Vurugu Machinga Complex zamgusa mbunge Zungu
Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam, jana lililazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafanyabiashara ndogondogo wa Soko la Machinga Complex eneo la Karume wilayani Ilala na Mgambo wa Jiji, baada ya kuzuka vurugu baina yao zikimhusisha Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog08 May
Mbunge ‘Zungu’ aishukia serikali dhidi ya machinga, boda boda, mama ntilie
awataka wabunge wengine wasije Dar es Salaam, wakae kwenye majimbo yao
Mbunge wa Ilala, Hassan Musa ‘Zungu’
Na Damas Makangale, Moblog Tanzania
MBUNGE wa Ilala, Musa Hassan maarufu kama ‘Zungu’ leo asubuhi katika kikao cha Bunge la Bajeti kinachoendelea mjini Dodoma amekataa kuunga mkono Bajeti ya ofisi ya Waziri Mkuu yenye makadirio ya kiasi cha shilingi trilioni tano.
Akizungumza kwenye kipindi cha maswali na majibu ya ofisi ya Waziri Mkuu Bajeti ya 2014/2015, Mbunge Musa Hassan...
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Machinga watakiwa kwenda Machinga Complex
WAFANYABIASHARA wadogowadogo ‘machinga’ walioondolewa katika maeneo yasiyo rasmi jijini Dar es Salaam wametakiwa kwenda kufanyia biashara zao katika jengo la Machinga Complex. Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Machinga Complex,...
11 years ago
Mwananchi29 Oct
‘Hatujengi Machinga Complex’
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Machinga Complex kuboreshwa kuvutia wawekezaji
JENGO la kisasa la biashara lijulikanalo kama ‘Machinga Complex’, lililopo jijini Dar es Salaam muda wowote kuanzia sasa linatarajiwa kufanyiwa maboresho muhimu, ili kuleta mvuto zaidi wa kibiashara kwa bidhaa...
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Machinga Complex yaungua kwa moto
10 years ago
Mwananchi06 Jun
Machinga Complex ‘kuuzwa’ kwa wachina
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
Bodaboda, machinga wamponza Zungu
MBUNGE wa Ilala, Musa Azan ‘Zungu’ amehojiwa na Jeshi la Polisi Kituo cha Kati jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za uchochezi wa kutetea wafanyabiashara ndogondogo ‘machinga’ na waendesha bodaboda...
10 years ago
GPL
MOTO WAZUKA JENGO LA MACHINGA COMPLEX LEO
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Waathirika wa moto Karume wahamishiwe Machinga Complex