Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi wachaguliwa Donetsk na Luhansk

Waasi wanaoiunga mkono Urusi mashariki mwa Ukrain hii leo wanafanya uchaguzi wa kuwachagua viongozi wa kimaeneo na wabunge.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Angellah Kairuki na mmiliki wa Bongo5 wachaguliwa kuwa miongoni mwa viongozi vijana duniani ‘Young Global Leaders 2014

 Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe.Angellah Kairuki  (kushoto) pamoja na Mwanzilishi na Mwenyekiti Mtendaji (CEO) wa Bongo5 Media Group na Jefag Logistics Tanzania Ltd, Luca Neghesti (chini) wameteuliwa kuwa miongoni mwa viongozi vijana duniani, ‘Young Global Leaders 2014’   Watanzania hao wawili wameingia kwenye jopo hilo ambalo mwaka huu linaundwa na vijana 214 kutoka nchi 66 duniani kutoka serikalini na makampuni binafsi.  Mwaka huu Afrika ina wawakilishi 19 peke yake.   Idadi hiyo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukraine hamkani si shwari,mjini Donetsk

Donetsk mashariki mwa Ukraine,hamkani si shwari na kugharimu maisha ya mtu mmoja na kusababisha majeruhi kadhaa.

 

11 years ago

TheCitizen

Good morning, Donetsk — Ukraine rebels spread the word

If you’re channel hopping in the restive eastern Ukraine city of Donetsk these days you can still tune in to the usual soft rock and Russian ballads. Just keep an ear out for tank driver recruitment calls.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wachezaji 10 wachaguliwa tuzo za BBC

Wachezaji kumi wamechaguliwa katika kugombea tuzo ya Mwanasoka bora wa BBC Sport Personality kwa mwaka 2014.

 

11 years ago

Mwananchi

Robo tatu ya waliofaulu wachaguliwa kidato cha V

Robo tatu ya wanafunzi waliofaulu kidato cha nne kwa kupata daraja la kwanza hadi la tatu (Division I – III), wamechaguliwa kujiunga na kidato cha tano.

 

9 years ago

Mwananchi

Wanafunzi 500,000 wachaguliwa kidato cha kwanza

Jumla ya wanafunzi 503,914 kati ya 518,034 waliofaulu mtihani wa kumaliza elimu ya msingi kwa kupata alama A, B na C, wamechaguliwa kujiunga kidato cha kwanza katika shule za sekondari za Serikali katika awamu ya kwanza. Idadi hiyo ni sawa na asilimia 97.3 ya wanafunzi waliofaulu na wenye sifa ya kujiunga na kidato cha kwanza.

 

10 years ago

Dewji Blog

11,380 Singida, wachaguliwa kujiunga kidato cha kwanza

DSC02779

Katibu tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan, akizungumza kwenye kikao cha mkoa cha kupangia shule wanafunzi waliofaulu mtihani wa taifa wa kumaliza elimu ya msingi mwaka huu,ili kuanza kidato cha kwanza mwakani.Wa kwanza kulia ni katibu tawala msaidizi kwa upande wa sekta ya elimu sekretarieti ya Mkoa,Fatuma Kilimia na kushoto ni mkuu wa wilaya ya Singida,Queen Mlozi.

Na Nathaniel Limu, Singida

JUMLA ya wanafunzi 11,380 mkoani Singida, wamechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwakani,...

 

10 years ago

Mwananchi

Asilimia 97 wachaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2015

Jumla ya wanafunzi 438,960 kati ya wanafunzi 451,392 waliohiyimu elimu ya msingi mwaka huu wamechaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha kwanza mwakani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani