Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vodacom yaja na simu ya Vodafone Smart Kicka

Meneja wa huduma na bidhaa wa Vodacom Tanzania,Liginiku Milinga(kushoto)akielezea kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)uwezo wa simu mpya aina ya Vodafone Smart Kicka katika matumizi ya mitandao ya kijamii ya Youtube,Twitter,Facebook na whatsup. Simu hizo huuzwa kwenye maduka ya Vodacom kwa bei ya Sh 79,999 zikiwa na ofa ya 3G na SMS 1,200 kwa muda wa miezi sita.Kulia ni Meneja Uhusiano wa Umma wa kampuni hiyo Matina Nkurlu. Meneja wa huduma na bidhaa wa Vodacom Tanzania,Liginiku Milinga...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

VODAFONE SMART KICKA INAPATIKANA KWA SH.79,999 KWA MADUKA YA VODACOM TU‏

Meneja wa huduma na bidhaa wa Vodacom Tanzania,Liginiku Milinga (kushoto) akielezea kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) uwezo wa simu mpya aina ya Vodafone Smart Kicka katika matumizi ya mitandao ya kijamii ya Youtube, Twitter, Facebook na Whatsup. Simu hizo huuzwa kwenye maduka ya Vodacom kwa bei ya Sh 79,999 zikiwa na ofa ya 3G na SMS 1,200 kwa muda wa miezi sita. Kulia ni Meneja Uhusiano wa Umma wa kampuni hiyo Matina...

 

10 years ago

Michuzi

Smart Gulio. Soko Jipya la Simu na tablets Tanzania kwa njia ya Mtandao, Uza na Nunua kifaa Cha smart Buree

Contact: +2550719786099Email: info@smartgulio.tkUza,Nunua- Smart Phone,Tablets,Smart Watches, Head Phones, memory cards, tablets na kifaa kingine Kwenye SMART GULIOKwa taarifa zaidi BOFYA HAPA

 

5 years ago

Quartz Africa

Safaricom, Vodacom buy Vodafone's M-Pesa stake

Safaricom, Vodacom buy Vodafone's M-Pesa stake  Quartz AfricaSafaricom, Vodacom partner to grow M-pesa across Africa  CNBCAfrica.comView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Reuters

Safaricom, Vodacom finalise M-Pesa acquisition from Britain's Vodafone

Safaricom, Vodacom finalise M-Pesa acquisition from Britain's Vodafone  ReutersVodacom, Safaricom conclude M-Pesa brand takeover deal  ITWebM-pesa platform management relocated to Kenya  Standard DigitalSafaricom completes full acquisition of M-Pesa Brand  Techish KenyaSafaricom and Vodacom Complete Acquisition of MPESA Brand from Vodafone  TechweezView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Dewji Blog

MAZUA Smart Shavers yaja na muonekano mpya

IMG_1410

Muonekano mpya wa nje wa MAZUA Smart Shavers iliyopo maeneo  ya KIBAMBA HOSPITAL (stand ya mabasi).

Haya sasa kwa wakazi wa UBUNGO,,,,,,,KIMARA,,,,,,,MBEZI LUIS,,,,,,,,KIBAMBA,,,,,,,,,,KIBAHA na maeneo mengine yoote ya jiji la Dar es Salaam….sasa hakuna haja tena ya kuhangaika na foleni kwenda mjini kunyolewa ama KUPAMBA MAHARUSI wa kiume, Sasa mmesogezewa huduma nyumbani……ni MAZUA SMART SHAVERS✔️ iliyokuja na muonekano mpya inapatikana eneo la KIBAMBA HOSPITAL (stand ya mabasi) ukiwa...

 

9 years ago

Michuzi

WANANCHI CHANGAMKIENI SMART 6 MPYA YA VODACOM

KATIKA kuhakikisha wateja wake kutokuwa nyuma kiteknolojia na kupata huduma bora za mawasiliano ya kisasa kwa kutumia mtandao wa intanet,kampuni ya Vodacom Tanzania imezindua simu mpya ya Smart 6 ya gharama nafuu ambayo wananchi wengi wanaweza kumudu kuinunua.
Akiongea wakati wa uzinduzi wa simu hii Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa kampuni hiyo,Kelvin Twissa amesema kuwa simu hii  imelenga wateja wake wenye vipato vya kawaida ili kuwawezesha kufurahia huduma za kisasa za matumizi ya...

 

9 years ago

GPL

WANANCHI CHANGAMKIENI SMART 6 MPYA YA VODACOM‏

Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Kelvin Twissa(kushoto)akiwanesha waandishi wa habari(hawapo pichani) simu mpya aina ya Smart 6 wakati wa uzinduzi wa simu hiyo yenye kioo kikubwa kinachomuwezesha mtumiaji kusoma na kuangalia taarifa kwa urahisi na ina kamera ya kisasa na uwezo zaidi wa kuperuzi intanet ya 3G,itapatikana kwa bei nafuu kabisa shilingi 90,000/- inapatikana katika maduka yote ya kampuni hiyo.Mteja...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vodacom yaja na ‘Hello Tanzania’

KAMPUNI ya simu za mikononi ya Vodacom Tanzania imeanzisha promosheni mpya iliyopewa jina ‘Hello Tanzania’ ambayo inamuwezesha mteja kuzungumza bure kwa dakika moja. Akizungumza na Tanzania Daima juzi, Mkuu wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vodacom yaja na ‘Uhuru wa Kweli’

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania, imezindua huduma ya intaneti isiyo na kikomo kwa wateja wake wote bila kujali aina gani ya simu wanazotumia. Huduma hiyo iliyopewa jina...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani