UVCCM inavyomezwa na makamanda wafanyabiashara
Wakati alipoingia madarakani, Rais Jakaya Kikwete alieleza mara kwa mara dhamira yake ya kutenganisha biashara na siasa na kwamba angeunda sheria ya kuzuia jambo hilo, lakini hali inaonekana kuwa tofauti ndani ya chama chake cha CCM, ambacho wafanyabiashara wanazidi kufurika kwa mgongo wa makamanda wa vijana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMAKONDA ASIMIKA MAKAMANDA 16 WA UVCCM MKOA WA SINGIDA
Katibu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi wa Jumuiya ya (UVCCM) ambae pia ni Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Ndugu Paul Makonda. -ATAO WITO KILA MKOA UJITAMBULISHE KWA ZAO LAKE
-AWANANGA CHADEMA KUWA WAASISI WA SIASA ZA UKANJANJA
-AMPONGEZA TUNDU LISU KWA KUWA KIONGOZI MJANJA
-AKABIDHI KADI 50 KWA VIJANA WALIOJIUNGA NA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) NA KUVUNAÂ Â WANACHAMA WENGINE KUTOKA CHADEMA Katibu wa Idara ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-H7wZtaIJNvs/VJqs6o-fXtI/AAAAAAAAF84/a3KumLdyw-w/s72-c/20141224_121916.jpg)
MAKAMU MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA AKUTANA NA VIONGOZI WA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO WALIOPIGWA MABOMU JANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-H7wZtaIJNvs/VJqs6o-fXtI/AAAAAAAAF84/a3KumLdyw-w/s640/20141224_121916.jpg)
10 years ago
Michuzi21 Aug
BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-4-robinson1.jpg?w=300&h=225)
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-6.jpg?w=300&h=225)
Katibu wa UVCCM wilaya ya...
10 years ago
Habarileo01 Apr
IGP apangua makamanda
INSPEKTA Jenerali wa Polisi, IGP Ernest Mangu amefanya mabadiliko kwa baadhi ya makamanda wa polisi wa mikoa (RPC).
10 years ago
BBCSwahili02 Jul
Vikwazo kwa makamanda wa S Sudan
Umoja wa Mataifa umeweka vikwazo hivyo dhidi ya makanda sita Sudan Kusini
10 years ago
BBCSwahili21 Aug
11 years ago
BBCSwahili16 Jan
Makamanda wa jeshi watimuliwa Nigeria
Rais wa Nigeria , Goodluck Jonathan, amewafuta kazi makamanda wake wakuu wa jeshi na kufanya mageuzi jeshini
11 years ago
BBCSwahili29 Jul
Makamanda wa Kosovo washtakiwe - Ripoti
Mwendesha mashtaka kutoka kwa Jumuia ya Ulaya amesema baadhi ya viongozi wa zamani wa Jeshi la Kosovo, wanapaswa kushtakiwa.
9 years ago
BBCSwahili27 Aug
Makamanda wa Iraq wauawa na waasi wa I-S
Makamanda wawili wa ngazi ya juu katika jeshi la Iraq wameuawa katika shambulio la bomu lililotegwa ndani ya gari.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania