VODACOM SAY'S YES TO EXCELLENCE
![](http://api.ning.com:80/files/q*0FqWTixVLiqQm4WkgIy7v7ZaRaiqZLKtnjdXVeTAOHiJsTqbbockyUF9oANEgTP4R4h37Bre*6z9SLxSWhqP3clayTeabR/001.CUSTOMER.jpg?width=650)
Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakiwa kwenye picha ya pamoja wakiinua bango lenye ujumbe waâ€We say yes to excellenceâ€Â ikiwa ni kauli mbiu ya kampuni hiyo katika kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja duniani. Kutoka kushoto Ofisa mkuu wa Idara ya huduma kwa wateja Harriet Lwakatare akiwa na wakuu wa idara hiyo Najenjwa Mbaga,Elizabeth Mwamfagasi na Brigita Stephen wakionesha alama ya kidole...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8k2*97pl68w3ttWqYAOmRmTGmAHW9-QgTAC1lBYpXlImVhwgu0h3x3DL9k2-nXmPEoPJkQEPLOcXWQgqYWvB4HDb98Cw5GA5/001.JAYMILLIONSMAWASILIANO.jpg)
BALOZI WA PROMOSHENI YA JAYMILLIONS YA VODACOM'JAY'AWALIPIA ABIRIA WOTE NAULI WA KITUO CHA MAWASILIANO JIJINI
Balozi wa Promosheni ya JayMillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania Hilary Daudâ€Zembwelaâ€(kushoto)akimkabidhi fedha mmoja wa abiria wa basi linalofanya safari zake kutoka kituo cha mabasi cha mawasiliano cha ubungo kwenda Mwananyamala jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuwalipia abiria wenzake nauli ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha wateja wa kampuni hiyo kutuma neno Jay kwenda 15544 ili kujua kama wameshinda. Mkazi...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0004.jpg)
NJOO UPUNGUZE 'STRESS' ZA WIKI NZIMA KWA BURUDANI YA 'LIVE MUSIC' NA SKYLIGHT BAND LEO, THAI VILLAGE-MASAKI
John Music (katikati) akitoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti ya Back vocal na Ashura Kitenge (kushoto) pamoja na Sam Mapenzi. It's Friday and its on #TGIF, Skylight friday, wadau na wapenzi wa muziki wa live na wa kiwango cha juu,wote tunakutana Thai village Masaki, jioni hii kwa burudani safii toka kwa wakali wa town vijana wa Skylight Band, Karibuni sana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jPvKO*I18G-MR4RKXBe-UQ6zm2LRqNzNsxFxXNZSJs3Rq5*SYipmriOZtK*H44Pixl2nD4mQHr9OLOyCWgj-PiTk*E40CQUi/001.Dance.jpg?width=650)
FAINALI YA DANCE 100 J'MOSI CHINI YA VODACOM TANZANI
Meneja wa Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (kulia) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana juu ya fainali ya mashindano hayo yatakayofanyika jumamosi Don Bosco Oysterbay jijini. Kulia ni Mratibu wa shindano hilo la Dance 100%, Happy Shame. Mratibu wa shindano la Dance 100%, Happy Shame ( kushoto) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam… ...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-isT3dfcPjvQ/VDJoZ_H92OI/AAAAAAAGoPk/WSmQxwUPHZQ/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
VODACOM SAY'S YES TO EXCELLENCE
![](http://2.bp.blogspot.com/-isT3dfcPjvQ/VDJoZ_H92OI/AAAAAAAGoPk/WSmQxwUPHZQ/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yXLZlbeKTYY/VDJoZm_51UI/AAAAAAAGoPM/nzu1IcDsb3U/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
11 years ago
GPLERICK 'MSENGII' NATIANOTA NA HERIETH WAMEREMETA
Bwana Harusi Erick 'Msengii' Natianota akimlisha keki mke wake kipenzi Herieth Kashangaki siku waliyoamua kuachana na ukapela hapo jana.
Mambo ya kwaito hayo…saaafi .
Wadogo zake…
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/IMG_02712.jpg)
WASHINDI WA SHINDANO LA 'GENIUS-CUP' WAZAWADIWA
Mwanafunzi Fuad Thabit kutoka Feza Boys Secondary aliyeibuka mshindi wa kwanza shule za sekondari katika Shindano la Genius-Cup akipokea cheti na zawadi yake ya shilingi 300,000 toka kwa mgeni rasmi wa hafla hiyo, Ofisa Mkuu wa Utafiti taasisi ya COSTECH, Athman Mgumia.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBDYg*RJMczDL3zeKVEGv-k*VzH3*WE4odMQ2w9S0w-M30IFiabb8X2AXBrME0Hyn*Pqo-ztPeEe3RWedxrG7dCV/Picture332.jpg?width=650)
TIGO BIMA YAZINDUA TAMTHILIA YA 'KINGA YA MOYO WANGU'
Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa tamthilia ya redio iitwayo ‘Kinga ya Moyo Wangu’ itakayoelimisha Watanzania kuhusu umuhimu wa bima jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Meneja Mkazi wa Kampuni ya BIMA inayotoa huduma za bima kupitia simu za mkononi, Christian Karlander. Tamthilia hiyo itasikika katika vipindi vya Jahazi na...
10 years ago
GPLFILAMU YA 'MPANGO MBAYA' INA VIWANGO VYA KIMATAIFA
Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin Group, Bw. Johnson Lukaza akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa filamu ya Mpango Mbaya iliyochezwa na washiriki wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) mwaka 2014, uzinduzi huo ulifanyika katika ukumbi wa sinema wa century uliopo Mlimani City, Jijini Dar Es Salaam. Filamu hii ni moja ya filamu ambayo ina ubora wa hali ya juu huku wadau waliofanikiwa kuitazama filamu hiyo...
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-ly3bRK1rGGA/U6vrmyTPq3I/AAAAAAAA8eQ/dnCYXP6j0mw/s1600/IMG_0011.jpg)
UZINDUZI WA FILAMU YA 'I LOVE MWANZA' HAUKUWA WA KISIASA - BONGO MOVIE
 Rais wa Bongo Movie, Steve Nyerere (katikati) akitoa taarifa ya kukanusha uzinduzi wa filamu ya "I Love Mwanza" kujihusisha na masuala ya kisiasa. Kushoto kwa Nyerere ni Sabrina Lupia (Cathy) na kulia kwake ni Wastara Juma na Salama "Sandra" Salimin.
 Rais wa Bongo Movie, Steve Nyerere (katikati) akitoa tarifa ya kukanusha taarifa za uzinduzi… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania