Pinda atembelea eneo la Mishamo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya viongozi wa eneo la Mishamo wilayani Mpanda ambako alihutubia mkutano wa hadhara Oktoba 28, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi29 Oct
SERIKALI KURASMISHA ENEO LA MAKAZI MISHAMO
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali inaandaa utaratibu wa namna ya kuweka mfumo mpya wa makazi kwenye eneo la Mishamo, wilayani Mpanda ili wakazi hao waondokane na hali ya kuishi kama wakimbizi.
“Ni lazima tuje na kitu kipya… tumewapa vijiji 16 na kata nne japokuwa najua hazitoshi kulingana na idadi kubwa ya wakazi mliopo kwenye eneo hili. Itabidi Serikali kwa kushirikiana na Mbunge na wadiwani waliopo wakae na kuangalia njia ya kupata kata zaidi,” alisema.
Alitoa kauli hiyo jana jioni...
“Ni lazima tuje na kitu kipya… tumewapa vijiji 16 na kata nne japokuwa najua hazitoshi kulingana na idadi kubwa ya wakazi mliopo kwenye eneo hili. Itabidi Serikali kwa kushirikiana na Mbunge na wadiwani waliopo wakae na kuangalia njia ya kupata kata zaidi,” alisema.
Alitoa kauli hiyo jana jioni...
9 years ago
Mwananchi30 Nov
Lowassa atembelea eneo alipouawa Mawazo
Aliyekuwa mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa ametembelea eneo yalikotokea mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo huku wakazi wa Geita wakijitokeza kwa wingi kuaga mwili wa kiongozi huyo.
9 years ago
BBCSwahili17 Aug
Waziri China atembelea eneo la mlipuko
Waziri Mkuu wa China, Li Keqiang amewatembelea waathiriwa wa mlipuko mkubwa Tianjin
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jtgsmtn_9dw/Vl7ZVVxvZPI/AAAAAAAIJvs/uUqc4U6rB04/s72-c/index1.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA BANDARI MPYA YA MPIGADURI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jtgsmtn_9dw/Vl7ZVVxvZPI/AAAAAAAIJvs/uUqc4U6rB04/s640/index1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nW10XhWZKbo/Vl7ZVnhzf2I/AAAAAAAIJvw/-ibpvDZy578/s640/index2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MnFNGCQ94eA/XsNywgSP6TI/AAAAAAALqt0/NVJe9iwAaz419wdqWuJnzS1I9q5uk5TgQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0265AAA-768x615.jpg)
DK.SHEIN ATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA HOSPITALI NA KITUO CHA UTAFITI TUNGUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-MnFNGCQ94eA/XsNywgSP6TI/AAAAAAALqt0/NVJe9iwAaz419wdqWuJnzS1I9q5uk5TgQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0265AAA-768x615.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-yCqf3WZJQiE/VG2RnLa9a_I/AAAAAAABcU4/n7_RbUjlZhk/s72-c/shangani%2Bpix.jpg)
MAALIM SEIF ATEMBELEA ENEO LA JENGO LILILOANGUKA JANA MJI MKONGWE ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-yCqf3WZJQiE/VG2RnLa9a_I/AAAAAAABcU4/n7_RbUjlZhk/s1600/shangani%2Bpix.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0aPElGNNJXY/VG2RtgWSPeI/AAAAAAABcVA/PxtUqu9_G58/s1600/shangani.jpg)
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amezitaka Mamlaka zinazosimamia majengo katika enelo la Mji Mkongwe Zanzibar kuwa na utaratibu mzuri wa kuyakagua ili kuhakikisha uimara wake na kuepusha maafa kwa watumiaji na jamii nzima.
Maalim...
10 years ago
GPLWAZIRI MWAKYEMBE ATEMBELEA ENEO LA AJALI YA MABASI MUSOMA, AWAJULIA HALI MAJERUHI
Waziri wa Uchukuzi, Dkt Haririson Mwakyembe akiwa na Kamanda wa Kikosi cha Usalama barabarani, Mohamed Mpinga, wakiangalia gari la Mwanza Coach walipotembelea eneoe la ajali jana.…
11 years ago
Michuzi29 Jun
Mbunge wa Temeke Mhe. Abbas Mtemvu atembelea eneo lililoungua soko la Keko
![](https://2.bp.blogspot.com/-pbWfAph_ZrE/U61Tki3hh7I/AAAAAAAAnuU/59kgxTaaXxw/s1600/1.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-Dy3BGvdbMcM/U61Tdgpz_iI/AAAAAAAAnuE/UJlDXWwJTvg/s1600/2.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-YyuTklFnWOI/U61TehHBE7I/AAAAAAAAnuM/Nk2Fd51YfHk/s1600/4.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania