Vodacom Foundation yawaasa wanafunzi
WANAFUNZI wa shule za Sekondari wametakiwa kusoma kwa bidii na kutumia vizuri fursa ya kutafuta elimu na wasiogope masomo ya sayansi maana kwa sasa mambo yote yamerahisishwa kupitia teknolojia ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2cgQuBR1Cohv0VJ9k9o0w4dq-OsI2ZbRPj17wHF1wWGAO46GrReJcQpfcUyRN6FbnyDq-6gQFvech93CXFfYyZrBwUCJnNBQ/001.MAKUMBOSHO.jpg?width=650)
WANAFUNZI SEKONDARI YA MAKUMBUSHO WAENDELEA KUNUFAIKA NA MRADI WA SMART SCHOOL CHINI YA VODACOM FOUNDATION
Mwalimu wa somo la Kompyuta mpakato wa Shule ya Sekondari ya Makumbusho jijini Dar es Salaam, Josiah Kimaro akimfundisha somo la Kompyuta Ibrahim Athmani ambaye ni wanafunzi wa kidato cha Nne wa shule hiyo,Walipotembelewa na maofisa wa Taasisi ya Vodacom Foundation kujionea maendeleo ya mradi wa Smart school unaofadhiliwa na taasisi hiyo na kunaendeshwa na Learning In Sync kwa ajili ya wanafunzi wa shule za sekondari kupata...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_gNKJEddIsQ/XtZnZ1LJYMI/AAAAAAALsWQ/2-1LUc2ZQvsEvPqCqrvXNHlw31TppmvbACLcBGAsYHQ/s72-c/Pic-Ukerewe1AAA-768x512.jpg)
Asasi ya Vodacom Tanzania Foundation yasaidia wanafunzi Ukerewe, yatoa msaada wa vitanda, magodoro na vifaa vya kukabiliana na majanga
![](https://1.bp.blogspot.com/-_gNKJEddIsQ/XtZnZ1LJYMI/AAAAAAALsWQ/2-1LUc2ZQvsEvPqCqrvXNHlw31TppmvbACLcBGAsYHQ/s640/Pic-Ukerewe1AAA-768x512.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oRfsWes6WMg/U9JnZW0MreI/AAAAAAAF6Rk/OfRC5Dm0xss/s72-c/unnamed+(27).jpg)
VODACOM FOUNDATION YAFUTURISHA JIJINI MBEYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-oRfsWes6WMg/U9JnZW0MreI/AAAAAAAF6Rk/OfRC5Dm0xss/s1600/unnamed+(27).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VXy5T8g_J0I/U9JnZ39KI6I/AAAAAAAF6Rs/0WcUMMdhWuE/s1600/unnamed+(28).jpg)
11 years ago
MichuziVODACOM FOUNDATION YAFUTURISHA WATOTO YATIMA ZANZIBAR
11 years ago
GPLVODACOM FOUNDATION YAFUTURISHA WATOTO YATIMA ZANZIBAR
Mgeni rasmi kwenye hafla ya kufuturisha watoto waishio katika mazingira magumu mjini Zanzibar,Kadhi Mkuu wa Zanzibar,akiwasili kwenye hafla hiyo iliyoandaliwa na Vodacom Foundation na kupokewa na Meneja wa Vodacom tawi la Zanzibar, Mohamed Mansoor. Viongozi wa dini mjini Zanzibar pamoja na wa Vodacom Tanzania wakiongozwa na mgeni rasmi Kadhi wa Zanzibar Khamis Haj wakipata futari katika hafla hiyo iliyoandaliwa na...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vp1Ywlooi64/Vk2R1jwdSWI/AAAAAAAIGwc/qN3yBRumuHs/s72-c/001.VF%2BMEDIA.jpg)
Vodacom Foundation yatoa msaada wa vifaa vya elimu Kisarawe
Wanafunzi wa shule ya msingi Chazinge A iliyopo wilayani Kisarawe mkoani Pwani wamenufaika kwa kupatiwa msaada wa vifaa vya elimu kutoka taasisi ya kusaidia masuala ya jamii ya Vodacom Foundation.Vifaa hivyo ambavyo vimetolewa jana ni madaftari ya kuandikia na mikebe yenye vifaa vya kusomea somo la hisabati (Mathematics set)pamoja na kalamu.
Akiongea wakati wa kukabidhi msaada wa vifaa hivyo kwa wanafunzi jana,Kaimu Ofisa Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Rosalynn Mworia...
Akiongea wakati wa kukabidhi msaada wa vifaa hivyo kwa wanafunzi jana,Kaimu Ofisa Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Rosalynn Mworia...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0Ez6zNJDtHI/VnKb68GKnjI/AAAAAAAINFA/KvQ5agn1xss/s72-c/003.CCBRT.jpg)
MAPAMBANO YA FISTULA YANAENDELEA KWA USHIRIKIANO WA HOSPITALI YA CCBRT NA VODACOM FOUNDATION
![](http://1.bp.blogspot.com/-0Ez6zNJDtHI/VnKb68GKnjI/AAAAAAAINFA/KvQ5agn1xss/s640/003.CCBRT.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FZmre4Bbgac/VnKb7gCCuCI/AAAAAAAINFE/B0-ocZbZUQU/s640/001.CCBRT.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-FzA-QSh-Bf4/VnKb5vr99lI/AAAAAAAINE4/P0maSBMt3Hg/s640/002.CCBRT.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwL0tVR9zcl7bjLzK1glDfnhtjlZNcIcDIdIh0z7MsrxSAWjf-GcAgf5Fjz-KDatlPAB9PTZIam5uMjt-A40zotV/Picha9.jpg?width=650)
VODACOM FOUNDATION YAUPA JEKI $ 166,000 MRADI WA HAKUNA WASICHOWEZA
Wasichana kutoka kata ya Ufukoni mkoani Mtwara wakisubiri kupatiwa elimu ya Afya na uzazi na kugawiwa pedi kupitia mradi wa Hakuna Wasichoweza unaoendeshwa na taasisi ya T-Marc chini ya ufadhili wa USAID na Vodacom Foundation.Vodacom Foundation imeongeza $166,000 kwa ajili ya kuuongezea nguvu mradi huo unaowalenga wasichana wanafunzi waliopo mashuleni na wale wasio mashuleni na kwa kuanzia zoezi hili linafanyika katika mkoa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3a0B19kBCoU/VRkz2699q1I/AAAAAAAHOVY/PbEcBZFhpZ4/s72-c/002.SOLA.jpg)
Vodacom Foundation yakabidhi msaada wa Umeme Jua kwa wahanga wa mvua Kahama
![](http://1.bp.blogspot.com/-3a0B19kBCoU/VRkz2699q1I/AAAAAAAHOVY/PbEcBZFhpZ4/s1600/002.SOLA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-P3p9T7HQvKc/VRkz3I4XB0I/AAAAAAAHOVc/W5kupGtdH8g/s1600/001.SOLA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-839vyAEbjGk/VRkz3Mud_-I/AAAAAAAHOVg/sM7zxM0uubQ/s1600/004.SOLA.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania