Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SERIKALI KURASMISHA ENEO LA MAKAZI MISHAMO

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali inaandaa utaratibu wa namna ya kuweka mfumo mpya wa makazi kwenye eneo la Mishamo, wilayani Mpanda ili wakazi hao waondokane na hali ya kuishi kama wakimbizi.
“Ni lazima tuje na kitu kipya… tumewapa vijiji 16 na kata nne japokuwa najua hazitoshi kulingana na idadi kubwa ya wakazi mliopo kwenye eneo hili. Itabidi Serikali kwa kushirikiana na Mbunge na wadiwani waliopo wakae na kuangalia njia ya kupata kata zaidi,” alisema.
Alitoa kauli hiyo jana jioni...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Pinda atembelea eneo la Mishamo

IMGS8782

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya viongozi wa eneo la Mishamo wilayani Mpanda ambako alihutubia mkutano wa hadhara Oktoba  28, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 

10 years ago

Vijimambo

MAELFU YA RAIA WAPYA WA TANZANIA WAPEWA VYETI VYAO KATIKA MAKAZI YA MISHAMO, MPANDA

Mkuu wa Makazi ya Mishamo, Fredrick Nisajile akizungumza na maofisa wake (kushoto) kabla ya kuanza kugawa vyeti vya uraia kwa raia wapya wa Tanzania kijijini Ilangu katika Makazi ya Mishamo, yaliyopo wilayani ya Mpanda Vijijini, Mkoa wa Katavi. Zaidi ya watu 152,572 katika Makazi ya Mishamo, Katumba na Ulyankulu waliokuwa wakimbizi wa Burundi wa mwaka 1972 walioomba uraia 2008 na kupewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi mwaka 2010, wanastahili kupokea vyeti hivyo kama raia wapya wa...

 

10 years ago

Michuzi

MAELFU YA RAIA WAPYA WA TANZANIA WAKIPEWA VYETI VYAO KATIKA MAKAZI YA MISHAMO, MPANDA

wak1Mkuu wa Makazi ya Mishamo, Fredrick Nisajile akizungumza na maofisa wake (kushoto) kabla ya kuanza kugawa vyeti vya uraia kwa raia wapya wa Tanzania kijijini Ilangu katika Makazi ya Mishamo, yaliyopo wilayani ya Mpanda Vijijini, Mkoa wa Katavi. Zaidi ya watu 152,572 katika Makazi ya Mishamo, Katumba na Ulyankulu waliokuwa wakimbizi wa Burundi wa mwaka 1972 walioomba uraia 2008 na kupewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi mwaka 2010, wanastahili kupokea vyeti hivyo kama raia wapya wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Ndege ya yaanguka katika eneo la makazi ya watu Pakistan

Ndege hiyo aina ya PIA jet ilianguka katika eneo la makazi ya watu ilipokua ikisafiri kutoka mji wa Lahore, ikiwa na jumla ya watu 100 ndani yake.

 

10 years ago

Michuzi

JK kuzindua nyumba mpya za makazi ya Wanajeshi eneo la Gongolamboto kesho

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), linatoa taarifa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt Jakaya Mrisho Kikwete atazindua nyumba mpya za makazi ya Wanajeshi eneo la Gongolamboto mnamo tarehe 10 Januari, 2015,    Saa 3:00 Asubuhi. Aidha, uzinduzi wa nyumba hizo ni sehemu ya nyumba elfu kumi za  mwanzo za makazi ya Maafisa na Askari wa JWTZ zilizojengwa katika mikoa mbalimbali hapa nchini kwa lengo la kuondoa tatizo la nyumba za makazi kwa...

 

9 years ago

Michuzi

TASWIRA MBALIMBALI ENEO LA MAKAZI WATU MNYAMANI BUGURUNI JIJINI DAR

 Mazingira ya Pembezoni mwa Reli ya Mitaa ya Mnyamani Buguruni jijini Dar es Salaam ikiwa Dampo lipo hapo pamoja na mkusanyiko wa maji kwa sababu hayana kwa kuelekea. Wakazi wa maeneo haya wako hatarini kupata magonjwa ya mlipuko kutokana na maji yaliyotuama maeneo haya. Inawezekana kuwa na kiwanda cha uzalishaji wa Mbu na magonjwa ya mlipuko nkatika eneo la Mnyamani Buguruni bila shaka..... Maisha yanaenda ikiwa ni hatari endapo usafiri wa eneo hili wanapopita wananchi. Hii ni kwa usalama...

 

5 years ago

Michuzi

IDARA YA UHAMIAJI YAKABIDHIWA NYUMBA ZA MAKAZI KWA MAOFISA NA ASKARI WA IDARA YA HIYO ENEO LA IYUMBU, JIJINI DODOMA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Wa kwanza kushoto) akisalimiana na Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Wa pili kulia) baada ya kuwasili katika eneo la Iyumbu, ilipofanyika hafla ya makabidhiano ya Nyumba 103 za Makazi kwa Maofisa na Askari wa Idara ya Uhamiaji, Jijini Dodoma
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Wa kwanza kushoto) akipokea salamu kutoka kwa Kamishna Jenerali wa Idara ya Uhamiaji...

 

9 years ago

Vijimambo

NHC YAZIDI KUPANUA MIRADI, PINDA AZINDUA JENGO LINGINE LA MAKAZI NHC PALACE ENEO LA VICTORIA JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angela Kairuki (wapili kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Nyumba (NHC), Nehemia Mchechu baada ya kuweka jiwe la Msingi la Jengo la makazi na Biashara la NHC Place linalojengwa katika eneo la Victoria jijini Dar es slaam Oktoba 20, 2015Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua pazia kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengoa makazi na biashara la Cictoria Place linalojengwa na NHC katika eneo...

 

11 years ago

GPL

UBOVU WA BARABARA ENEO LA VIWANDA VYA KUSAGA NA KUKAMUA MAFUTA ENEO LA SIDO MBEYA NI KERO KWA WAFANYA BIASHARA ENEO HILO

 Hii dimbwi ambalo maji yametuama na kutunza uchafu.  Barabara iendayo kutokea uwanja wa zamani wa ndege mbeya ukiwa umejaa maji.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani