VODACOM YAENDELEA KUJENGA WANAFUNZI KITAALUMA

Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim akiongea na wanafunzi wa Mwaka wa Pili wa Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano kwa Umma ya Chuo Kikuu Cha Dar es salaam alipokaribishwa kubadilishana nao uzoefu wake katika masuala ya habarai na maadili ya uandishi wa habari kazini. Vodacom imekuwa ikiruhusu wafanyakazi wake waliobobea kwenye fani mbalimbali kutoa ujuzi wao kwa wanafunzi vyuoni na amshuleni. Wanafunzi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLVODACOM YAENDELEA KUSOGEZA ZAIDI HUDUMA ZA MAWASILIANO KWA WATEJA WAKE
10 years ago
GPL
WANAFUNZI SEKONDARI YA MAKUMBUSHO WAENDELEA KUNUFAIKA NA MRADI WA SMART SCHOOL CHINI YA VODACOM FOUNDATION
10 years ago
MichuziWANAFUNZI WALIOFANYA VIZURI KITAALUMA CHUO KIKUU CHA USHIRIKA (MOCU) WAKABIDHIWA ZAWADI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi
WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA YAENDELEA NA JUHUDI ZA KUWAINUA WANANCHI.

11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Vodacom yaendelea kupanua wigo wa huduma
WATEJA wa Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom wameendelea kukumbushwa kupata huduma katika maduka mapya yanayoendelea kufunguliwa maeneo mbalimbai karibu na makazi yao, ili kuepuka gharama na usumbufu usio wa lazima...
9 years ago
Michuzi
VODACOM YAENDELEA KUNOGESHA SWAHILI FASHION WEEK


5 years ago
Michuzi
Vodacom yaendelea kuzawadia wateja wake wa shindano la Tusua Mapene

Meneja mauzo wa Vodacom Njombe, Benedict KItogwa (kulia) akimkabidhi mshindi wa wiki wa bahati nasibu ya Tusua mapene na Vodacom, Vitus Gama mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 10. Ili kushiriki kwenye promosheni hii, mteja anatakiwa kutuma neno “CHECK” au “VODA” kwenda namba 15544, kwa gharama ya shilingi 300 tu.
5 years ago
Michuzi
Vodacom yaendelea kuwezesha wateja wake kwa Kutusua Mapene
Ili kushiriki kwenye promosheni hii, mteja anatakiwa kutuma neno “CHECK” au “VODA” kwenda namba 15544, kwa gharama ya shilingi 300 tu.
Unaponunua tiketi, moja kwa moja unaingia...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Vodacom yaendelea kupanua wigo wa huduma kwa wateja Dar es Salaam