Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UVCCM inavyomezwa na makamanda wafanyabiashara

Wakati alipoingia madarakani, Rais Jakaya Kikwete alieleza mara kwa mara dhamira yake ya kutenganisha biashara na siasa na kwamba angeunda sheria ya kuzuia jambo hilo, lakini hali inaonekana kuwa tofauti ndani ya chama chake cha CCM, ambacho wafanyabiashara wanazidi kufurika kwa mgongo wa makamanda wa vijana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAKONDA ASIMIKA MAKAMANDA 16 WA UVCCM MKOA WA SINGIDA

Katibu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi wa Jumuiya ya (UVCCM) ambae pia ni Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Ndugu Paul Makonda. -ATAO WITO KILA MKOA UJITAMBULISHE KWA ZAO LAKE
-AWANANGA CHADEMA KUWA WAASISI WA SIASA ZA UKANJANJA
-AMPONGEZA TUNDU LISU KWA KUWA KIONGOZI MJANJA
-AKABIDHI KADI 50 KWA VIJANA WALIOJIUNGA NA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) NA KUVUNA   WANACHAMA WENGINE KUTOKA CHADEMA Katibu wa Idara ya...

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA AKUTANA NA VIONGOZI WA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO WALIOPIGWA MABOMU JANA

Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa vijana wa CCM Taifa Mh Mboni Mhita Ambaye Pia ni Katibu Mkuu wa Pan African Union Ulio Chini ya Umoja wa Afrika AU Anayehusika Kushugulikia Ajira kwa Vijana, Fursa ,Elimu Afya na Mambo yanayuwahusu Vijana Akiwasikiliza Kwa Makini Viongozi wa Mtandao wa wafanyabiashara Ndogondogo Kutoka Mkoani Dar Es salaam Aliokutana nao Leo Kusikiliza Changamoto zinazowakabili Vijana hasa Wafanyabiashara Ndogondogo Maarufu Kama wamachinga walioipigwa Mabomu ya Mcahozi jana na...

 

10 years ago

Michuzi

BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO

???????????????????????????????
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.

???????????????????????????????
Katibu wa UVCCM wilaya ya...

 

10 years ago

Habarileo

IGP apangua makamanda

Inspekta Jenerali wa Polisi, IGP Ernest ManguINSPEKTA Jenerali wa Polisi, IGP Ernest Mangu amefanya mabadiliko kwa baadhi ya makamanda wa polisi wa mikoa (RPC).

 

10 years ago

BBCSwahili

Vikwazo kwa makamanda wa S Sudan

Umoja wa Mataifa umeweka vikwazo hivyo dhidi ya makanda sita Sudan Kusini

 

10 years ago

BBCSwahili

Israeli yaua makamanda 3 wa Hamas.

Shambulizi la Israeli huko Rafa limewaua makamanda 3 wa Hamas

 

11 years ago

BBCSwahili

Makamanda wa jeshi watimuliwa Nigeria

Rais wa Nigeria , Goodluck Jonathan, amewafuta kazi makamanda wake wakuu wa jeshi na kufanya mageuzi jeshini

 

11 years ago

BBCSwahili

Makamanda wa Kosovo washtakiwe - Ripoti

Mwendesha mashtaka kutoka kwa Jumuia ya Ulaya amesema baadhi ya viongozi wa zamani wa Jeshi la Kosovo, wanapaswa kushtakiwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Makamanda wa Iraq wauawa na waasi wa I-S

Makamanda wawili wa ngazi ya juu katika jeshi la Iraq wameuawa katika shambulio la bomu lililotegwa ndani ya gari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani