MAELFU YA RAIA WAPYA WA TANZANIA WAKIPEWA VYETI VYAO KATIKA MAKAZI YA MISHAMO, MPANDA
Mkuu wa Makazi ya Mishamo, Fredrick Nisajile akizungumza na maofisa wake (kushoto) kabla ya kuanza kugawa vyeti vya uraia kwa raia wapya wa Tanzania kijijini Ilangu katika Makazi ya Mishamo, yaliyopo wilayani ya Mpanda Vijijini, Mkoa wa Katavi. Zaidi ya watu 152,572 katika Makazi ya Mishamo, Katumba na Ulyankulu waliokuwa wakimbizi wa Burundi wa mwaka 1972 walioomba uraia 2008 na kupewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi mwaka 2010, wanastahili kupokea vyeti hivyo kama raia wapya wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMAELFU YA RAIA WAPYA WA TANZANIA WAPEWA VYETI VYAO KATIKA MAKAZI YA MISHAMO, MPANDA
10 years ago
MichuziRAIA WAPYA WA TANZANIA WASHANGILIA KUPEWA VYETI VYA URAIA, MAMA MJAMZITO AJIFUNGUA AKIWA KATIKA KITUO CHA KUPOKELEA VYETI
9 years ago
Michuzi29 Oct
SERIKALI KURASMISHA ENEO LA MAKAZI MISHAMO
“Ni lazima tuje na kitu kipya… tumewapa vijiji 16 na kata nne japokuwa najua hazitoshi kulingana na idadi kubwa ya wakazi mliopo kwenye eneo hili. Itabidi Serikali kwa kushirikiana na Mbunge na wadiwani waliopo wakae na kuangalia njia ya kupata kata zaidi,” alisema.
Alitoa kauli hiyo jana jioni...
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
Maelfu wafurika mkutano wa utambulisho wa viongozi wa ACT Mpanda
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Mpanda mkoani Katavi jana, ambapo chama hicho kinaendelea na ziara za kutambulisha viongozi wake.
Wanampanda wakishangilia hotuba ya Zitto Kabwe wakati wa utambulisho wa viongozi wa chama hicho mjini Mpanda.
Mwanaharakati na Mshauri wa chama cha ACT Wazalendo, Mama Terry, akiwahutubia wakazi wa mji wa Mpanda mkoani Katavi jana, ambapo chama hicho kinaendelea na ziara ya kutambulisha viongozi wake.
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Viongozi wapya TBF wataja vipaumbele vyao mapema
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Majina ya wakuu wa wilaya wapya na vituo vyao kama yalivyotangazwa na Mh. Waziri Mkuu Mizengo Pinda leo
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Mizengo Pinda.
ORODHA YA MA-DC 18.02.2015.doc by moblog
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8SoyliWxdAo/U6P5U82AKXI/AAAAAAAFr2s/JTRJ1-24snc/s72-c/1.jpg)
JAJI MKUU AWATUNUKU VYETI MAWAKILI WAPYA JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-8SoyliWxdAo/U6P5U82AKXI/AAAAAAAFr2s/JTRJ1-24snc/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bm8kEEPow-U/U6P5v7GTLYI/AAAAAAAFr54/WlQq_w4-Vxs/s1600/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-n28ri5swGa4/U6P5mj56hHI/AAAAAAAFr40/2fQium_mwIw/s1600/25.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pWorK9t6p8Y/U6P5ohmHnbI/AAAAAAAFr5E/LfUu7SHWvqY/s1600/26.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qGBSJZtPztI/U6P5o2CSE3I/AAAAAAAFr5I/h0vIduGK5yE/s1600/27.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-J4HcuqAdqOc/VTy_fKQzjNI/AAAAAAAA7lg/BPF6sXt0B3I/s72-c/1.%2BPICHA-UHAKIKI.jpg)
UGAWAJI WA VYETI VYA URAIA KWA WATANZANIA WAPYA 152,572 WAFIKIA UKINGONI
![](http://4.bp.blogspot.com/-J4HcuqAdqOc/VTy_fKQzjNI/AAAAAAAA7lg/BPF6sXt0B3I/s1600/1.%2BPICHA-UHAKIKI.jpg)
5 years ago
CCM Blog13 Feb
RAIA WANAOENDELEA KUYAKIMBIA MAKAZI YAO MASHRIKI MWA DRC
![UNHCR: Raia wanaendelea kuyakimbia makazi yao mashariki mwa DRC](https://media.parstoday.com/image/4bsm05692055261ived_800C450.jpg)