Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi wapya TBF wataja vipaumbele vyao mapema

Uongozi mpya wa Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF) umebainisha vipaumbele vyake vitatu itakavyoanza navyo kuwa itaelekeza nguvu kwenye upatikanaji wa viwanja, kuwa na mashindano kulingana na kalenda ya kimataifa na kitaifa na kuwa na kozi nyingi za makocha wa mpira wa kikapu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MAELFU YA RAIA WAPYA WA TANZANIA WAPEWA VYETI VYAO KATIKA MAKAZI YA MISHAMO, MPANDA

Mkuu wa Makazi ya Mishamo, Fredrick Nisajile akizungumza na maofisa wake (kushoto) kabla ya kuanza kugawa vyeti vya uraia kwa raia wapya wa Tanzania kijijini Ilangu katika Makazi ya Mishamo, yaliyopo wilayani ya Mpanda Vijijini, Mkoa wa Katavi. Zaidi ya watu 152,572 katika Makazi ya Mishamo, Katumba na Ulyankulu waliokuwa wakimbizi wa Burundi wa mwaka 1972 walioomba uraia 2008 na kupewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi mwaka 2010, wanastahili kupokea vyeti hivyo kama raia wapya wa...

 

10 years ago

Michuzi

MAELFU YA RAIA WAPYA WA TANZANIA WAKIPEWA VYETI VYAO KATIKA MAKAZI YA MISHAMO, MPANDA

wak1Mkuu wa Makazi ya Mishamo, Fredrick Nisajile akizungumza na maofisa wake (kushoto) kabla ya kuanza kugawa vyeti vya uraia kwa raia wapya wa Tanzania kijijini Ilangu katika Makazi ya Mishamo, yaliyopo wilayani ya Mpanda Vijijini, Mkoa wa Katavi. Zaidi ya watu 152,572 katika Makazi ya Mishamo, Katumba na Ulyankulu waliokuwa wakimbizi wa Burundi wa mwaka 1972 walioomba uraia 2008 na kupewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi mwaka 2010, wanastahili kupokea vyeti hivyo kama raia wapya wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Majina ya wakuu wa wilaya wapya na vituo vyao kama yalivyotangazwa na Mh. Waziri Mkuu Mizengo Pinda leo

Mizengo-Pinda

 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Mizengo Pinda.

ORODHA YA MA-DC 18.02.2015.doc by moblog

 

5 years ago

Michuzi

DK.MAGUFULI AWASHANGAA VIONGOZI WA DINI WANAOZUIA WAUMINI WAO KWENDA NYUMBA ZA IBADA, AWATAKA KUSIMAMA KATIKA VIAPO VYAO

Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli amesema kutokana na uwepo wa ugonjwa Covid-19 kuna baadhi ya viongozi wa dini wamemsahau Mungu ambaye wamekuwa wakituhubiria waumini wao kwa siku zote.
Akizungumza leo Mei 3 mwaka 2020, Rais Magufuli amesema kuwa inashangaza unapoona viongozi wa dini wanamsahau Mungu kwasababu tu ya uwepo wa Corona."Licha ya kuapa kwa dini zao, wamemuacha Mungu na kwenda kubaki kujali  ubinadamu.Ndio wamekuwa wakihamasisha kuwaambia wamumini acheni kwenda...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TAHLISO yapata viongozi wapya

JUMUIA ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO), imepata uongozi mpya. Katika uchaguzi huo Musa Mudede, Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Bugando cha...

 

10 years ago

Tanzania Daima

KCU wapata viongozi wapya

CHAMA Kikuu cha Ushirika Mkoa Kagera (KCU 1990) Ltd, kimewachagua viongozi wapya huku wa zamani wakitoshwa katika mkutano mkuu maalum uliofanyika mjini hapa, juzi. Uchaguzi huo umefanyika chini ya usimamizi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chaumma yapata viongozi wapya

MWENYEKITI wa Chama cha Ukombuzi wa Umma (Chaumma), Hashim Sipunda, amesema hana imani na Tume ya Uchaguzi, hivyo kuomba kuundwa kwa tume huru ya uchaguzi ambayo itatenda haki. Sipunda alitoa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

KACU yapata viongozi wapya

CHAMA Kikuu cha Ushirika wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga (KACU), kimepata viongozi wapya wa Bodi huku mjumbe mmoja akitaka kujivua madaraka hayo ya ujumbe baada ya kushindwa kwenye kinyang’anyiro cha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA Temeke yapata viongozi wapya

BERNAD Mwakyembe amechaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Temeke, baada ya kumshinda mwenyekiti wa zamani Yona Patrick, katika uchaguzi wa kikatiba uliofanyika jijini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani