Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri China atembelea eneo la mlipuko

Waziri Mkuu wa China, Li Keqiang amewatembelea waathiriwa wa mlipuko mkubwa Tianjin

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WAZIRI MWAKYEMBE ATEMBELEA ENEO LA AJALI YA MABASI MUSOMA, AWAJULIA HALI MAJERUHI

Waziri wa Uchukuzi, Dkt Haririson Mwakyembe akiwa na Kamanda wa Kikosi cha Usalama barabarani, Mohamed Mpinga, wakiangalia gari la Mwanza Coach walipotembelea eneoe la ajali jana.…

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA MAJI AMOSI MAKALA ATEMBELEA ENEO LA MRADI MKUBWA WA MAJI WA MWANGA/KOROGWE.

Naibu Waziri wa Maji ,Amos Makala akitembelea eneo la mradi mkubwa wa Maji unaojengwa katika kijiji cha Kirya wilayani Mwanga.Naibu waziri wa Maji Amosi Makala akizungumza jambo na meneja mshauri wa mradi Sharif Saleh mara baada ya kukagua mitambo maalumu kwa ajili ya maandalizi ya ujenzi wa mradi huo.Naibu waziri wa Maji Amosi Makala akifurahia jambo na meneja mshauri wa mradi mkubwa wa maji wa Mwanga Korogwe Sharif Salehmara baada ya kuangalia maadalizi ya ujenzi wa mradi huo.
PICHA ZAIDI...

 

11 years ago

Michuzi

MLIPUKO WA BOMU WATOKEA ENEO LA MKUNAZINI HUKO ZANZIBAR

 Eneo ambalo limeharibika kwa kuchimbika na kitu kinachozaniwa ni mlipuko wa bomu uliotokea Jumatatu mchana katika eneo la Mkunazini mjini Zanzibar. Hakuna mtu aliyepata maadhara na hakuna uharibifu wa majengo katika eneo hilo.   
 Mkuu wa Wilaya ya Mjini Unguja, Mhe. Abdi Mahmoud Mzee akizungumza naKiongozi wa Kanisa la Mkunazini, Ndg. Nuhu Salanya, na Maofisa wa JWTZ , katika eneo la tukio  alipofika katika eneo la tukio kuangalia athari na uharibifu uliotokea.
Mkuu wa Wilaya ya...

 

10 years ago

GPL

MLIPUKO WAUA 12 CHINA

Taswira kutoka eneo la Kiwanda cha Nanyang ulipotokea mlipuko. TAKRIBANI watu 12 wamefariki dunia huku 33 wakijeruhiwa katika mlipuko uliotokea jana katika kiwanda cha kutengeneza fataki jijini Liling katika Mkoa wa Hunan nchini China. Moshi ukiwa umetanda katika eneo la kiwanda hicho. Mlipuko huo ulitokea katika Kiwanda cha Nanyang ambapo mamlaka husika haikusema chanzo chake. Matukio ya kulipuka viwanda vya… ...

 

9 years ago

Dewji Blog

Pinda atembelea eneo la Mishamo

IMGS8782

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya viongozi wa eneo la Mishamo wilayani Mpanda ambako alihutubia mkutano wa hadhara Oktoba  28, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa atembelea eneo alipouawa Mawazo

Aliyekuwa mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa ametembelea eneo yalikotokea mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo huku wakazi wa Geita wakijitokeza kwa wingi kuaga mwili wa kiongozi huyo.

 

9 years ago

Vijimambo

WALIOKUFA MLIPUKO WA CHINA WAFIKIA WATU 50, MAJERUHI 700

 Mlipuko mkubwa uliotokea katika mji wa Tianjin kaskazini mwa China umeuwa watu 50 huku wengine wapatao 700 wakijeruhiwa. Moshi mweusi bado umetanda kutoka ghala hilo lililopo katika mji wa bandari wa Tianjin ambako milipuko ilitokea jana usiku.
 Mabweni ya wahamiaji yaliporomoka kutokana na milipuko hiyo. Video zilizowekwa katika mitandao ya kijamii zinaonyesha moto mkubwa na wingu kubwa la moshi lililotanda angani. Mlipuko huo mkubwa katika mji wa China Tianjin-ambao ni mji wa Bandari kuu...

 

9 years ago

Michuzi

RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA BANDARI MPYA YA MPIGADURI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi Mkuu wa Shirika la Bandari Mbarouk Hamadi Mbarouk (wa pili kushoto) wakati alipotembelea Eneo la Ujenzi wa Bandari Mpya ya kisasa Mpigaduri Maruhubi Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi itakayojengwa Kampuni ya CHINA HARBOUR ENGINEERING COMPANY LTD (CHEC) kutoka Nchini China,(kushoto) Naibu Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Issa Haji Ussi. Rais wa Zanzibar na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani