi ya makamanda wa polisi wa mikoa (RPC).

 

9 years ago

BBCSwahili

Makamanda wa Iraq wauawa na waasi wa I-S

Makamanda wawili wa ngazi ya juu katika jeshi la Iraq wameuawa katika shambulio la bomu lililotegwa ndani ya gari.

 

9 years ago

BBCSwahili

Makamanda wa Boko Haram wakamatwa

Idara ya ujasusi nchini Nigeria zinasema kuwa zimewakamata takriban makamanda ishirini wa kundi la Boko Haram

 

10 years ago

BBCSwahili

Vikwazo kwa makamanda wa S Sudan

Umoja wa Mataifa umeweka vikwazo hivyo dhidi ya makanda sita Sudan Kusini

 

9 years ago

BBCSwahili

Makamanda wa Sudan.K wakutana Ethiopia

Makamanda wa kijeshi kutoka pande mbili zinazopigana nchini Sudan Kusini wanakutana mjini Addis Ababa nchini Ethiopia

 

10 years ago

Mwananchi

UVCCM inavyomezwa na makamanda wafanyabiashara

Wakati alipoingia madarakani, Rais Jakaya Kikwete alieleza mara kwa mara dhamira yake ya kutenganisha biashara na siasa na kwamba angeunda sheria ya kuzuia jambo hilo, lakini hali inaonekana kuwa tofauti ndani ya chama chake cha CCM, ambacho wafanyabiashara wanazidi kufurika kwa mgongo wa makamanda wa vijana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Israeli yaua makamanda 3 wa Hamas.

Shambulizi la Israeli huko Rafa limewaua makamanda 3 wa Hamas

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani